Jini Kisiranii
JF-Expert Member
- Feb 20, 2018
- 1,626
- 1,676
Anahudhuria ziara za raisMayor wa arusha alifanya kitu gani hadi asiaminike tena?
Anahudhuria ziara za raisMayor wa arusha alifanya kitu gani hadi asiaminike tena?
HawaHabari nzito sana hii ukizingatia mtu aliyeipost hapa jukwaani.
Je zile tuhuma za kununuliwa zimeyeyuka?
nakuamini mzee wa NjiroHuyu yupo kundi moja na Mkuu wa Mkoa hana maana kabisa.
Anahudhuria ziara za rais
Ukaribu wake na watu wa ccm pia unatia mashaka.Mayor wa arusha alifanya kitu gani hadi asiaminike tena?
Wapewe haki kujieleza na kujitetea. Haya mambo ya dharula mabaya sana.Itumike busara na hekima kubwa.
Kuvuliwa uongozi ni tofauti na kuvuliwa uanachama, sasa sijui tatizo liko wapi? ubunge sio nafasi ya uongozi wa chama bali ni uwakilishi wa wananchi.
oiNi wajinga tu. Mayor wa arusha ni mfano wa kuigwa
Siku nyingi sana.Ase hadi yeye?
Siku nyingi sana.
Anawang'ong'a wenzie visogoni.
Yani uwe shabiki wa kazi zako,familia yako na maendeleo mengine yasiyo na Chama.Siasa za Tanzania ni pasua kichwa
Yani uwe shabiki wa kazi zako,familia yako na maendeleo mengine yasiyo na Chama.
Hao wapinzani watawapa visukari na pressure.
Huyu yupo kundi moja na Mkuu wa Mkoa hana maana kabisa.
Na ndio kwenye ngome yaoWabunge 7 kanda ya kaskazini..
Hivi kanda ya kaskazini inawabunge saba kweli..?!! na kama wapo basi itakua neema kwa chama tawala..
Wafukuzeni tuu..sababu ndio mko ukingoni hata hivyoo..
Meya wa jiji la Arusha ni mnafiki sana yule angetakiwa kufukuzwa mapema sanaSiku nyingi sana.
Anawang'ong'a wenzie visogoni.