Dah! haka kawimbo ka CCM mbele kwa mbele Jamani !

BabaTina

JF-Expert Member
Aug 29, 2008
429
574
Wanajamvi kwa kuwa tunaendelea kupigwa sana kila kona...ebu tujiliwaze na hiki kijitrack hiki cha watawala...

Sio kabaya kanachezeka kweli kila kona ila nashangaa tu akaingii kwenye kumi bora za vituo mbalimbali vya redio..

 
Wanajamvi kwa kuwa tunaendelea kupigwa sana kila kona...ebu tujiliwaze na hiki kijitrack hiki cha watawala...

Sio kabaya kanachezeka kweli kila kona ila nashangaa tu akaingii kwenye kumi bora za vituo mbalimbali vya redio..


 
Namba lazima isomeke mkuu. Sema hao wavaa za kijani wanaumia kimoyomoyo kwasababu walichagua kwa mikono yao na hawana wa kumlaumu. Hawawezi kulalamika hadharani...
 
Nitumie haka kawimbo kupitia whatsapp tafadhali ... +8613320286695
 
Namba inasomekaa...ata hamn haja y kupga huo wmbo kwan nahis kila mtyu ameushika kchwani huo wmbo. Tunyoshee anko,magu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom