Fikiria umezaliwa peke yako kwenye familia,baadae dingi anakuletea binti home anakuambia ni dada yako alimpata kabla hajakutana na mama yako,muda unapita,unamchukulia kama dada mara mitego inaanza,mwishowe anakuambia anakutaka kimapenzi usiku halali kwaajili yako,utamega au utatoka nduki????