Dada zangu wa kichaga jisafisheni kimapenzi maana sehemu kubwa ya jamii inawaogopa kimapenzi

Siku moja dingi alinikalisha chini a kuanza kunipa somo. Akaniambia, nikitaka kuoa, nimjulishe. Lkn alinionya nisiende uchagani, nilipoylizwa why? Akasema, kuna mha wa kwanza kupata doctorate, alioa uchagani na alifanya kazi kama mkuu wa mkoa k'njaro. Aliuwawa kwa sumu eti watoto wasijekujua kuwa ni waha. Hadi leo hawakuwah kwenda buha. Ktk ptapta zangu, hasa chuon, kuepuka kuingia mikononi mwa mchaga, ngum sana, ila nilipona japo kwa mbinde, kwa sasa niko na wife toka kwa kina Pinda
 
mmmhhh..me hata cna ham tena na hawa wachaga..yan unaweza kukaa wk bila kuwacliana ck ukipiga cm2 ama baada ya salaam unapewa 'invoice' hatakama uko ICU..
 
Mapenzi ni kuchagua pia,ukiona sijui mmachame anakufaa we beba tu,ila kwangu mimi makabila yenye issues HELL NO!!!
 
sijakuelewa mleta mada. Tujisafishe vipi?
Siku zote tunagombaniwa kwa ajili ya kuolewa. Tena na vijana wenye akili. sio wale wa ovyo ovyo. Wale wanaume Suruale hawatuwezi. Inabidi uwe wa kiume kweli.
Siku zote relationship za short time hazivumi/ hazinogi kwa wasichana wa kichaga. Nadhani ungewaambia makabila mengine waige wasichana wa kichaga.
commit, focus, vision, strong, hard work, genuine, humble, beautiful to the old age etc hata najisumbua kutaja sifa zinazowachanganya watu.

Shida ni pale unapokosa wako, then jamii forum/fb viko hapa, lazima ulalamike.
Majanga ya wapenzi kuuana yapo tu siku zote ulizia kesi za mauaji ya mapenzi, asilimia kubwa tunajua zinatokea wapi.
 
Sema tu Madam.Mwenzio nilipambana na ndugu na wazazi wangu hatimaye nimeshinda,walikuwa awamtaki mchaga,ingawa bado kuna dada zangu wanajifanya wana roho ya paka lakini wazazi wamemkubali Wife,sasa hivi tunakula maisha na mke wangu a.k.a jembe.Namkubali sana Wife.Asanteni wachaga,Asanteni wana Rombo kwa kuniletea yule mtoto wa ukweli.Saluti kwenu.


Kuwa mjanja bro wanakuvutia spid ujenge mjengo wa ukweli watoto wakue hasa wakiume na akaunti ya benki inenepe then wanakusepesha
 
Wanawake wakichaga wana akili sana ya maisha. We ukitaka maendeleo ya haraka oa uchagani ila uwe tayari kufanyia kazi ushauri mkeo atakaokupa kuhusu maendeleo! Hiki ni kipaji na wanapaswa kumshukuru Mungu kwa sababu tumepewa bure!


makabila mengi huwaogopa wachagga kisa elimu na sio uchagga wao pia wanahofia kuwa wachagga hawana utani kwenye ufujaji wa hela zao usitegemee ukaomba omba ukapewa hela burebure tu lazima uitengenezee invoice sasa wanawadanganya matoto yao ya kiume yaoe vyasaka wenzao ila wawafujie hela hebu angalia viongozi wenye hadhi kubwa na elimu chunguza wake zao ni kabila gani.tatizo sio uchagga wao smile ni elimu ya akili zao zinazoona mbani na zimeshapanuka sana Smile
walikuja na dhahania ohh wachagga wanaume /wanawake hawajui mapenzi sasa hiyo dhana imekufa wameibuka na hili.
 
hata mimi nimepewa wosia nioe dini yoyote na kabila lolote isipokuwa mchaga tu! wanapenda kivutia maendeleo kwao, hawana heshima kwa wakwe zao na mkishachuma wanakuondoa duniani......reference ni wamama wengi wa kichaga ni wajane mijini na wanaendeleza mali walizowapora marehemu waume zao
 
Mimi si Mchagga ila hili neno la Vyasaka si zuri kulitumia. Nina mpenzi wa Kichagga kwa sasa na kila nikitaka kupenyeza hili jambo kutaka kujua wanawachukuliaje wasichana wa kichagga mzazi wangu amekuwa na mtizamo hasi (Negative attitude) juu ya wachagga.

Lakini kabla ya hapa nilitoa taarifa ya kwamba nilikuwa na msichana ambae katokea ukanda wa huko kwetu, lakini mwisho wa siku haikumature. na ni yeye alikuwa na matatizo.

Nina wakati mgumu wa namna ya kusema nyumbani kuwa kwa sasa nimepata rafiki wa kichagga mtoto wa Kimarangu.
Mi nimemkubali na anamwogopa Mungu.

Naunga mkono hoja wasichana wa Kichagga au wanaume waliooa wachagga wawasafishe wake zao na hii dhana. Nina wakati mgumu hasa pale ndugu wanapokuwa wagumu kupokea mabadiliko.

Wamarangu sio wamachame fanzan haraka.
 
Lkn mbona wako poa tu. Mi nnae wa kwangu huu ni mwaka wa pili tunapiga maisha na hakuna cha ajabu, ukiishi na mtu kwa kutomwamini au kumtilia mashaka ni kweli kila siku utakua under stress...mpe nafasi uone hayo yanayosemwa kwake utayaona? Jamii nyingi siku izi zimebadilika kutokana na elimu zitolewazo kila kukicha kupitia NGO's na hata serikali.

...mdau Kontelo tunza vizuuuuuri hii post yako. God bless you.
 
Kililidzo umetokota mbaya, kwataarifa yako vyote ulivyotaja sijui kibwata na hiyo nyingine havipo kwenye lugha ya kichaga.
Na usi quote maandiki kupotosha maana ya maandiko Mungu alimuumba Adam na akamuumba Hawa awe msaidizi. Na kama ulivyotolewa mifano ni viongzi wangapi wenye wake wa kichaga wenye mafanikio? Mbali na viongozi familia ngapi zenye wake za kichaga wenye aendeleo? " Behind every successful man ......"
Hapana chezea jembe wewe! CHAGGA LADIES BIG UP SANA
 
hata mimi nimepewa wosia nioe dini yoyote na kabila lolote isipokuwa mchaga tu! wanapenda kivutia maendeleo kwao, hawana heshima kwa wakwe zao na mkishachuma wanakuondoa duniani......reference ni wamama wengi wa kichaga ni wajane mijini na wanaendeleza mali walizowapora marehemu waume zao

Wewe rudi shule ukasome uondoe umbuumbu kichwani
 
Me nna mmachamee ila kakulia tanga na anaish tanga....asee ni balaaa
Ananipa vtu baridiiiiiiiiiii.....hao wamachame wengne ni wakichina..!!!!
 
Mkuu hapa either umeandikiwa na mkeo mchaga, au umepigwa bonge limbwata, lile wanaita shuntama, hadi ujielewi kabisa. Au laah Ni mwanaume suruali kazi zote anafanya mkeo we unakula bure. Mi toka nizaliwe sijawahi kusikia mwanaume anasema Yuko hivo alivyo kwa sababu ya mkewe. Hata maandiko matakatifu yanapingana na maneno yako maana yanamtaja mwanaume kuwa kiongozi wa nyumba.
Hapa Nina uhakika umewaogopesha watu kuoa wachaga badala ya kuhamasisha maana mtu akiona mwanaume anaibuka jukwaani na kusifia kuwa mkewe Ni kila kitu ujue kageuzwa zuzu. Wachaga noma kama ndio wanawafanya hivi nyie vyasaka wao. Sisi wanyaki mwanaume ndio kila kitu bhana, mke hata mshahara anapitishia akaunti ya mumewe na maisha mazuri mno hatujui hata kwa mganga wa kienyeji kunafananaje kama hao wenu. Jitambue kaka.

Sina shaka na mke wangu, nimepata maisha niliyo nayo kwa juhudi zake na zangu. Ninajitambua na mke wangu ana uhuru na mshahara wake!!! Maisha ya ndoa ni maelewano from day one!!! Na sijabadilika kuwa zuzu wa aina yoyote!!! We sit together as family, we plan na maisha supper. Mambo ya limbwata sijui nini siyajui mimi. Mungu ni zaidi ya limbwata hata dawa zenu za wahaya, akiwa wa kwanza kwa mipango yenu wala hutawaza habari ya kuhifiana na kuanza kufyetuliana risasi kama kina Ufoo na Mushi wake.
 
Kuna BAADHI ya wachaga wenye roho safi na akili nzuri sana... Na kuna ambao hiyo roho chafu ndio MUONGOZO wao wa kitamaduni... Mwisho wa yote "we chagua ila muachie mungu akuchambulie"
 
Mie ni mchaga pia ila huwa naudhika sana pale jitu zima na akili zake linapohusisha mambo ya kabila na swala lakuoa kinachotakiwa ni kumfahamu kwa undani unaetarajia kumuoa nakujua utaishi nae vipi haya makabila ni historia tu ya chimbuko la mtu,mie mchumba wangu Mama mnyeramba Baba msukuma na tupo pa1 miaka zaidi ya mi5.
 
Kwanza napenda kudeclare interest,kuwa mimi ni mangi wa marangu.

Pili napenda kusema mambo ya tabia huwa yanajengwa na mazingira ambamo huyo mtoto wakike au wakiume amekulia au kulelewa.

Jambo jingine kuna mambo ambayo mtu hautakiwi kuvuka mstari kama alivyosema ndugu yetu wa Rwanda.

Ukikuta hata mtoto wa kitanga au wakinyaki amekulia mazingira ya hovyo hata matendo yake yata akisi mazingira aliyolelewa.

Kwa maana hivyo siyo kila aliye oa machame waliishia kufa au kutangulizwa mbele za haki,wapo waliozaa na kuzeeka pamoja.

Natanguliza shukrani.

kwa hiyo kihesabu, kuna asilimia.....kwamba asilimia fulani waliishi hadi uzeeni, na wengine, ndo hivyo waliishia njiani??
 
Back
Top Bottom