Ilia uanze kuact kama deputy jesusNaweza kukusaidia madame.
Nitakutafuta PM nikipata muda.
manengelo Changanya maji ya ndimu, mafuta ya mzaituni, karafu maiti na almiti jichue asubuhi na jioni utanambieAlmost 8yrs nw...nilianza kazi baada ya 3dys za kufua ..unaumaga had nalia
Mtaachika mabinti...toa tendo la ndoa kila siku na kwa muda anaotaka mumeo..hv mnafundwa na nani lakini??
Hakuna mkuuKwan kuna ubaya??
manengelo Changanya maji ya ndimu, mafuta ya mzaituni, karafu maiti na almiti jichue asubuhi na jioni utanambie
ha ha ha ha hiyo ni basic needUmeanza vizuri,, ulipoingiza habari za sex niaacha kuisoma. shetani mkubwa.wewe
zinauzwa madukani waulize, ila usipake ukiwa na watoto ni kali sana kwa mtu mwenye allergy ya harufu kali hatakaa karibu na wewe na usipake ukiwa unataka kulala maana inavyonukia yaweza kumkera mumeoKarafuu maiti ndo zipi best
tiba ya mgongo nione.Ndo maana mgongo unaniumaaaaa😁😁😁😁.... 3 tyms a week😁😁😁...!
ila kwenye ugali.ngumi Dk lifikirie hilo tena kwakwel...ss hvuak nakula matunda usiku lakini asbh nikiamka nnashikwa sana na njaa..nakaribiaga kukata kauli...sijajua shida nn ....
ila kiukwel nasumbuliwa sana mgongo
Mvivu weweeeee
Mmmh!! Usiwalaumu tu wanaume, usikute hata upande wako kunaweza kuwa na tatizo, tafakar vizur.
Wanaume wanaojua kupenda mbona wapo wengi.
Hakuna haja yakutafuta mwanaume handsome sanaaaa
Chagua tu anaekwambia kakupenda na anaweza kuku handle basi, unamkubalia.
Maana ukifata sana muonekano, utajikuta kwa tapeli.