Dadadeki!! Kwa mwezi wa Desemba tu KRA imekusanya Ksh166 billion, kwa hela madafu hizo ni kama Tshs 3,652,000,000,000 yaani Trilioni 3.6

Huo ni mtandao mmoja voda pekee chief. Halafu hizo bando unachagua tu mwenyewe. Ya siku wiki mwezi n.k na zipo ambazo hazina limit ya muda. Bongo internet ni very cheap na kasi ipo ya kutosha.

Huku bando inatumiwa haswa maana watu wana stream video haswaa..na pia mitandao inayokula data kwa wingi kama YouTube, Instagram, tik tok n.k huko wabongo wamejazana sana. 15G kuisha in a month ni kitu ya kawaida sana. Na hiyo ni buku tu ya kenya

Nimewahi kuishi Bongo bana, hamna mtandao mwingine zaidi ya Voda, hao wengine ni choka mbaya wa kutupa mbali, labda kama wameboresha.
Nakumbuka nilivyohangaika na hiyo mitandao mara Tigo, mara sijui Haloel hovyoo kabisa too slow internet. Voda kidogo walikua nafuu, kasi yao inakaribia kufikia ya mitandao ya Kikenya.
 
Nimewahi kuishi Bongo bana, hamna mtandao mwingine zaidi ya Voda, hao wengine ni choka mbaya wa kutupa mbali, labda kama wameboresha.
Nakumbuka nilivyohangaika na hiyo mitandao mara Tigo, mara sijui Haloel hovyoo kabisa too slow internet. Voda kidogo walikua nafuu, kasi yao inakaribia kufikia ya mitandao ya Kikenya.
huku kuna mitandao kama utitiri.naiweka hapa kwa ubora na speed.

vodacom
tigo
halotel
airtel tz
zantel
ttcl.

bado smart na smile haiorodheshwi sababu ni premium sana,ina speed kubwa na ni ghali sana.
Screenshot_20210117-153541.jpg
 
Nimewahi kuishi Bongo bana, hamna mtandao mwingine zaidi ya Voda, hao wengine ni choka mbaya wa kutupa mbali, labda kama wameboresha.
Nakumbuka nilivyohangaika na hiyo mitandao mara Tigo, mara sijui Haloel hovyoo kabisa too slow internet. Voda kidogo walikua nafuu, kasi yao inakaribia kufikia ya mitandao ya Kikenya.
Acha mahaba ya kijinga, Bongo sio kama kenya eti itawaliwe na mtandao mmoja hiyo safaricom. Huku kuna uhuru mpana tu wa kuchagua bando uitakayo kwa mitandao tofauti
 
huku kuna mitandao kama utitiri.naiweka hapa kwa ubora na speed.

vodacom
tigo
halotel
airtel tz
zantel
ttcl.

bado smart na smile haiorodheshwi sababu ni premium sana,ina speed kubwa na ni ghali sana.
View attachment 1679681

Zote hizo moja tu ndio niliona ya maana, zingine ni choka mbaya....nimetumia zote hizo bana, naongea kitu ninachokijua. Tigo inafika mbali mikoani zaidi ya Voda ila yenyewe Tigo ni hovyo kupita maelezo.
 
Acha mahaba ya kijinga, Bongo sio kama kenya eti itawaliwe na mtandao mmoja hiyo safaricom. Huku kuna uhuru mpana tu wa kuchagua bando uitakayo kwa mitandao tofauti

Nazungumza kuhusu ubora wa huduma, internet ya Voda niliipenda ilikua inaniwezesha kufanya kazi zangu, hizo zingine tupa kule, kuchagua mtandao sio issue kikubwa ni huduma unayopata na nina uhakika Watanzania wengi wanaojua ukweli ninaousema wannapita kimya maana huwatamausha kishenzi.
 
Juzi TRA ya Tz walisema wamekusanya trilioni mbili, mitandao haikukalika kwa namna mataga walisifia wengine wakisema Tanzania sasa inaipiku Kenya kiuchumi, haya hapa KRA imekusanya mara mbili ya hiyo...
===============================

Kenya Revenue Authority (KRA) has signaled a speedy economic recovery after surpassing December 2020 tax targets by over Ksh2 billion.

