Dada zangu jitazameni upya, thamani yenu ni kubwa

ibra87

R I P
Jul 22, 2015
5,614
5,337
Wasalaam wanajukwa..

Ni kipindi kirefu sijajitokeza hapa kuandika kitu chochote kinachohusu mapenzi, uhusiano na urafiki. Sio kwamba nilikuwa siingii na kusoma, la hasha, nilikuwa nikiingia nakusoma kama kawaida na kuchangia kwa uchache sana. Ndugu zangu sitaki kuongelea kilichonitokea mwishoni mwa mwaka uliopita kwa kuwa ilikuwa ni mipango ya Mwenyezi Mungu. Nimeshukuru, nimeinuka na pia najaribu kutembea tena. Kwa hili nasema Ahsante Mungu.

Ndugu zangu wanajamii wenzangu, nipo hapa leo kuzungumza na dada zangu, mama zangu, shangazi na hata wadogo zangu. Ni ukweli usiopingika kwamba nyie ni mama zetu, shangazi zetu na dada zetu.

Ni ukweli usiofichika kwamba mnathamani kubwa kwenye jamii yetu kuliko hata sisi wanaume. Licha ya thamani kubwa mlionayo na ile tunayoendelea kuwapa lakini mmekuwa watu wa ajabu sana.

Dada zangu na mama zangu, maungo yenu yanathamani sana, nguo zenu za ndani zinathamani sana. Shanga zenu na hata tight zenu zinathamani sana. Hazipaswi kuonekana machoni mwetu, hazipaswi kuonekana hata kwa watoto wadogo. Lakini hili ni tofauti kwenu.

Unamkuta mama mwenye miaka hamsini amevaa gauni la mpira linalouchora mwili wake na kusababisha mpaka hata mistari ya nguo kuonekana. Una mkuta mdada amevaa nguo fupi mpaka magotini huku ndani akiwa hana chupi au kama anachupi ile ya mikanda (bikini)

Harafu kibaya zaidi, licha ya kujua nguo mnazovaa ni fupi, lakini mnajilazimisha kukaa huku mmeichanua miguu yenu. Wengine unakuta urembo wa kiunoni umetokeza lakini bila kuijali thamani yake, bila kujali jamii inavyomchukulia, anatembea bila kujistiri.

Dada zangu thamani yenu ni kubwa sana kwa jamii yetu. Ni mwanaume gani ambaye atakupenda kwa kukukuta ukitembea uchi mtaani. Ni mwanaume gani atakayekupenda wakati amekukuta ukiwa nusu kahaba?

Ni wakati wa kubadilika, ni wakati wa kujitambua ili muonekane ni wanawake wa kweli. Ukimkalia uchi mwanaume sio sababu ya kukuoa. Ndio maana wengine huwapa mimba na kukimbia sana kisha mnabaki wenyewe mkilea watoto na kupewa majina ya ajabu (single mothers).

Jaribuni kubadilika mama zangu, jaribu kubadilika shangazi zangu, jaribuni kubadilika dada zangu.

JITAZAMENI UPYA THAMANI YENU NI KUBWA SANA KWA JAMII.

Naomba kuwasilisha
 
Personally, I hate panty lines coz they're a turn off. But y'all can go commando, morals and values are for my old lady. Some mamas were cut to be nada more than hot totties, ones we can disrespect during the nasty.
 
Hatimae kuna wanaume ambao wanajua thamani ya mwanamke.
Mkuu elewa kuna tofauti ya msichana na mwanamke, na kuna wanawake wenye akili za kisichana huwa wanakuja shtuka wakishachelewa.
Natamani sana wadada wangebadilika lakini hapana hamna anayejali yaani hali ni mbaya kuliko tunavyowaza. Na kwa staili hiyo hatutaona mvua
 
Mie kinachonikera ni HARUFU YA KWAPA. unakuta mwanamke kaupara vizuri ila kwapa linatema harufu balaa,jamani hata ndimu inakata harufu.

Hio ya kukaa vibaya imekua fasheni,wengine wanafata mkumbo kwa kuiga mavazi ya mastaa wa instagram
 
Umenena vyema, ubarikiwe
Wasalaam
Wanajukwaa..

Ni kipindi kirefu sijajitokeza hapa kuandika kitu chochote kinachohusu mapenzi, uhusiano na urafiki. Sio kwamba nilikuwa siingii na kusoma, la hasha, nilikuwa nikiingia nakusoma kama kawaida na kuchangia kwa uchache sana. Ndugu zangu sitaki kuongelea kilichonitokea mwishoni mwa mwaka uliopita kwa kuwa ilikuwa ni mipango ya Mwenyezi Mungu. Nimeshukuru, nimeinuka na pia najaribu kutembea tena. Kwa hili nasema Ahsante Mungu.

Ndugu zangu wanajamii wenzangu, nipo hapa leo kuzungumza na dada zangu, mama zangu, shangazi na hata wadogo zangu. Ni ukweli usiopingika kwamba nyie ni Mama zetu, shangazi zetu na dada zetu. Ni ukweli usiofichika kwamba mnathamani kubwa kwenye jamii yetu kuliko hata sisi wanaume. Licha ya thamani kubwa mlionayo na ile tunayoendelea kuwapa lakini Mmekuwa watu wa ajabu sana.

