Dada zangu: Mwanaume aliyekuacha kwa dharau na dhihaka akiomba mrudiane, usikubali

Kanungila Karim

JF-Expert Member
Apr 29, 2016
20,744
25,425
Mwanaume yeyote aliyekuacha kwa dharau, dhihaka, matusi au hata kukuonyesha uchafu aliokuwa akiufanya na wanawake wengine, akiomba mrudiane naye usikubali.

Nakusisitiza tena, USIKUBALI. Kama alishindwa kutambua thamani yako wakati mpo pamoja hadi mkaachana, hawezi kuitambua tthamani yako mkirudiana. Furaha ya mwanaume kama huyo ni kumuona mwanamke aliyeachana naye akipata shida, akilia na kuuzunika katika maisha yake.

Mwanaume hujihisi fala pale anapokuona unaendelea na maisha yako kama kawaida, unafuraha na amani katika moyo wako, humtegemei wala kumlilia kama ulivyokuwa ukilia hapo awali juu yake, hivyo atafanya kila liwezekanalo mrudiane then akurudishe kwenye vikwazo ulivyovivuka.

Endelea kumuomba Mungu akupe ujasiri wa kusimama mwenyewe katika maisha yako. Muombe sana Mungu aendelee kuyalinda mahusiano yako mapya, ampe imani ya kukujali huyo mwenza wako mpya, akupende na kuyafanya mahusiano yenu kuwa yenye tija.

Muepuke sana mwanaume aliyekuacha kwa mbwembwe kisha anarudi kwa hekima akitaka mrudiane baada ya kukuona umefanikiwa kuyashinda majaribu yake na furaha yako kuimarika,
#nimekumaliza kama utasema oooh mimi nampenda sana bado wewe mruhusu utajionea hata wiki haipiti akisha kutia tu..
Yale yale yanaanza no sms no calls no anything utakua shamba la bibi😅😅😅
 
Mwanaume yeyote aliyekuacha kwa dharau, dhihaka, matusi au hata kukuonyesha uchafu aliokuwa akiufanya na wanawake wengine, akiomba mrudiane naye usikubali.

Nakusisitiza tena, USIKUBALI. Kama alishindwa kutambua thamani yako wakati mpo pamoja hadi mkaachana, hawezi kuitambua tthamani yako mkirudiana. Furaha ya mwanaume kama huyo ni kumuona mwanamke aliyeachana naye akipata shida, akilia na kuuzunika katika maisha yake.

Mwanaume hujihisi fala pale anapokuona unaendelea na maisha yako kama kawaida, unafuraha na amani katika moyo wako, humtegemei wala kumlilia kama ulivyokuwa ukilia hapo awali juu yake, hivyo atafanya kila liwezekanalo mrudiane then akurudishe kwenye vikwazo ulivyovivuka.

Endelea kumuomba Mungu akupe ujasiri wa kusimama mwenyewe katika maisha yako. Muombe sana Mungu aendelee kuyalinda mahusiano yako mapya, ampe imani ya kukujali huyo mwenza wako mpya, akupende na kuyafanya mahusiano yenu kuwa yenye tija.

Muepuke sana mwanaume aliyekuacha kwa mbwembwe kisha anarudi kwa hekima akitaka mrudiane baada ya kukuona umefanikiwa kuyashinda majaribu yake na furaha yako kuimarika,
#nimekumaliza kama utasema oooh mimi nampenda sana bado wewe mruhusu utajionea hata wiki haipiti akisha kutia tu..
Yale yale yanaanza no sms no calls no anything utakua shamba la bibi😅😅😅
Fact
 
Wewe Ni Nani haswa mpaka uwapangie watu jinsi ya kuishi?mtu akitaka kumsamehe mtu mwache amsamehe kwa roho yake.wewe hayakuhusu
 
Kuna demu nilikuwa nampaga hela. Kuna kipindi nilimtimua kwa dharau nikamwambia asinitafte.
Toka juzi ananitafta anaomba turudiane.
Hakuna mwanamke atakukataa ukiwa unampa pesa tanzania hii ata umfukuze kwa dharau kiasi gani.
Wanaume tutafteni pesa hizi theory zao haziapply kwa wanaume wenye pesa


Sent from my iPhone using JamiiForums
 

Similar Discussions

8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom