Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,228
We lodge hujawahi kwenda ?binafsi nime.oenda. hata kama ndo dhambi analinda basi ndo isizidi eboo. Good mother.
We lodge hujawahi kwenda ?binafsi nime.oenda. hata kama ndo dhambi analinda basi ndo isizidi eboo. Good mother.
Unanibadilishia mada? Wewe pambana na bi mdashi. Siyo kwenda, namiliki kabisa.We lodge hujawahi kwenda ?
Mi nimeshaacha siku hizi kwenda hukoUnanibadilishia mada? Wewe pambana na bi mdashi. Siyo kwenda, namiliki kabisa.
Siwezi sema usiende maana uhitaji hutofautiana. Si unaona kama mleta mada hapa? Ilimlazimu kulala lodge kupunguza uchovu. Huwezi jua na wewe kesho itakuaje. So far siyo dhambi.Mi nimeshaacha siku hizi kwenda huko
Yeah uhitaji unatofautiana ila siyo kwa kazi za ubahariaSiwezi sema usiende maana uhitaji hutofautiana. Si unaona kama mleta mada hapa? Ilimlazimu kulala lodge kupunguza uchovu. Huwezi jua na wewe kesho itakuaje. So far siyo dhambi.
Great. Japo wengine ndo tunajipatia riziki. Si mbaya.Yeah uhitaji unatofautiana ila siyo kwa kazi za ubaharia
Nipo na mke wangu na watoto natoka kwangu mkoa fulani x ni mwendo wa kilometa kama 1000 kufika kwa wazazi wetu Dar(you know likizo time now) Sasa kwa vile jana nilikesha(kumalizia viporo vya kazi yangu) alafu nimeamkia kuendesha gari kuelekea Dar sasa nimejikaza kisoja nikajua nitatoboa ila naona kuchoka jumlisha na usingizi nikaona nisije nikaua familia nzima kwa ajali bora niingiliwe tulale Morogoro then kesho tuingie Dar.Ile tunaingia receiption kuna kadada ka pale reception kakatupokea kwa tabasam na bashasha ile baada ya kusalimiana tu kakaniuliza za "SIKU NYINGI" mi bila kudigest nikajibu nzuri tu.Aloo baada ya kujibu ndo nikajiuliza kwa nini huyu dada kaniuliza hivi as if huwa nakujaga pale ama ananijua.
Kumbe hata mke wangu yupo kwenye tafakari ile ile na anajiuliza maswali yale yale.Hadi sasa hivi navyosema mke wangu kageukia upande wake na mimi upande wangu tumeshabishana na kufarakana vya kutosha yeye ananilazimisha kuwa mimi namjua Yule dada na kama vipi twende tukamuulize sasa mimi nimekataa huo ujinga kwa sababu linaweza ibuka tifu kubwa pale na safari yangu ikaharibika.
NIPENI MBINU ZA KIVITA NILIMALIZEJE HILI SWALA ILI MKE WANGU ANIAMINI.
Tulishaambiwa tuishi nao kwa akili.Nipo na mke wangu na watoto natoka kwangu mkoa fulani x ni mwendo wa kilometa kama 1000 kufika kwa wazazi wetu Dar(you know likizo time now) Sasa kwa vile jana nilikesha(kumalizia viporo vya kazi yangu) alafu nimeamkia kuendesha gari kuelekea Dar sasa nimejikaza kisoja nikajua nitatoboa ila naona kuchoka jumlisha na usingizi nikaona nisije nikaua familia nzima kwa ajali bora niingiliwe tulale Morogoro then kesho tuingie Dar.Ile tunaingia receiption kuna kadada ka pale reception kakatupokea kwa tabasam na bashasha ile baada ya kusalimiana tu kakaniuliza za "SIKU NYINGI" mi bila kudigest nikajibu nzuri tu.Aloo baada ya kujibu ndo nikajiuliza kwa nini huyu dada kaniuliza hivi as if huwa nakujaga pale ama ananijua.
Kumbe hata mke wangu yupo kwenye tafakari ile ile na anajiuliza maswali yale yale.Hadi sasa hivi navyosema mke wangu kageukia upande wake na mimi upande wangu tumeshabishana na kufarakana vya kutosha yeye ananilazimisha kuwa mimi namjua Yule dada na kama vipi twende tukamuulize sasa mimi nimekataa huo ujinga kwa sababu linaweza ibuka tifu kubwa pale na safari yangu ikaharibika.
NIPENI MBINU ZA KIVITA NILIMALIZEJE HILI SWALA ILI MKE WANGU ANIAMINI.
Wanawake ni wajinga sana, hata kama angekuwa ni x wako ni vibaya kuonana?Kwani kuna ubaya au ni dhambi kufahamiana na mhudumu wa lodge? Vitu vingine tunavifanya viwe vikubwa bila sababu za msingi
Kifo cha mende tuNipo na mke wangu na watoto natoka kwangu mkoa fulani x ni mwendo wa kilometa kama 1000 kufika kwa wazazi wetu Dar(you know likizo time now) Sasa kwa vile jana nilikesha(kumalizia viporo vya kazi yangu) alafu nimeamkia kuendesha gari kuelekea Dar sasa nimejikaza kisoja nikajua nitatoboa ila naona kuchoka jumlisha na usingizi nikaona nisije nikaua familia nzima kwa ajali bora niingiliwe tulale Morogoro then kesho tuingie Dar.Ile tunaingia receiption kuna kadada ka pale reception kakatupokea kwa tabasam na bashasha ile baada ya kusalimiana tu kakaniuliza za "SIKU NYINGI" mi bila kudigest nikajibu nzuri tu.Aloo baada ya kujibu ndo nikajiuliza kwa nini huyu dada kaniuliza hivi as if huwa nakujaga pale ama ananijua.
