Dada yangu ana wivu wa kimapenzi dhidi yangu. Ushauri tafadhari

Melki the Storyteller

JF-Expert Member
May 3, 2022
5,699
9,777
Ni watoto wa baba mmoja ila mama tofauti, yeye ni kutoka kwa mama ambaye ni mke mkubwa wa baba yangu. Na mimi ni mtoto wa mke mdogo. Tunazidiana miezi miwili

Lakini ni miezi miwili sasa dada yangu kabadilika ghafla. Kwa mara ya kwanza tulikuwa sebuleni mida ya usiku tunaangalia taarifa ya habari muda huo nachat na my babè huku natabasamu, ghafla akaniuliza "unachat na nani anayekupa raha kiasi hicho?" nikatikisa kichwa kuonesha kukataa. Dakika chache nikaenda kukojoa. Niliporejea namkuta kashika simu yangu anasoma sms, ile kumnyang'anya akatia ugumu akakimbia nayo chumbani kwake.

Kesho yake mida ya saa 12 jioni wakati tumekaa sebuleni muda huo umeme umekatika akachukua simu yake na kumpigia babè, kumbe alichukua namba yake, na kuanza kuzungumza naye kunihusu mimi kama marafiki vile, huku kaweka loudspeaker na kucheka sana.

Wiki moja baadae, huyo babè kanipigia na kunambia kuwa dada yangu anamtukana sana na kusema aachane na mimi, ndipo kwa hasira nikamfuata na kumkalipia, dakika chache baadae nilimkuta kitchen akiwa analia.

Nowdays nikitaka kutoka out, anapatwa na ganzi, kitete, wasiwasi kisha kuuliza unaenda wapi? mara "twende wote", keshaninunulia fulana na raba za kutosha humu ndani. Nikiongea na simu nisipokuwa makini ataninyakua na kuzungumza nayo. Kuna kipindi aliingia chumbani kwangu ghafla akiwa kajifunga khanga mida ya asubuhi na kudai kuwa kajisahau ana mawazo mengi kisha kuondoka!

Tatizo hasa litakuwa ni lipi wanajukwaa?
 
Ni watoto wa baba mmoja ila mama tofauti, yeye ni kutoka kwa mama ambaye ni mke mkubwa wa baba yangu. Na mimi ni mtoto wa mke mdogo. Tunazidiana miezi miwili

Lakini ni miezi miwili sasa dada yangu kabadilika ghafla. Kwa mara ya kwanza tulikuwa sebuleni mida ya usiku tunaangalia taarifa ya habari muda huo nachat na my babè huku natabasamu, ghafla akaniuliza "unachat na nani anayekupa raha kiasi hicho?" nikatikisa kichwa kuonesha kukataa. Dakika chache nikaenda kukojoa. Niliporejea namkuta kashika simu yangu anasoma sms, ile kumnyang'anya akatia ugumu akakimbia nayo chumbani kwake.

Kesho yake mida ya saa 12 jioni wakati tumekaa sebuleni muda huo umeme umekatika akachukua simu yake na kumpigia babè, kumbe alichukua namba yake, na kuanza kuzungumza naye kunihusu mimi kama marafiki vile, huku kaweka loudspeaker na kucheka sana.

Wiki moja baadae, huyo babè kanipigia na kunambia kuwa dada yangu anamtukana sana na kusema aachane na mimi, ndipo kwa hasira nikamfuata na kumkalipia, dakika chache baadae nilimkuta kitchen akiwa analia.

Nowdays nikitaka kutoka out, anapatwa na ganzi, kitete, wasiwasi kisha kuuliza unaenda wapi? mara "twende wote", keshaninunulia fulana na raba za kutosha humu ndani. Nikiongea na simu nisipokuwa makini ataninyakua na kuzungumza nayo. Kuna kipindi aliingia chumbani kwangu ghafla akiwa kajifunga khanga mida ya asubuhi na kudai kuwa kajisahau ana mawazo mengi kisha kuondoka!

Tatizo hasa litakuwa ni lipi wanajukwaa?
Umri wako tafadhali....
 
Ni watoto wa baba mmoja ila mama tofauti, yeye ni kutoka kwa mama ambaye ni mke mkubwa wa baba yangu. Na mimi ni mtoto wa mke mdogo. Tunazidiana miezi miwili

Lakini ni miezi miwili sasa dada yangu kabadilika ghafla. Kwa mara ya kwanza tulikuwa sebuleni mida ya usiku tunaangalia taarifa ya habari muda huo nachat na my babè huku natabasamu, ghafla akaniuliza "unachat na nani anayekupa raha kiasi hicho?" nikatikisa kichwa kuonesha kukataa. Dakika chache nikaenda kukojoa. Niliporejea namkuta kashika simu yangu anasoma sms, ile kumnyang'anya akatia ugumu akakimbia nayo chumbani kwake.

Kesho yake mida ya saa 12 jioni wakati tumekaa sebuleni muda huo umeme umekatika akachukua simu yake na kumpigia babè, kumbe alichukua namba yake, na kuanza kuzungumza naye kunihusu mimi kama marafiki vile, huku kaweka loudspeaker na kucheka sana.

Wiki moja baadae, huyo babè kanipigia na kunambia kuwa dada yangu anamtukana sana na kusema aachane na mimi, ndipo kwa hasira nikamfuata na kumkalipia, dakika chache baadae nilimkuta kitchen akiwa analia.

Nowdays nikitaka kutoka out, anapatwa na ganzi, kitete, wasiwasi kisha kuuliza unaenda wapi? mara "twende wote", keshaninunulia fulana na raba za kutosha humu ndani. Nikiongea na simu nisipokuwa makini ataninyakua na kuzungumza nayo. Kuna kipindi aliingia chumbani kwangu ghafla akiwa kajifunga khanga mida ya asubuhi na kudai kuwa kajisahau ana mawazo mengi kisha kuondoka!

Tatizo hasa litakuwa ni lipi wanajukwaa?
Kabla ya ushauri turejee hapa kwanza Nimependwa na mama mjamzito. Kaniomba nimgegede, nifanyeje?
 
Ni watoto wa baba mmoja ila mama tofauti, yeye ni kutoka kwa mama ambaye ni mke mkubwa wa baba yangu. Na mimi ni mtoto wa mke mdogo. Tunazidiana miezi miwili

Lakini ni miezi miwili sasa dada yangu kabadilika ghafla. Kwa mara ya kwanza tulikuwa sebuleni mida ya usiku tunaangalia taarifa ya habari muda huo nachat na my babè huku natabasamu, ghafla akaniuliza "unachat na nani anayekupa raha kiasi hicho?" nikatikisa kichwa kuonesha kukataa. Dakika chache nikaenda kukojoa. Niliporejea namkuta kashika simu yangu anasoma sms, ile kumnyang'anya akatia ugumu akakimbia nayo chumbani kwake.

Kesho yake mida ya saa 12 jioni wakati tumekaa sebuleni muda huo umeme umekatika akachukua simu yake na kumpigia babè, kumbe alichukua namba yake, na kuanza kuzungumza naye kunihusu mimi kama marafiki vile, huku kaweka loudspeaker na kucheka sana.

Wiki moja baadae, huyo babè kanipigia na kunambia kuwa dada yangu anamtukana sana na kusema aachane na mimi, ndipo kwa hasira nikamfuata na kumkalipia, dakika chache baadae nilimkuta kitchen akiwa analia.

Nowdays nikitaka kutoka out, anapatwa na ganzi, kitete, wasiwasi kisha kuuliza unaenda wapi? mara "twende wote", keshaninunulia fulana na raba za kutosha humu ndani. Nikiongea na simu nisipokuwa makini ataninyakua na kuzungumza nayo. Kuna kipindi aliingia chumbani kwangu ghafla akiwa kajifunga khanga mida ya asubuhi na kudai kuwa kajisahau ana mawazo mengi kisha kuondoka!

Tatizo hasa litakuwa ni lipi wanajukwaa?
shida yako muongo muongo

mara ulipendwa na mjamzito wa miezi 7 akaomba moto

leo dada yako

uache upuuzi kijana

Sent from my BLA-L09 using JamiiForums mobile app
 

wewe ni muongo muongo

Sent from my BLA-L09 using JamiiForums mobile app
 
muongo muongo
Screenshot_20220918-081147.jpg


Sent from my BLA-L09 using JamiiForums mobile app
 
Ni watoto wa baba mmoja ila mama tofauti, yeye ni kutoka kwa mama ambaye ni mke mkubwa wa baba yangu. Na mimi ni mtoto wa mke mdogo. Tunazidiana miezi miwili

Lakini ni miezi miwili sasa dada yangu kabadilika ghafla. Kwa mara ya kwanza tulikuwa sebuleni mida ya usiku tunaangalia taarifa ya habari muda huo nachat na my babè huku natabasamu, ghafla akaniuliza "unachat na nani anayekupa raha kiasi hicho?" nikatikisa kichwa kuonesha kukataa. Dakika chache nikaenda kukojoa. Niliporejea namkuta kashika simu yangu anasoma sms, ile kumnyang'anya akatia ugumu akakimbia nayo chumbani kwake.

Kesho yake mida ya saa 12 jioni wakati tumekaa sebuleni muda huo umeme umekatika akachukua simu yake na kumpigia babè, kumbe alichukua namba yake, na kuanza kuzungumza naye kunihusu mimi kama marafiki vile, huku kaweka loudspeaker na kucheka sana.

Wiki moja baadae, huyo babè kanipigia na kunambia kuwa dada yangu anamtukana sana na kusema aachane na mimi, ndipo kwa hasira nikamfuata na kumkalipia, dakika chache baadae nilimkuta kitchen akiwa analia.

Nowdays nikitaka kutoka out, anapatwa na ganzi, kitete, wasiwasi kisha kuuliza unaenda wapi? mara "twende wote", keshaninunulia fulana na raba za kutosha humu ndani. Nikiongea na simu nisipokuwa makini ataninyakua na kuzungumza nayo. Kuna kipindi aliingia chumbani kwangu ghafla akiwa kajifunga khanga mida ya asubuhi na kudai kuwa kajisahau ana mawazo mengi kisha kuondoka!

Tatizo hasa litakuwa ni lipi wanajukwaa?
Wewe ni mvulana, jifunze kwa Yusuph mwana wa Yakobo ukue.
 
Back
Top Bottom