Onyix
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 682
- 788
Leo katika kupeana salamu za Eid Mubarak.. Nikawasiliana na rafiki angu wa kike wa miaka mingi toka form one mpaka sasa kila mtu ana maisha yake... Katika salam za hapa na pale na hatujaonana kama mwaka hv..
Akanialika kwake nikapate chai na chakula cha mchana, basi nikaona sio tabu na vile kitambo hatujaonana nikajikokota mpaka kwake ni mbali kidogo... Kufika pale nikapokelewa vzuri na bidada mpaka ndani..
Kwa kuangali tu nikaona kama bimdada ametoka kuoga sasa maana alikua amejifunga kitenge, kilicho nishtua yule dada zamani alikua na rangi yake nzuri "black beuty" lakn leo nilivyomuona usoni ni mweupe lakin mgongo, vidole, miguu ni "black"..
Basi nikajikaza mwanaume nikaandaliwa chai pale sasa mimi huwa nna kichefuchefu flani hv nikisikia mafuta hasa huwa nayasikia kwa wahudumu wa Bar.. Nadhani ndo ya kujichubua hayo..(sina uhakika lakin maana hata siyajui) ila harufu niliisikia mpaka kwenye kikombe cha chai..
Ile chai ikanishinda kabisa nikajishaua nitakunywa baadae tupige kwanza story. Katika story nikamwambia live kwanini unanichubua akakataa kata kata akasema ndo alivyo hivyo.. Nikampa ushauri pale nikamsema sana anajiaribu kwa kujichubua..
Basi maneno yakamchoma.. Kapandwa na hasira akaanza kutoa maneno pale mwisho wa siku urafiki wetu akauvunja akasema nisimfatirie maisha yake.. Basi nikafukuzwa pale chai na pilau likaingia "shubiri"..
Swali kwa Dada zetu kubalini kuambiwa ukweli.. Unakuta kidada kinakwambia " I need some who can tell me the truth" havijui kama ukweli unauma ukiwaambia wanakasirika..
Acheni kujichubua jamani na ile harufu mnayotoa ya mafuta ya kuchichubua mkitoka jasho si ndo balaa
Eid Mubarak wadada wote mlio tunza rangi zenu.
Akanialika kwake nikapate chai na chakula cha mchana, basi nikaona sio tabu na vile kitambo hatujaonana nikajikokota mpaka kwake ni mbali kidogo... Kufika pale nikapokelewa vzuri na bidada mpaka ndani..
Kwa kuangali tu nikaona kama bimdada ametoka kuoga sasa maana alikua amejifunga kitenge, kilicho nishtua yule dada zamani alikua na rangi yake nzuri "black beuty" lakn leo nilivyomuona usoni ni mweupe lakin mgongo, vidole, miguu ni "black"..
Basi nikajikaza mwanaume nikaandaliwa chai pale sasa mimi huwa nna kichefuchefu flani hv nikisikia mafuta hasa huwa nayasikia kwa wahudumu wa Bar.. Nadhani ndo ya kujichubua hayo..(sina uhakika lakin maana hata siyajui) ila harufu niliisikia mpaka kwenye kikombe cha chai..
Ile chai ikanishinda kabisa nikajishaua nitakunywa baadae tupige kwanza story. Katika story nikamwambia live kwanini unanichubua akakataa kata kata akasema ndo alivyo hivyo.. Nikampa ushauri pale nikamsema sana anajiaribu kwa kujichubua..
Basi maneno yakamchoma.. Kapandwa na hasira akaanza kutoa maneno pale mwisho wa siku urafiki wetu akauvunja akasema nisimfatirie maisha yake.. Basi nikafukuzwa pale chai na pilau likaingia "shubiri"..
Swali kwa Dada zetu kubalini kuambiwa ukweli.. Unakuta kidada kinakwambia " I need some who can tell me the truth" havijui kama ukweli unauma ukiwaambia wanakasirika..
Acheni kujichubua jamani na ile harufu mnayotoa ya mafuta ya kuchichubua mkitoka jasho si ndo balaa
Eid Mubarak wadada wote mlio tunza rangi zenu.