Surya
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 8,378
- 12,573
kwa wale dada zangu ambao wamekua wakipitia kipindi cha kuchoka choka mwili na maumivu ya mgongo pamoja na kuwa na uzito mkubwa wa mwili (unene)
hatua hizi zifuatazo ni tiba tosha na wala huitaji kumeza kidonge cha aina yoyote.
1. Diet (mlo kamili)
swala la kupata mlo kamili ni muhimu kwa kila binadamu, nitatoa maelezo mafupi kidogo kuweka sawa yale ambayo wengi wamekua hawaelewi.
mlo kamili unatakiwa kuwa hiv- ukamilishe sahani yako ya chakula ikiwa imelingana ujao kwa makundi matatu muhimu ya chakula ambayo ni wanga, protein (vyakula vya kujenga mwili), vitamin (mboga mboga na matunda). ukiweka makundi haya vote matatu kwa ujazo sawa katika sahani yako hapa ndio huwa tunapata ugali ngumi yako, pamoja na hayo makundi mawili yakikamilisha sahani ya chakula kwa hakika utashiba na utaweza kustahimili kutoka dinner hadi lunch kupata chakula cha usiku kama maelezo yanavojieleza.
usiongeze vyakula vya sukari nje na sahani yako ya chakula.
2. Exercise (mazoezi) ikiwemo + Sex.
nikiongelea mazoezi sio hadi uende kukimbia na uzunguke uwanja kila siku, hapana
kuna aina nyingi za mazoezi ambayo ukifanya utaweza kujiepusha na matatizo hayo apo juu.
mazoezi hufanya mzunguko wa damu kuwa active na ndio kitu pekee ambacho kitaweza kukuepusha na maumivu ya mgongo usio jua sababu zake, iwekea akili yako active ukishirikiana na watu walio kuzunguka, jitahid kuwa busy, fanya Sex mala 3 kwa week ikiwezekana au zaidi na uchojoe mala moja kila ukifanya sex or more.
Hakika mwili wako utakua active na utajiepusha na stress, magonjwa kama kisukari na kupanda kwa presha ya damu. kwani haya yote hutegemea mzunguko wa damu.
by Dr. Suriya
hatua hizi zifuatazo ni tiba tosha na wala huitaji kumeza kidonge cha aina yoyote.
1. Diet (mlo kamili)
swala la kupata mlo kamili ni muhimu kwa kila binadamu, nitatoa maelezo mafupi kidogo kuweka sawa yale ambayo wengi wamekua hawaelewi.
mlo kamili unatakiwa kuwa hiv- ukamilishe sahani yako ya chakula ikiwa imelingana ujao kwa makundi matatu muhimu ya chakula ambayo ni wanga, protein (vyakula vya kujenga mwili), vitamin (mboga mboga na matunda). ukiweka makundi haya vote matatu kwa ujazo sawa katika sahani yako hapa ndio huwa tunapata ugali ngumi yako, pamoja na hayo makundi mawili yakikamilisha sahani ya chakula kwa hakika utashiba na utaweza kustahimili kutoka dinner hadi lunch kupata chakula cha usiku kama maelezo yanavojieleza.
usiongeze vyakula vya sukari nje na sahani yako ya chakula.
2. Exercise (mazoezi) ikiwemo + Sex.
nikiongelea mazoezi sio hadi uende kukimbia na uzunguke uwanja kila siku, hapana
kuna aina nyingi za mazoezi ambayo ukifanya utaweza kujiepusha na matatizo hayo apo juu.
mazoezi hufanya mzunguko wa damu kuwa active na ndio kitu pekee ambacho kitaweza kukuepusha na maumivu ya mgongo usio jua sababu zake, iwekea akili yako active ukishirikiana na watu walio kuzunguka, jitahid kuwa busy, fanya Sex mala 3 kwa week ikiwezekana au zaidi na uchojoe mala moja kila ukifanya sex or more.
Hakika mwili wako utakua active na utajiepusha na stress, magonjwa kama kisukari na kupanda kwa presha ya damu. kwani haya yote hutegemea mzunguko wa damu.
by Dr. Suriya