Ndiyo inatokea pia, unaweza kupanda gari kuukuu kama JABA na dereva
kafanana na hilo Gari, Hana mvuto wa kukufanya usikie raha ya safari
ili usafiri vizuri unajenga picha kuwa uko ndani ya SHANGINGI huku ukiendeshwa
na mbunge kijana. INATOKEA, hivyo usijidanganye kuwa kila abiria wako huwa anafurahia hiyo
safari yako kwani madereva wengine ni vimeo bila hivyo hupati raha ya safari.
si kujitesa tu
ule kwa mama ntilie uhisi uko Kempisiki....
ya nini??/
Mimi haijawahi kunitokea hiyo situation,nitakua muongo kusema ndio..
teh teh teh..
da mi nimuadhirika wa hiyo kitu mazee.sometimes nahc ananistukia.