Wanajamvi kwa kuwa tunaendelea kupigwa sana kila kona...ebu tujiliwaze na hiki kijitrack hiki cha watawala...
Sio kabaya kanachezeka kweli kila kona ila nashangaa tu akaingii kwenye kumi bora za vituo mbalimbali vya redio..
Hongera kwa maisha mazuri mkuu!! Mshukuru mungu sanaWezi pekee ndo wanaisoma namba...
Aisee sijaamini yan kuna ndugu zangu walikua CCM damu huwaambii kitu thanks God wamefunguka sasa hv sidhan km 2020 watafanya tena kosaUkitaka mwanaccm akung'oe meno mpigie ule wimbo wa CCM mbele kwa mbele