Mkuu inatakiwa kuwa hivi...
Ugali ngumi yako +
Protein (nyama au maharage) ngumi yako. +
Matunda na mboga mboga ngumi yako.
Nahakika ukiweka vyote hivyo sahani itajaa hadi juu.
Na utashiba kabisa ukinywa na maji.
Kama ulikuwepo mbona hukujibu uzi wako niliouona mwezi jana uliukimbia. pole ila ukifanya hivyo kwa mwezi mara moja tu na kwa wiki mara moja kunywa dozi ya maji alfajiri lita 1.5 usiku mwingi kama saa 9 kwa dka 2 yaishe, mchana nusu lita kabla hujala na jioni nusu lita basi inshallah utaona neema.
😋😋😋😋aisee ila kweli... ss unanishaurije Dk😎...ushauri wako nitaifanyia kazi hv pundeNdio, hapo ndio mwili utakua active ipasavyo.
Kama ulikuwepo mbona hukujibu uzi wako niliouona mwezi jana uliukimbia. pole ila ukifanya hivyo kwa mwezi mara moja tu na kwa wiki mara moja kunywa dozi ya maji alfajiri lita 1.5 usiku mwingi kama saa 9 kwa dka 2 yaishe, mchana nusu lita kabla hujala na jioni nusu lita basi inshallah utaona neema.
Kama ulikuwepo mbona hukujibu uzi wako niliouona mwezi jana uliukimbia. pole ila ukifanya hivyo kwa mwezi mara moja tu na kwa wiki mara moja kunywa dozi ya maji alfajiri lita 1.5 usiku mwingi kama saa 9 kwa dka 2 yaishe, mchana nusu lita kabla hujala na jioni nusu lita basi inshallah utaona neema.
Tafuta mkuu, wanaume sio wazembe kihasi hicho,
Hujataka tu kuwa na sexual partner.
Naweza kukuhoji kwanza nijue, ulivo na tatizo lako lina mda gan. Kwa msaada zaidi.aisee ila kweli... ss unanishaurije Dk...ushauri wako nitaifanyia kazi hv punde
Hapo kwenye sex mara tatu kwa siku hapo!!! Nani huyo wa kukufanya hivyo!!! Hawa hawa wanaopiga dk mbili chali almaarufu wanaume wa daslam???
Na je akiwa mwanaume wa mkoani mara tatu kwa siku kila mzunguko mmoja tufanye unatumia saa moja kwahiyo kila siku masaa matatu ya kufanyana!!! Je kabla ya hapo muda wa maandalizi yake!!!
Maisha mengine ya kila siku yasimame!!! Kisa kutengeneza mwili?
Hata mimi hilo zoezi silitaki, bora niruke kamba.
Sisi wanaume huwa tunapata shida moja,Nataka mpenzi sio sex p
Hata mimi hilo zoezi silitaki, bora niruke kamba.
Kwa hili mimi nimeisha nyanyua mikono juu.Mtaachika mabinti...toa tendo la ndoa kila siku na kwa muda anaotaka mumeo..hv mnafundwa na nani lakini??
Sisi wanaume huwa tunapata shida moja,
Ukiona mwanamke anae kufaa, ukijarbu kuwa karbu nae ili uweze kumtongoza, unakuta anakukwepa.
Lakini kwa nyinyi wasichana masharaha ukipenda mwanaume na ukaona ni husband material sio kazi sana kumpata.
Ni rahis tu kwani ulitaka ukarbu nae siku mbili tu lazima akutongoze.
But:
Note: swala la yeye kuja kukuacha na mengineyo ni kitu ambacho chaweza kutoea au sitokee.
niseme tu ni sahihi kujijengea mawazo kuwa, kuachana na mpenzi kupo tu yawezekana sana kwani binadamu tuna mambo mengi.
Hahahhaa wanakua hawana hamu kwasababu wanawaza sana pesa hawafai hawa kbs yaani..mm sitak hata kukaa nao kRibu ...iweje ukatae sex jaman kwa mumeoKwa hili mimi nimeisha nyanyua mikono juu.
Wasichana wengine wa bongo, sijui pschologia zao zina shida gan???
Why usitake sex???
Mwanaume ukimpenda anaanza kuact kama slay queen ndo ujinga tunaukataa