Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,166
- 4,581
Inachanganya sana maana wanawake wengine wanasema size sio ishu maana raha ipo juu na cha msingi mtu ajue kutumia dudu.
Wengine wanasema size kubwa ndio kila kitu. Huku wakiponda wnanaume wenye size ndogo.
Sasa upi ni ukweli? Maana kila kukicha wanawake wanachepuka hovyo na huku ugoni ukikamatika kila siku. Nini ukweli juu ya size?
Wengine wanasema size kubwa ndio kila kitu. Huku wakiponda wnanaume wenye size ndogo.
Sasa upi ni ukweli? Maana kila kukicha wanawake wanachepuka hovyo na huku ugoni ukikamatika kila siku. Nini ukweli juu ya size?