Akilitime
JF-Expert Member
- Dec 27, 2017
- 581
- 757
Ninafurahi kuwa sehemu ya jukwaa hili lililosheheni wataalamu, washauri waliojaaliwa hekima na busara.
Naamini kupitia jukwaa hili pasi nashaka nitaongezewa utambuzi kiakili na kifikra.
LENGO: Nina Girl friend ambaye takribani miezi 7 yapata tangu tuanzishe mahusiano ya kimapenzi,
Kutokana na ups and down za hapa na pale ambazo tumekuwa tukipitia kiukweli nimekuwa nikiona ni jinsi gani bidada huyu alivo na upendo wa dhati kwangu, Ilikuwa ikifika hatua yeye ndo ananitoa tukipanga kwenda out, muda wote hakupenda kuniacha mwenyewe kuingia gharama,
Nawaza sema amekuwa akinichukulia na kunicare kama mume wake na mimi nikimtunza kama mke wangu.
TATIZO: Mda wote wa mahusiano yetu, kamwe kaka yake hakupenda mdogo wake awe kwenye uhusiano na mimi,
Huyu kaka ni wa makamo na ana familia na watoto, Imefikia hatua simu ya Gf wangu kaiwekea track calls(spy) ili kunasa wawasiliano yetu, Katika hayo yote bado huyu dada anasisitiza hawezi niacha,
Imefikia hatua natishiwa kuuawa na huyu kaka, akidai kwamba mdogo wake bado mwanafunzi japo kamaliza kidato cha sita huu, na hakubahatika kupata nafasi ya chuo mwaka huu wa masomo,
Bidada tangu naye apokee vitisho kutoka kwa kaka yake hii ni siku ya pili simu yake haipatikani. Yeye anaishi Dodoma, me nipo morogoro. Katika hili bado nimeshindwa kung'amua. Kuachana naye ili kutimiza mapenzi ya kaka yake, au kuendelea naye na kutimiza malengo ya kuoana,
Ili hali nikichukiwa na kaka yake?
Naombeni ushauri wakuu na wataalamu wa jamvi hili.
Asanteeni
Naamini kupitia jukwaa hili pasi nashaka nitaongezewa utambuzi kiakili na kifikra.
LENGO: Nina Girl friend ambaye takribani miezi 7 yapata tangu tuanzishe mahusiano ya kimapenzi,
Kutokana na ups and down za hapa na pale ambazo tumekuwa tukipitia kiukweli nimekuwa nikiona ni jinsi gani bidada huyu alivo na upendo wa dhati kwangu, Ilikuwa ikifika hatua yeye ndo ananitoa tukipanga kwenda out, muda wote hakupenda kuniacha mwenyewe kuingia gharama,
Nawaza sema amekuwa akinichukulia na kunicare kama mume wake na mimi nikimtunza kama mke wangu.
TATIZO: Mda wote wa mahusiano yetu, kamwe kaka yake hakupenda mdogo wake awe kwenye uhusiano na mimi,
Huyu kaka ni wa makamo na ana familia na watoto, Imefikia hatua simu ya Gf wangu kaiwekea track calls(spy) ili kunasa wawasiliano yetu, Katika hayo yote bado huyu dada anasisitiza hawezi niacha,
Imefikia hatua natishiwa kuuawa na huyu kaka, akidai kwamba mdogo wake bado mwanafunzi japo kamaliza kidato cha sita huu, na hakubahatika kupata nafasi ya chuo mwaka huu wa masomo,
Bidada tangu naye apokee vitisho kutoka kwa kaka yake hii ni siku ya pili simu yake haipatikani. Yeye anaishi Dodoma, me nipo morogoro. Katika hili bado nimeshindwa kung'amua. Kuachana naye ili kutimiza mapenzi ya kaka yake, au kuendelea naye na kutimiza malengo ya kuoana,
Ili hali nikichukiwa na kaka yake?
Naombeni ushauri wakuu na wataalamu wa jamvi hili.
Asanteeni