Dada zetu kuweni makini na madanga mnayopata sehemu za starehe

Hakuna Mechanism ya Kuhifadhi kiungo cha Binadamu ili Kipandikizwe kwa Binadamu mwingine maana Figo ili iendelee kuwa Active na kufanya kazi lazima ipate Blood suppy muda wote tena yenye Chakula na Oxygen sasa kama Umaitoa ukaiweka hivyo vitu vitatoka wapi??? Ndo maana inabdi Itolewe na Kupandikizwa at Instant... Ndo maana hata mtu akifa na organ zake labda muwahi kabla hajapoa ndo itolewe otherwise inakufa nayo...
Nikiwa Nasoma South Africa miaka ya 200x nilishangaa kuona Leseni za Madereva wa Magari kuna Sehemu unakubali kuwa iwapo utakufa kwenye ajali Viungo vyako gani unavotoa ili kusaidia wagonjwa wenye huitaji hii ikiwemo maini na figo. Mbali na south Africa kuna nchi kama Canada pia zina hiyo system. Figo ya Binadamu inaweza kaa mpaka masaa 24 bila kuharibika na ikaweza wekewea mtu mwingine. kuna njia mbili za Kisayansi za Kuifadhi na kusafirisha figo za Binadamu hapa kuna picha ya kifaa na leseni ya mtu aliekubali toa viungo akipata ajali

4B77068F-8ABD-4AEB-9BBB-184E8FC75D7C.jpeg


6161CCA3-56A9-4DD0-874D-CA18CD4EB0F8.jpeg


7120865E-4483-42AD-8396-CAB1A37398E7.jpeg


849D3360-D9D1-4EB2-A280-79A1D02C140C.jpeg
 
Watu professional au wew unasema watu wenye Hela???? Kuna msemo unasemaga hela sio kila kitu ndo hapa sasa... Hapa ni ushirikina tu hakuna cha maana
Labda ulimnunulia ila hayakuwa makubaliano akupe mwili wake, ulifanya kama msaada tu. Usimlaumu, siku nyingine jifunze kuwa muwazi na 'clear and short'

hapana mkuu tulikubaliana na bei ya mali zake, akaomba apige vyombo, sikuwa na hiyana nikamruhusu apige vyombo tani yake ( mpunga mrefu ukanitoka,siri yangu) then akatangaza sound za njaa sikuwa na hiyana akaagizwa kwio mzima....mama tuondoke ooooh ngoja kidogo mama twende oooh ngoja kidogo, imefika mida mikali naambiwa nakuja babe...sikuwa nahiyana kumbe ndio naachwa....halafu nakutana naye hayo maeneo kama hanijui vile hata salamu..hahahahaha.....sasa huoni hapa amenifikisha kiwango cha juu cha tolerance yangu...halafu ananilia buyu....
 
hapana mkuu tulikubaliana na bei ya mali zake, akaomba apige vyombo, sikuwa na hiyana nikamruhusu apige vyombo tani yake ( mpunga mrefu ukanitoka,siri yangu) then akatangaza sound za njaa sikuwa na hiyana akaagizwa kwio mzima....mama tuondoke ooooh ngoja kidogo mama twende oooh ngoja kidogo, imefika mida mikali naambiwa nakuja babe...sikuwa nahiyana kumbe ndio naachwa....halafu nakutana naye hayo maeneo kama hanijui vile hata salamu..hahahahaha.....sasa huoni hapa amenifikisha kiwango cha juu cha tolerance yangu...halafu ananilia buyu....
Kakaa huyo Ungemfanyiziaaa...
 
Nikiwa Nasoma South Africa miaka ya 200x nilishangaa kuona Leseni za Madereva wa Magari kuna Sehemu unakubali kuwa iwapo utakufa kwenye ajali Viungo vyako gani unavotoa ili kusaidia wagonjwa wenye huitaji hii ikiwemo maini na figo. Mbali na south Africa kuna nchi kama Canada pia zina hiyo system. Figo ya Binadamu inaweza kaa mpaka masaa 24 bila kuharibika na ikaweza wekewea mtu mwingine. kuna njia mbili za Kisayansi za Kuifadhi na kusafirisha figo za Binadamu hapa kuna picha ya kifaa na leseni ya mtu aliekubali toa viungo akipata ajali

View attachment 2089521

View attachment 2089522

View attachment 2089523

View attachment 2089524
Nzuri mzee hapo sasa sawa imekaa kitaalamu sana mazingira sahihi haya
 
hapana mkuu tulikubaliana na bei ya mali zake, akaomba apige vyombo, sikuwa na hiyana nikamruhusu apige vyombo tani yake ( mpunga mrefu ukanitoka,siri yangu) then akatangaza sound za njaa sikuwa na hiyana akaagizwa kwio mzima....mama tuondoke ooooh ngoja kidogo mama twende oooh ngoja kidogo, imefika mida mikali naambiwa nakuja babe...sikuwa nahiyana kumbe ndio naachwa....halafu nakutana naye hayo maeneo kama hanijui vile hata salamu..hahahahaha.....sasa huoni hapa amenifikisha kiwango cha juu cha tolerance yangu...halafu ananilia buyu....
Pole sana kaka, nimekuita mshamba hapo juu ila nisamehe. Nakiri ningekuwa mimi ningeshindwa kuvumilia kabisa, huu ni ungese.
 
Haujui unachoongea. Figo ya mtu kuwekewa siyo kama unavyotoa ya mbuzi ya kwenda kupika. Ndugu zake wamesema hakufia guest wala hajatolewa figo. Nyie mmekazania figo figo... Mnapenda sana umbea.
Na wewe tutakuamini vip hayo mambo hata movie nyingi wanaonyeshe uhusika wa izo biashara wacha kuleta ujuaji watu wanauza kama kawaida
ivyo viungo vinauzwa kama kawaida tu kama nguo kikimatch na muhitaji anauziwa mbona damu tunatoa random zinahifahdiwa katika blood's bank kutokana na kundi husika ili lilikifafana muhitaji apapewq huduma

ki bongo ni ngumu nenda nje kama thailand kuna kisiwa watu wanauza kabisa na zinapelekwa huko europe kutoka thailand au iran mpaka europe ebu fuatilia wacha kukaza kichwa

mlaumu mtoa uzi
 
Back
Top Bottom