Mhasibu wa shule ya sekondari Mbinga, ruvuma kahukumiwa miaka 240 jela kwa makosa 60 ya kughushi nyaraka za serikali na kuiba milioni 240 za mishahara ya watumishi waliostaafu na waliokufa.
Hakimu wa mahakama ya mkoa ruvuma amesema "kutokana na makosa haya mshitakiwa atapata adhabu hiyo ambayo itamfanya ajue kuwa alifanya kosa kubwa la wizi". Makosa yote yanaenda pamoja so jela ni miaka 5.
Hii habari inatugusa, hivyo ni muhimu kuuliza mapapa wa rushwa na ufisadi lini watashtakiwa kama huyu. Au ndo tunasubiri mpaka magereza ya VIP Yakarabatiwe?
Au ndo wanaogopwa kuguswa kwa sababu wanajua waliokula nao katika ufisadi
tutaishia kufunga dagaa badala ya mapapa. Ngoja usikie ripoti ya mwanyika itakavyokosa meno ya kuuma. Inauma kuona mapapa bado wanapeta.
Hakimu wa mahakama ya mkoa ruvuma amesema "kutokana na makosa haya mshitakiwa atapata adhabu hiyo ambayo itamfanya ajue kuwa alifanya kosa kubwa la wizi". Makosa yote yanaenda pamoja so jela ni miaka 5.
Hii habari inatugusa, hivyo ni muhimu kuuliza mapapa wa rushwa na ufisadi lini watashtakiwa kama huyu. Au ndo tunasubiri mpaka magereza ya VIP Yakarabatiwe?
Au ndo wanaogopwa kuguswa kwa sababu wanajua waliokula nao katika ufisadi
tutaishia kufunga dagaa badala ya mapapa. Ngoja usikie ripoti ya mwanyika itakavyokosa meno ya kuuma. Inauma kuona mapapa bado wanapeta.