Manala An Academician
Senior Member
- Oct 10, 2016
- 118
- 54
Sifa
1.Awe na elimu ya kidato cha nne au ngazi ya cheti.
2. Ushawishi mkubwa kwa wateja.
3. Uwezo mzuri wa kuongea na kuandika.
4. Uelewa wa matumizi ya baadhi ya program za computer.
5. Uzoefu katika masoko na mauzo utapewa kipaumbele.
6. Uwezo wa kuingia ofisin saa 12:30asubuhi na kutoka saa 12:00 jioni kwa siku za kawaida.
7. Aliye tayari kufanya kazi jumamosi na baadhi ya jumapili.
8. Aliye tayari kufanya kazi bila usimamizi wowote.
9. Mshahara utakuwa Kati ya 150,000 mpaka 200000 kutegemea na mauzo ya kampuni kabla ya nauli na chakula cha mchana.
NB: Aliye tayari tuwasiliane kwa namba 0765374146 (whatsap na kawaida)
1.Awe na elimu ya kidato cha nne au ngazi ya cheti.
2. Ushawishi mkubwa kwa wateja.
3. Uwezo mzuri wa kuongea na kuandika.
4. Uelewa wa matumizi ya baadhi ya program za computer.
5. Uzoefu katika masoko na mauzo utapewa kipaumbele.
6. Uwezo wa kuingia ofisin saa 12:30asubuhi na kutoka saa 12:00 jioni kwa siku za kawaida.
7. Aliye tayari kufanya kazi jumamosi na baadhi ya jumapili.
8. Aliye tayari kufanya kazi bila usimamizi wowote.
9. Mshahara utakuwa Kati ya 150,000 mpaka 200000 kutegemea na mauzo ya kampuni kabla ya nauli na chakula cha mchana.
NB: Aliye tayari tuwasiliane kwa namba 0765374146 (whatsap na kawaida)