Jaluo_Nyeupe
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 2,697
- 1,962
Habari zenu wanaJF,
Nina dada yangu anatafuta kazi yoyote ya halali itayoweza kumwingizia kipato kitakachomwezesha kujikimu kimaisha. Ana elimu ya kidato cha nne pamoja na Basic certificate ya Records Management kutoka chuo cha Magogoni. Umri wake ni miaka 26. Ana uwezo wa kuzungumza na kuandika vizuri lugha ya Kiingereza na Kiswahili pia ana basic knowledge ya matumizi ya computer. Anaishi Dar es Salaam.
Natanguliza shukrani za dhati kwa yoyote mwenye uwezo wa kumsaidia katika hili.
Email: pretlue25@gmail.com
Nina dada yangu anatafuta kazi yoyote ya halali itayoweza kumwingizia kipato kitakachomwezesha kujikimu kimaisha. Ana elimu ya kidato cha nne pamoja na Basic certificate ya Records Management kutoka chuo cha Magogoni. Umri wake ni miaka 26. Ana uwezo wa kuzungumza na kuandika vizuri lugha ya Kiingereza na Kiswahili pia ana basic knowledge ya matumizi ya computer. Anaishi Dar es Salaam.
Natanguliza shukrani za dhati kwa yoyote mwenye uwezo wa kumsaidia katika hili.
Email: pretlue25@gmail.com