wa zion
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 222
- 476
Pata dagaa wazuri na wasafi kutoka mwanza, dagaa wetu ni wale wasio na michanga kabisa tunaanika kwenye miamba ya mawe. Kwa bei ya elfu 5000 kwa sado moja kwa wasiokaangwa na kwa bei ya elfu 17000 tu kwa waliokaangwa.
kwa Dar es salaam mteja atachangia kiasi cha sh 1500 tu kwa ajili ya usafiri. ukihitaji nitumie DM
kwa Dar es salaam mteja atachangia kiasi cha sh 1500 tu kwa ajili ya usafiri. ukihitaji nitumie DM