Digna Nassari diwani viti maalumu na dada wa mbunge.Naam mambo yameiva!
Kamati ya utendaji ya Chadema Kanda ya Kaskazini imemvua uanachama diwani wa Viti Maalum wa chama hicho, Digna Nassari kwa makosa ya kinidhamu.
Arusha. Kamati ya utendaji ya Chadema Kanda ya Kaskazini imemvua uanachama diwani wa Viti Maalum wa chama hicho, Digna Nassari kwa makosa ya kinidhamu.
Kamati hiyo pia imependekeza Meya mmoja wa jiji anayetokana na chama hicho kuvuliwa uanachama kutokana na makosa ya kinidhamu na usaliti.
Akizungumza na Mwananchi leo Jumanne Mei 21, 2019, katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Aman Golugwa amesema uamuzi huo umetolewa katika kikao cha kamati hiyo kilichofanyika Mei 18, 2019.
Amesema tayari uamuzi huo umepelekwa ngazi za juu za chama hicho sambamba na hatua za kinidhamu kwa wabunge saba.
Amebainisha kuwa kikao hicho kiliongozwa na Kaimu mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Joseph Selasini ambaye ni mbunge wa Rombo.
Chanzo: Mwananchi
Muwe mna ufahamu kuhusu jambo ndo post, lini Lucy Owenya kawa dada wa Lissu?.Buku 7 WorkDigna Nassari diwani viti maalumu na dada wa mbunge.
Sasa hii ingekuwa CCM ungeshasikia siku nyingi kuwa upendeleo na undungu. Hawa jamaa mimi huwa siwaelewi akili zao zimejaaa vitu gani. Nahisi huwaza kwa masaburi.
Kipindi kile Lissu alipiga kelele watendaji wengi kutoka kanda ya Ziwa na Magaharibi. Wakati huo huo anasahau yeye Lissu ni kiongozi Chadema na Mbunge na dada Lucy Luhwenya RIP akiwa mbunge viti maalumu. Huu ni upumbavuu wa hali ya juu. Wakifanya wao ni sawa lakini wakifanya CCM ni dhambi. Sawa na viti maalumu vingi Chadema ni Wachaga na sidhani hiki ikiwa na ajali.
Chadema imevimbaWe unafanywa ujinga, kama mtu ni msaliti aachwe aue chama, mbn huko lumumba kila uchao watu wanatumbuliwa nako kuna chuki???
sawa.. sisi tunaacha kufuatilia mambo yenu. na ninyi msije kutuomba kura. ha ha ha ha..... yaani ka umepanic vileKuna watu mnaongea ongea tu bila ya kuwa na ushahidi, Hivi nikikuuliza ulete ushahidi wa nepotism ndani ya chadema, utaweza leta? Na hiyo nepotism haipo vyama vingine?
Muache kutufuatilia fanyeni mambo yenu.
Baba :Jakaya M Kikwete Rais mstaafuNepotism imetawala sana Chadema siku ikitawala nchi hii tutegemee mababu na mabibi watapewa nyadhifa kubwa serikalini
naam! hilo ndo neno la msingi. ili kina sie tusiopenda nepotism tupate pa kukimbilia. sasa huku na kule mambo yale yale, twende wapi? mnaboa sanaChadema mlitakiwa msiwe na mfumo wa nepotism kama CCM ili muonyeshe mfano
yote yale yale.. yaan ccm=cdm=ccm=cdm.... ndo tunasubiri mje kutwambia tuwachague ninyi badala ya ccm. tutawauliza kwa nini ninyi na sio ccm, hamtakuwa na la kusema sababu wote ni wale wale.Baba :Jakaya M Kikwete Rais mstaafu
Mama: Salama kikwete Mbunge viti maalumu (Former First lady)
Mtoto: Ridhiwan kikwete mbunge wa kuchaguliwa
Hii tuiiteje??
Mkuu mbona CCM kuna Baba mbunge ,binti mbunge?
Mkuu mbona CCM kuna Baba mbunge ,binti mbunge?
Zinazoshabikiwa ni hoja siyo mtu na ni vema kama kijana ukajikita katika hilo. Nape ,Bashe au Membe akiongea point ana haki kuungwa mkono na akiongea upumbavu ana haki ya kukosolewa tatizo ni kuwafanya maadui wote wanaoupinga ubadhilifu katika serikali hii..Chadema ilishafeli kuwa mfano bora! Kila jambo ukiuliza wao wanarukia reference ya MaCCM! Tunahitaji kurenew upinzani wa nchi hii! Sio huu mara ushabikie Lowasa mara Membe! Nape akiongea wanashangilia! Wapo wapo tu!
dada yek lissu aliitwa christina lissu, na ni kweli alikuwaga mbunge viti maalum. hilo usibishe
Je ni haki kuchukua asiye na sifa eti kwa kuogopa kwamba ndugu kupata nafasi ni nepotism afu tuchukue mazumbukuku ili tu kubalance kwa mfumo wa undugu. Ni vema tukajikita katika kuupinga udhaifu wao kwa kuonesha kwamba kulikuwa na mwenye ubora na si kupinga kwa makelele ili hali aliyepo anafanya kazi. Aliyeondolewa kaondolewa si kama ndugu yake na Nassari bali kutokana na udhaifu wake vivyo hivyo hakuwekwa katika nafasi kutokana na undugu na Nassari bali uhodari wake. Tunachotakiwa kukubaliana ni kwamba kiwango kina kupanda na kushuka na kwa kuwa kimeshuka below cuttoff point kwahiyo hakukuwa na budi kupisha wengineyote yale yale.. yaan ccm=cdm=ccm=cdm.... ndo tunasubiri mje kutwambia tuwachague ninyi badala ya ccm. tutawauliza kwa nini ninyi na sio ccm, hamtakuwa na la kusema sababu wote ni wale wale.
P raisi mtoto mbunge, hii ulicheka kinini niniKwahiyo kaka mbunge dada diwani? Hiiiiiiiiiiiiiii acha nicheke kijiwe jiwe
You need to know siasa is driven by Sera. It is not about particular individual. Kama kuna watu whether wako CCM au ACT, as long as wanatetea maslahi ya nchi hilo ndilo la msingi.Chadema ilishafeli kuwa mfano bora! Kila jambo ukiuliza wao wanarukia reference ya MaCCM! Tunahitaji kurenew upinzani wa nchi hii! Sio huu mara ushabikie Lowasa mara Membe! Nape akiongea wanashangilia! Wapo wapo tu!
Na mkwe mbunge pia !Kwani bulembo c baba mbunge na mtoto mbunge hii hujaiona
Kwahiyo kaka mbunge dada diwani? Hiiiiiiiiiiiiiii acha nicheke kijiwe jiwe
Vipi kuhusu Jiwe na CCM?Nepotism imetawala sana Chadema siku ikitawala nchi hii tutegemee mababu na mabibi watapewa nyadhifa kubwa serikalini