Dada zetu, acheni kutumia uhusiano kama fursa ya kutimiza ndoto zenu

Equation x

JF-Expert Member
Sep 3, 2017
29,323
40,172
Maisha ya mjini kila mmoja anapambana kwa kila njia ili aweze kutimiza malengo yake. Mbaya zaidi baadhi ya dada zetu, wanatumia uhusiano kama fursa ya kutimiza ndoto zao. Unakuta mzee wa watu; labda mkulima, mfugaji, au mstaafu baada ya kupata mafao yake hushawishiwa na wadada wa mjini kuwa kwenye mahusiano batili; ya kutoa pesa ili uweze kupata huduma. Baada ya pesa kukata, mzee hurudi nyumbani kusumbua familia.

Nawashauri wadada wa mjini, waache hiyo tabia; wakiendelea nayo hawatafika mbinguni.

mafao.jpg
 
Mdingi kauza ng’ombe mjini anarudi kijijini na stori ya kula kimasihara familia inakufa kwa njaa. Tatizo sio wanawake ni hao wazee na wastaafu mwehu



Lunatic
 
Mdingi kauza ng’ombe mjini anarudi kijijini na stori ya kula kimasihara familia inakufa kwa njaa. Tatizo sio wanawake ni hao wazee na wastaafu mwehu



Lunatic
Kwa mazingira ya kawaida tu, huyo mzee hapo juu angeweza kuchomoa?
 
Maisha ya mjini kila mmoja anapambana kwa kila njia ili aweze kutimiza malengo yake. Mbaya zaidi baadhi ya dada zetu, wanatumia uhusiano kama fursa ya kutimiza ndoto zao. Unakuta mzee wa watu; labda mkulima, mfugaji, au mstaafu baada ya kupata mafao yake hushawishiwa na wadada wa mjini kuwa kwenye mahusiano batili; ya kutoa pesa ili uweze kupata huduma. Baada ya pesa kukata, mzee hurudi nyumbani kusumbua familia.

Nawashauri wadada wa mjini, waache hiyo tabia; wakiendelea nayo hawatafika mbinguni.

View attachment 2015711
daah, mzee kavua kabisa, hataki mchezo, hapo nyege nyegeni
 
Back
Top Bottom