Dada zetu kwenye daladala

luckyperc

JF-Expert Member
Jan 17, 2011
495
46
wanapendeza ila wanapata tabu kwenye kukaa tu.......
mdada.jpg
 
Naona alikuwa akitangaza "supu".... Biashara matangazo bana!!
 
Yaani hujamuona hata Konda umemuona dada wa watu tu? haya asante kwa upaparazi Mpwa, mie nimepanda Lorry la mizigo toka Marangu narudi Dar tuko midume tupu!
 
Yaani hujamuona hata Konda umemuona dada wa watu tu? haya asante kwa upaparazi Mpwa, mie nimepanda Lorry la mizigo toka Marangu narudi Dar tuko midume tupu!
Konda nishampa chake mapema nimuone wanini tena?
 
biashara matangazo .... sasa hapo kweli ndo unaenda kwa boss
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom