Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo kwenye "throating" ndio udhaifu wangu ulipo.
Kweli umri huo bado hujakutana na pisi ziko vizuri kila sehemu?.
Eeeeh Mitaani Tena😂😂😂Endelea kudanga
Kaka, naomba nikuulize, haya maneno utatamani kuja mwambia binti yako umpendae kuwa it's okay atembee na kuwa na mahusiano na watu mbali mbali bila sababuMimi nadhani tuwaache wanawake wachague mtu wanayeona anawafaa kutengeneza nao maisha. Ajibebee tu then what? Maisha haya kila mtu aishi kufuatana na vile anataka kuishi. Kwani lazima awe na ndoa, au imeandikwa wapi kuwa mtu mume au mke atalaaniwa asipoingia kwa ndoa?
Acha watu waishi vile wanavyopenda muhimu wasivunje sheria za nchi.
Unadhani binti yangu nitamwambia tofauti? Unataka aingie kwenye ndoa na mtu ili mradi afurahishe dunia? Ndoa sio kitu cha mchezo mchezo mama, unatakiwa kujitoa hasa...wengi wanashindwa na wanawaachia wenzao!!Kaka, naomba nikuulize, haya maneno utatamani kuja mwambia binti yako umpendae kuwa it's okay atembee na kuwa na mahusiano na watu mbali mbali bila sababu
Sent using Jamii Forums mobile app