A statement seen by Kenyans.co.ke showed that the taxman collected Ksh166 billion against a target of Ksh164 billion recording a performance rate of 101.3 percent.

The document further indicated that KRA made history in the Customs and Border Control Department which collected a total of Ksh60.8 billion, its highest ever.

KRA Commissioner General Githii Mburu disclosed that the milestone was the first-ever positive deviation the authority had recorded since the pandemic hit the country in March 2020.


“This was the first positive and above target collection rate since the outbreak of Covid-19 pandemic.

"The improved performance is attributed to the economic recovery following the relaxation of the stringent Covid-19 containment measures and enhanced compliance efforts by KRA in December." stated Mburu.
  • The Customs Department, with the historical collection, realised a 41 percent growth with a surplus of Ksh12.2 billion in targeted revenue.
    “This resulted in a cumulative surplus for customs revenue of Sh3.8 billion at the end of December 2020, compared to a deficit of Sh8.4 billion as at the end of November 2020," continued Mburu.
    The performance was largely attributed to the relaxation of tax measures that had been put in place by President Uhuru Kenyatta to cushion Kenyans from the effects of Covid-19 pandemic.
    Withholding tax crossed target by as much as Ksh725 million while corporate taxes missed the target by more than 6 percent.
    In 2021, the taxman is expected to increase the revenue collected after the taxation measures including VAT and PAYE were restored beginning January 1.
    Other taxes such as turnover and digital are also expected to boost the authority's revenue.
    Times Towers in Nairobi which houses Kenya Revenue Authority’s head office. Thursday, February 20, 2020.

    Times Towers in Nairobi which houses Kenya Revenue Authority’s head office. Thursday, February 20, 2020
    SIMON KIRAGU
    KENYANS.CO.KE
Uhuru keshasema sasa ni zamu ya makabila mengine kutawala, sio kila siku wakikuyu na wakalenjin tu. Tungoje tuone kama itakuwa hivyo. Na ikiwa hivyo sijui kama utaendelea kupiga porojo zako hapa.
 
Zote hizo moja tu ndio niliona ya maana, zingine ni choka mbaya....nimetumia zote hizo bana, naongea kitu ninachokijua. Tigo inafika mbali mikoani zaidi ya Voda ila yenyewe Tigo ni hovyo kupita maelezo.
hiyo voda ni kweli ni best kuliko hizo nyingine

ila haimaanishi hizo nyingine ni mbovu sana.voda inaacha nyingine kwenye strength ila speed kuna maeneo inapitwa.
 
Uchumi wetu ni mara mbili yenu, tunawazidi kwenye kila kitu, kielimu, kijeshi, kiuchumi na hata kujua English...hehehe hilo la kujua English huwa linawashikisha ukuta aisei... napenda sana kulitaja au sio GODZILLA
Zaidi ya waiba mikate na blueband Kenya haina jeshi. Muda USA akimaliza interests zake hapo Somalia itabidi Tanzania iingie vitani kuiokoa Kenya mikononi mwa el shabab.
 
Zaidi ya waiba mikate na blueband Kenya haina jeshi. Muda USA akimaliza interests zake hapo Somalia itabidi Tanzania iingie vitani kuiokoa Kenya mikononi mwa el shabab.
US washaondoka. Sasa si mje Somalia kutuokoa.
 
Hivi hizo pesa wakenya mnazipeleka wapi?
Maana miundombinu yenu ni mibovu na ya kizamani
Huko Kenya mwaka haukati bila kusikia migomo ya watumishi wa umma kisa malipo duni.
Usalama wa mashaka hadi Alshababu wameanzisha KRA yao.
Ninyi wenyewe lishe mbovu, mwezi haukati bila kusikia mkenya kafia kwa kifua ya Bibi yake.
Ufisadi mwanzo mwisho.

Wananunua uchawi wa kuroga majirani tu.
 
Back
Top Bottom