milionea wa kesho
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 328
- 631
kwa waliopo dodoma au jirani na dodoma, mfanyakazi wa kike anahitajika kwa ajili ya kusambaza chakula kwa wafanyabiashara wa sabasaba.
umri chini ya miaka 25 na at least awe na mwonekano mzuri. Muda wa kazi ni kuanzia saa sita mchana hadi saa kumi na mbili jioni.
chai ni bure, chakula cha mchana ni bure, chakula cha usiku ni bure, malazi ni bure (kama atakuwa anataka kulala maana nyumbani kwa bosi kuna nyumba kubwa).
mshahara wa kuanzia ni elfu tatu kwa siku ila utakua unapanda kadiri mauzo yatakavyoongezeka.
kama una ndugu yako au unamfahamu anayehitaji kazi hii niPM nikuunganishe na bosi. kazi imeanza tayari
umri chini ya miaka 25 na at least awe na mwonekano mzuri. Muda wa kazi ni kuanzia saa sita mchana hadi saa kumi na mbili jioni.
chai ni bure, chakula cha mchana ni bure, chakula cha usiku ni bure, malazi ni bure (kama atakuwa anataka kulala maana nyumbani kwa bosi kuna nyumba kubwa).
mshahara wa kuanzia ni elfu tatu kwa siku ila utakua unapanda kadiri mauzo yatakavyoongezeka.
kama una ndugu yako au unamfahamu anayehitaji kazi hii niPM nikuunganishe na bosi. kazi imeanza tayari