Dada zangu na mama zangu, maungo yenu yanathamani sana, nguo zenu za ndani zinathamani sana. Shanga zenu na hata tight zenu zinathamani sana. Hazipaswi kuonekana machoni mwetu, hazipaswi kuonekana hata kwa watoto wadogo. Lakini hili ni tofauti kwenu.. unamkuta mama mwenye miaka Hamsini amevaa gauni la mpira linalouchora mwili wake na kusababisha mpaka hata mistari ya nguo kuonekana. Una mkuta mdada amevaa nguo fupi mpaka magotini huku ndani akiwa hana chupi au kama anachupi ile ya mikanda (biki.ni)

Harafu kibaya zaidi, licha ya kujua nguo mnazovaa ni fupi, lakini mnajilazimisha kukaa huku mmeichanua miguu yenu. Wengine unakuta urembo wa kiunoni umetokeza lakini bila kuijali thamani yake, bila kujali jamii inavyomchukulia, anatembea bila kujistili.

Dada zangu tamani yenu ni kubwa sana kwa jamii yetu. Ni mwanaume gani ambaye atakupenda kwa kukukuta ukitembea uchi mtaani. Ni mwanaume gani atakayekupenda wakati amekukuta ukiwa nusu kahaba? Ni wakati wa kubadilika, ni wakati wa kujitambua ili muonekane ni wanawake wa kweli. Ukimkalia uchi mwanaume sio sababu ya kukuoa. Ndio maana wengine huwapa mimba na kukimbia sana kisha mnabaki wenyewe mkilea watoto na kupewa majina ya ajabu (single mothers).

Jaribuni kubadilika mama zangu, jaribu kubadilika shangazi zangu, jaribuni kubadilika dada zangu. JITAZAMENI UPYA THAMANI YENU NI KUBWA SANA KWA JAMII.

Naomba Kuwasilisha
 
Maneno kuntu ila, umenibabaisha kidogo. Unachangia ka me lakini tswira ke nimeshindwa kukuelewa. Au weye ndo hujielewi?? Jina pia
 
Wasalaam
Wanajukwaa..

Ni kipindi kirefu sijajitokeza hapa kuandika kitu chochote kinachohusu mapenzi, uhusiano na urafiki. Sio kwamba nilikuwa siingii na kusoma, la hasha, nilikuwa nikiingia nakusoma kama kawaida na kuchangia kwa uchache sana. Ndugu zangu sitaki kuongelea kilichonitokea mwishoni mwa mwaka uliopita kwa kuwa ilikuwa ni mipango ya Mwenyezi Mungu. Nimeshukuru, nimeinuka na pia najaribu kutembea tena. Kwa hili nasema Ahsante Mungu.

Ndugu zangu wanajamii wenzangu, nipo hapa leo kuzungumza na dada zangu, mama zangu, shangazi na hata wadogo zangu. Ni ukweli usiopingika kwamba nyie ni Mama zetu, shangazi zetu na dada zetu. Ni ukweli usiofichika kwamba mnathamani kubwa kwenye jamii yetu kuliko hata sisi wanaume. Licha ya thamani kubwa mlionayo na ile tunayoendelea kuwapa lakini Mmekuwa watu wa ajabu sana.

Dada zangu na mama zangu, maungo yenu yanathamani sana, nguo zenu za ndani zinathamani sana. Shanga zenu na hata tight zenu zinathamani sana. Hazipaswi kuonekana machoni mwetu, hazipaswi kuonekana hata kwa watoto wadogo. Lakini hili ni tofauti kwenu.. unamkuta mama mwenye miaka Hamsini amevaa gauni la mpira linalouchora mwili wake na kusababisha mpaka hata mistari ya nguo kuonekana. Una mkuta mdada amevaa nguo fupi mpaka magotini huku ndani akiwa hana chupi au kama anachupi ile ya mikanda (biki.ni)

Harafu kibaya zaidi, licha ya kujua nguo mnazovaa ni fupi, lakini mnajilazimisha kukaa huku mmeichanua miguu yenu. Wengine unakuta urembo wa kiunoni umetokeza lakini bila kuijali thamani yake, bila kujali jamii inavyomchukulia, anatembea bila kujistili.

Dada zangu tamani yenu ni kubwa sana kwa jamii yetu. Ni mwanaume gani ambaye atakupenda kwa kukukuta ukitembea uchi mtaani. Ni mwanaume gani atakayekupenda wakati amekukuta ukiwa nusu kahaba? Ni wakati wa kubadilika, ni wakati wa kujitambua ili muonekane ni wanawake wa kweli. Ukimkalia uchi mwanaume sio sababu ya kukuoa. Ndio maana wengine huwapa mimba na kukimbia sana kisha mnabaki wenyewe mkilea watoto na kupewa majina ya ajabu (single mothers).

Jaribuni kubadilika mama zangu, jaribu kubadilika shangazi zangu, jaribuni kubadilika dada zangu. JITAZAMENI UPYA THAMANI YENU NI KUBWA SANA KWA JAMII.

Naomba Kuwasilisha


Tatizo la hawa dada zetu ni kwamba wanatumia sana akili za kukopi na kupaste badala ya walizonazo wao. Kwa kuwa wanajuwa maumbile yao yana thamani, wao wanafikiri wakiyauza ndipo watatajirika, balaa kweli. Ila dada yangu una akili sana na Mungu akulinde milele.
 
Kidogo kidogo wataelewa japo mazingira yanawaendesha sana
 
Umeongea vema mkuu... Uku kwetu ni balaaa.. Dada wenzangu tubadilike ni kujidhalilisha tu hamna lingine.
 
Back
Top Bottom