Dada zangu mnaosumbuliwa na maumivu ya mgongo na hamjui sababu, msaada umefika

Ndo maana mgongo unaniumaaaaa😁😁😁😁.... 3 tyms a week😁😁😁...!
ila kwenye ugali.ngumi Dk lifikirie hilo tena kwakwel...ss hvuak nakula matunda usiku lakini asbh nikiamka nnashikwa sana na njaa..nakaribiaga kukata kauli...sijajua shida nn ....
ila kiukwel nasumbuliwa sana mgongo
:D:D:D tiba ya mgongo nione.

Ili usiamke na njaa kali, usiku kula kiasi (usishibe sana) na iwe mapema; kama saa 2-3 kabla ya kulala.
 
Wanaume wenyewe ndo hawa wasio na shukrani!!!! Akuuu bibi weeee
Mmmh!! Usiwalaumu tu wanaume, usikute hata upande wako kunaweza kuwa na tatizo, tafakar vizur.

Wanaume wanaojua kupenda mbona wapo wengi.
 
'Hamuna' kitu
Hakuna haja yakutafuta mwanaume handsome sanaaaa

Chagua tu anaekwambia kakupenda na anaweza kuku handle basi, unamkubalia.

Maana ukifata sana muonekano, utajikuta kwa tapeli.
 
Shukrani sifuri awe hensam au sura mbaya, maskini tajiri, mrefu mfupi nikifanya nafanya kuuridhisha mwili na moyo lakini sio kuwaridhisha nyie
Hakuna haja yakutafuta mwanaume handsome sanaaaa

Chagua tu anaekwambia kakupenda na anaweza kuku handle basi, unamkubalia.

Maana ukifata sana muonekano, utajikuta kwa tapeli.
 
Duuu, na zile stayle zote za kimahabati unazijua??
Shukrani sifuri awe hensam au sura mbaya, maskini tajiri, mrefu mfupi nikifanya nafanya kuuridhisha mwili na moyo lakini sio kuwaridhisha nyie
 
Back
Top Bottom