jjs2017
JF-Expert Member
- May 25, 2019
- 2,023
- 4,213
Habari Wanajamvi.
Kama kichwa kinavyoeleza . Dada yangu kaniomba Ni mshauri akafanye kazi kwenye moja ya macasino yaliyopo hapa jijini Dar ili aweze kujikwamua kiuchumi kutokana na ajira kuwa adimu. Nimekosa jibu la kumpa ndugu zangu kutokana na sijui Ni Nini kinachoendelea huko. Kama Wana JF wenzangu naombeni mnipe ushauri wenu wa dhati ili Ni kampatie huyu dada ndugu zangu.
Natanguliza shukrani.
Kama kichwa kinavyoeleza . Dada yangu kaniomba Ni mshauri akafanye kazi kwenye moja ya macasino yaliyopo hapa jijini Dar ili aweze kujikwamua kiuchumi kutokana na ajira kuwa adimu. Nimekosa jibu la kumpa ndugu zangu kutokana na sijui Ni Nini kinachoendelea huko. Kama Wana JF wenzangu naombeni mnipe ushauri wenu wa dhati ili Ni kampatie huyu dada ndugu zangu.
Natanguliza shukrani.