Mkulungwa01
JF-Expert Member
- Jul 14, 2021
- 3,979
- 5,295
We' kijana nitakutafuta, you're not defined, sometimes unaongea point mno.Wee unsema hennesy watu tunawala warembo kisa kitimoto au savannah na pizza
We' kijana nitakutafuta, you're not defined, sometimes unaongea point mno.Wee unsema hennesy watu tunawala warembo kisa kitimoto au savannah na pizza
Wee jamaa nakukubali. Unakandia pale unapotakiwa kukandia na unapongeza pale inapo stahiliHapo nakukubali, umeongea point mno.
Nikiwa Nasoma South Africa miaka ya 200x nilishangaa kuona Leseni za Madereva wa Magari kuna Sehemu unakubali kuwa iwapo utakufa kwenye ajali Viungo vyako gani unavotoa ili kusaidia wagonjwa wenye huitaji hii ikiwemo maini na figo. Mbali na south Africa kuna nchi kama Canada pia zina hiyo system. Figo ya Binadamu inaweza kaa mpaka masaa 24 bila kuharibika na ikaweza wekewea mtu mwingine. kuna njia mbili za Kisayansi za Kuifadhi na kusafirisha figo za Binadamu hapa kuna picha ya kifaa na leseni ya mtu aliekubali toa viungo akipata ajaliHakuna Mechanism ya Kuhifadhi kiungo cha Binadamu ili Kipandikizwe kwa Binadamu mwingine maana Figo ili iendelee kuwa Active na kufanya kazi lazima ipate Blood suppy muda wote tena yenye Chakula na Oxygen sasa kama Umaitoa ukaiweka hivyo vitu vitatoka wapi??? Ndo maana inabdi Itolewe na Kupandikizwa at Instant... Ndo maana hata mtu akifa na organ zake labda muwahi kabla hajapoa ndo itolewe otherwise inakufa nayo...
azam news janaChanzo kipi??
Watu professional au wew unasema watu wenye Hela???? Kuna msemo unasemaga hela sio kila kitu ndo hapa sasa... Hapa ni ushirikina tu hakuna cha maana
Labda ulimnunulia ila hayakuwa makubaliano akupe mwili wake, ulifanya kama msaada tu. Usimlaumu, siku nyingine jifunze kuwa muwazi na 'clear and short'
Kakaa huyo Ungemfanyiziaaa...hapana mkuu tulikubaliana na bei ya mali zake, akaomba apige vyombo, sikuwa na hiyana nikamruhusu apige vyombo tani yake ( mpunga mrefu ukanitoka,siri yangu) then akatangaza sound za njaa sikuwa na hiyana akaagizwa kwio mzima....mama tuondoke ooooh ngoja kidogo mama twende oooh ngoja kidogo, imefika mida mikali naambiwa nakuja babe...sikuwa nahiyana kumbe ndio naachwa....halafu nakutana naye hayo maeneo kama hanijui vile hata salamu..hahahahaha.....sasa huoni hapa amenifikisha kiwango cha juu cha tolerance yangu...halafu ananilia buyu....
Nzuri mzee hapo sasa sawa imekaa kitaalamu sana mazingira sahihi hayaNikiwa Nasoma South Africa miaka ya 200x nilishangaa kuona Leseni za Madereva wa Magari kuna Sehemu unakubali kuwa iwapo utakufa kwenye ajali Viungo vyako gani unavotoa ili kusaidia wagonjwa wenye huitaji hii ikiwemo maini na figo. Mbali na south Africa kuna nchi kama Canada pia zina hiyo system. Figo ya Binadamu inaweza kaa mpaka masaa 24 bila kuharibika na ikaweza wekewea mtu mwingine. kuna njia mbili za Kisayansi za Kuifadhi na kusafirisha figo za Binadamu hapa kuna picha ya kifaa na leseni ya mtu aliekubali toa viungo akipata ajali
View attachment 2089521
View attachment 2089522
View attachment 2089523
View attachment 2089524
Sasa si kuna ulazima wa kujua group la damu yako?
Pole sana kaka, nimekuita mshamba hapo juu ila nisamehe. Nakiri ningekuwa mimi ningeshindwa kuvumilia kabisa, huu ni ungese.hapana mkuu tulikubaliana na bei ya mali zake, akaomba apige vyombo, sikuwa na hiyana nikamruhusu apige vyombo tani yake ( mpunga mrefu ukanitoka,siri yangu) then akatangaza sound za njaa sikuwa na hiyana akaagizwa kwio mzima....mama tuondoke ooooh ngoja kidogo mama twende oooh ngoja kidogo, imefika mida mikali naambiwa nakuja babe...sikuwa nahiyana kumbe ndio naachwa....halafu nakutana naye hayo maeneo kama hanijui vile hata salamu..hahahahaha.....sasa huoni hapa amenifikisha kiwango cha juu cha tolerance yangu...halafu ananilia buyu....
Kijana Kupandikiza Figo tanzania tu Madoctor wa Bongo wana assist aisee hakuna kitu wanafanya wenyewe... wale wazungu wasipokuja process haiendi
Kuna midubwana fulani hivi humu nchini.😃😃Wanyakuzi? Ni akina nani hao?
Na wewe tutakuamini vip hayo mambo hata movie nyingi wanaonyeshe uhusika wa izo biashara wacha kuleta ujuaji watu wanauza kama kawaidaHaujui unachoongea. Figo ya mtu kuwekewa siyo kama unavyotoa ya mbuzi ya kwenda kupika. Ndugu zake wamesema hakufia guest wala hajatolewa figo. Nyie mmekazania figo figo... Mnapenda sana umbea.
. Na wewe umekua kama wale watoto eeeh?
Tafuta muda uje twende na J.. Na wewe umekua kama wale watoto eeeh?
Nimetamani jamani. Umenitia hamu ya kwenda Cape Town yani
. Na wewe umekua kama wale watoto eeeh?
Nimetamani jamani. Umenitia hamu ya kwenda Cape Town yani