simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,409
- 9,183
No, there is nothing persona here, I just told you what you really are: A petty intellectual with a tough-man persona.
In other words a narcissistic megalomaniac who trash talks other people to bolster his ego like an inflated peacock.
Ongea vyote kutaka kujifanya wa maana sana na hujakisoma nilichokiandika, lakini nafahamu ukweli umeupata vizuri maana uko hapa unapoteza muda kujibu A TRASHY POST. Siku nyingine utajifunza kwamba siyo kila mtu ni mjinga "Average Joe" na ukiona watu wanafanya mijadala kama huna cha kusema basi nyamaza.
NB: Najua unajiribu kuvimba ili kuficha aibu , lakini nimekusaidia sana. BADILIKA MKUU !!!
Congratulations, you are the fifth person to have made it to my Ignore List....My guy jichunguze, hauko sawa kwasasa.
yaan unahisi nimepata aibu kwa kupinga upuuzi uliopost? kwa vipi labda?.
ni mara ngapi ulikuwa unamkosoa Magu, Je ulipokuwa unamaliza kumkosoa ulikuwa unapatwa na aibu? ni kwanamna ipi hasa ulikuwa unapatwa na hali hii? kwangu mimi naona ni jambo lisilowezekanika, yaan nimkosoe mtu then nipate aibu!!.
nimepatwe na aibu kwasababu Malcom kasema nimepata AIBU!!! 🤣🤣🤣 Kweli leo Rumi imetikiswa na Mkoma.
hii inawezekanaje? niseme kwamba swala la aibu ni hisi a zako dhidi yangu, unaweza hisi chochote kuhusu mimi na ilo halinihusu.
hata mimi hapa nahisi FIKIRI yako ina kasoro kwasasa.
MALCOM yule Great thinker si huyu alipost utumbo.
yote katika yote unabaki ndani ya 5 bora ya members ninaowakubali hapa jf.
you are right.Congratulations, you are the fifth person to have made it to my Ignore List....
Mkuu.kulikuwa na ulazima wowote wa kumuita "LIDADA LIJINGA"??Hili lidada nilijinga , bado linaongelea athari za ukolon hadi leo!
Hadi sasa Africa ndiyo inalialia kuhusu ukolon na athali zake. mabara mengine walishasahau na kumove on.
Achen kujidanganya, ruhusun viongozi na waongozwaji wenye akili waitawale Africa sio nyinyi.
linachokiongea ilo lidada ni sawa na mtu mwenye huzuni kunywa coka ya baridii ili kuondoa huzuni. 🤣🤣
hata mkipwewa win to win contracts sion jipya Africa.
Chief, sometimes is very impossible to air your opinions without to use weird language like this. i was wrong, but nina amini dada alistahili kutukanwa ama kukosolewa kwa namna yoyote.Mkuu.kulikuwa na ulazima wowote wa kumuita "LIDADA LIJINGA"??
Fair enough, your entitled to ur opinion, but i don't thing you have a right to use offensive language against someone, in the name of opinion...Chief, sometimes is very impossible to air your opinions without to use weird language like this. i was wrong, but nina amini dada alistahili kutukanwa ama kukosolewa kwa namna yoyote.
Kwanza naomba niseme wazi kabisa
Mimi ni kati ya binadamu wanaochukia uonevu na unyonyaji wa binadamu mmoja dhidi ya mwingine. Ile hali ya kuhisi kwamba wewe ni bora na mtu wa maana kuliko wengine (Grandiosity and Megalomania) huwa inanifanya nichafukwe na nyongo sana. Mambo maovu kama ukoloni na taasisi zake hayatakiwi kabisa kuchekewa wala kufunikwa hata kidogo.
Hayatakiwi kufunikwa na kupuuzwa hata kama yalifanywa na watu mashughuli duniani, makabila yetu au hata kupitia taasisi kubwa za kidini ambazo wengi wetu ni waumini. Kiufupi njia sahihi ya kujenga mahusiano mazuri ni kuwa wawazi juu ya hayo mahusiano mnayotaka kuyajenga. Lazima kila upande ukubali wapi ulikosea na kuwajibika kwa asilimia 100%, bila kutafutiza sababu.