Kumbe hata mke wangu yupo kwenye tafakari ile ile na anajiuliza maswali yale yale.Hadi sasa hivi navyosema mke wangu kageukia upande wake na mimi upande wangu tumeshabishana na kufarakana vya kutosha yeye ananilazimisha kuwa mimi namjua Yule dada na kama vipi twende tukamuulize sasa mimi nimekataa huo ujinga kwa sababu linaweza ibuka tifu kubwa pale na safari yangu ikaharibika.
NIPENI MBINU ZA KIVITA NILIMALIZEJE HILI SWALA ILI MKE WANGU ANIAMINI.
Acha dharau mwanaume,Hata kama, lakini kumbuka kwamba kushindana na mwanamke ni kupoteza muda tu. Heri basi umpuuze tu
Humu ndani kaka nimejifunza kuna watu wako bitter mno na maisha ya wenzao. Huwa wanaibuka tu na kuprovoke mtu. Huwaga sihangaiki nao hataOna sasa kuna mbuzi moja huko juu inahisi nimetunga sijui ina ugali kichwani badala ya ubongo.
Pendo wangu, mambo?Humu ndani kaka nimejifunza kuna watu wako bitter mno na maisha ya wenzao. Huwa wanaibuka tu na kuprovoke mtu. Huwaga sihangaiki nao hata
Piga simu reception na akipokea mwambie yeye mwenyewe aje mumalize utata.Nipo na mke wangu na watoto natoka kwangu mkoa fulani x ni mwendo wa kilometa kama 1000 kufika kwa wazazi wetu Dar(you know likizo time now) Sasa kwa vile jana nilikesha(kumalizia viporo vya kazi yangu) alafu nimeamkia kuendesha gari kuelekea Dar sasa nimejikaza kisoja nikajua nitatoboa ila naona kuchoka jumlisha na usingizi nikaona nisije nikaua familia nzima kwa ajali bora niingiliwe tulale Morogoro then kesho tuingie Dar.Ile tunaingia receiption kuna kadada ka pale reception kakatupokea kwa tabasam na bashasha ile baada ya kusalimiana tu kakaniuliza za "SIKU NYINGI" mi bila kudigest nikajibu nzuri tu.Aloo baada ya kujibu ndo nikajiuliza kwa nini huyu dada kaniuliza hivi as if huwa nakujaga pale ama ananijua.
Kumbe hata mke wangu yupo kwenye tafakari ile ile na anajiuliza maswali yale yale.Hadi sasa hivi navyosema mke wangu kageukia upande wake na mimi upande wangu tumeshabishana na kufarakana vya kutosha yeye ananilazimisha kuwa mimi namjua Yule dada na kama vipi twende tukamuulize sasa mimi nimekataa huo ujinga kwa sababu linaweza ibuka tifu kubwa pale na safari yangu ikaharibika.
NIPENI MBINU ZA KIVITA NILIMALIZEJE HILI SWALA ILI MKE WANGU ANIAMINI.
Nipo na mke wangu na watoto natoka kwangu mkoa fulani x ni mwendo wa kilometa kama 1000 kufika kwa wazazi wetu Dar(you know likizo time now) Sasa kwa vile jana nilikesha(kumalizia viporo vya kazi yangu) alafu nimeamkia kuendesha gari kuelekea Dar sasa nimejikaza kisoja nikajua nitatoboa ila naona kuchoka jumlisha na usingizi nikaona nisije nikaua familia nzima kwa ajali bora niingiliwe tulale Morogoro then kesho tuingie Dar.Ile tunaingia receiption kuna kadada ka pale reception kakatupokea kwa tabasam na bashasha ile baada ya kusalimiana tu kakaniuliza za "SIKU NYINGI" mi bila kudigest nikajibu nzuri tu.Aloo baada ya kujibu ndo nikajiuliza kwa nini huyu dada kaniuliza hivi as if huwa nakujaga pale ama ananijua.
Kumbe hata mke wangu yupo kwenye tafakari ile ile na anajiuliza maswali yale yale.Hadi sasa hivi navyosema mke wangu kageukia upande wake na mimi upande wangu tumeshabishana na kufarakana vya kutosha yeye ananilazimisha kuwa mimi namjua Yule dada na kama vipi twende tukamuulize sasa mimi nimekataa huo ujinga kwa sababu linaweza ibuka tifu kubwa pale na safari yangu ikaharibika.
NIPENI MBINU ZA KIVITA NILIMALIZEJE HILI SWALA ILI MKE WANGU ANIAMINI.
Kuna usemi unasema "the guilty are always afraid" Kama mnaheshimiama na kuaminiana na mkeo, hata anikute sehemu fulani public nimekaa na mwanaume/mwanamke tunakula/kunywa, atajoin na maongezi yataendelea kama kawaida, na introduction kwa sana tuu!! Tena utakuta ikasaidia kuwaunganisha katika issue ambayo "the two" are participating or interested with! Imeishatokea mara nyingi tu! Lakini inategemea upeo!Sasa anaevikuza ni mke mi nimeona nividogo ila kashikilia bango kichizi ameenda mbali kuwa mi hapa huwa nawaleta malaya zangu.