Wasomi wengi wa kiafrika tumekuwa na kasumba kubwa mno ya kuyaonea aibu au kupuuza mambo mengi yaliyofanywa na yanayofanywa na jamii za kigeni hapa barani Afrika (wazungu, waarabu, wachina, wahindi na taasisi zao za kidini). Nakubali kabisa waafrika tuna sehemu kubwa katika hili tatizo, lakini kamwe hatujawahi kuoana uwajibikaji wowote kwa upande wa hawa wenzetu ambao chumi zao hutegemea rasilimali za Afrika.
Nadhani dada huyu kazungumza vizuri sana, mahusiano baina ya Afrika na Ulaya ni jambo zuri sana na muhimu lakini lazima tukubali kwamba mengi yamejengwa juu ya msingi wa unyonyaji na ukoloni. Hivyo kuna kutoaminiana na kujistukia tu. Lakini kubwa zaidi ni lile la kuamini kwamba wenzetu wana wajibu wa kutufundisha sisi kuhusu demokrasia, uungwana na utawala bora ilhali wao hawalifanyi hili katika utekelezaji wa sera zao za mambo ya nje na uwekezaji.
Hata wanaharakati na wanasiasa wengi wa Afrika (watawala na wapinzani) hasa nchini Tanzania, nadhani hili wamelifumbia macho na hawajalizungumzia ipasavyo, aidha wakiamini kabisa kwamba kila kinachofanyika na nchi za Ulaya hapa Afrika kiko sahihi, AU matatizo yote ya Afrika yamesababishwa na watawala mafisadi na madikteta wasio na uchungu na uelewa, AU kwasababu nchi za Ulaya ni wadau wetu wakubwa wa maendeleo wakiunga mkono juhudi za serikali na kumwaga mamilioni ya misaada kwa wanaharakati na wapinzani. Inafikirisha sana!
Hili lidada nilijinga , bado linaongelea athari za ukolon hadi leo!
Hadi sasa Africa ndiyo inalialia kuhusu ukolon na athali zake. mabara mengine walishasahau na kumove on.
Achen kujidanganya, ruhusun viongozi na waongozwaji wenye akili waitawale Africa sio nyinyi.
linachokiongea ilo lidada ni sawa na mtu mwenye huzuni kunywa coka ya baridii ili kuondoa huzuni.
hata mkipwewa win to win contracts sion jipya Africa.
Wewe ndyo lipumbavu unadhani hivo ambavo mabwana zako wanataka udhani!!
Western “ wanahakikisha kua waafrika wanaamini kua matatzo yaliyoko africa n kwasababu ya ujinga wao , hilo moja!
Na kwako wamefanikiwa!!
Unadhan n viongoz wangap wanajaribu kubadili mambo wanakua assasinated, au kudhoofishwa
Nadhani hujui kitu kinaitwa REGIME CHANGE,,,,
Hujui anae fund terrorism
Hujui anae fund upinzan wa kupinga kila kitu
Hujui waliomtoa gadaf madarakan
Hujui wanao zitia nchi masikini kwene madeni
Mzee kama hujui cha kuchangia usije na mawazo yako ya shule za vidudu hapa
Hizi kelebu akatafute daktari!!!Like Notorious B.I.G once said in his infamous Juicy, "If you don't know, now you know Nigger"
You are obviously mentally deranged for making this stupid comment. Your father obviously raped your mother silly to produce a nuisance like you. Thunder fire you
Hili lidada nilijinga , bado linaongelea athari za ukolon hadi leo!
Hadi sasa Africa ndiyo inalialia kuhusu ukolon na athali zake. mabara mengine walishasahau na kumove on.
Achen kujidanganya, ruhusun viongozi na waongozwaji wenye akili waitawale Africa sio nyinyi.
linachokiongea ilo lidada ni sawa na mtu mwenye huzuni kunywa coka ya baridii ili kuondoa huzuni.
hata mkipwewa win to win contracts sion jipya Africa.
Idiotic fool.Give me a reason to believe you are not a wasted sperm
kang'welage noko.Nonsense