Dada wa Kikenya alipotaka ku..Aliniambia huku ananiangalia machoni!!. . . .

Hahahaha Mentor kwani ingebadili maana ya kitendo kama angetumia tafsida?

we najua ushazoea kuuza utumbo nzi hawakupi shida...ial najaribu kuvaa viatu vya huyu jamaa afu demu tu mliyefahamiana na kuzoeana within hours aje tu point blank from no where akuambie!!!mh..mi mwenyewe ningekimbia..
unajua tushazoea chombeza kwanza..sitaki nataka kidogo....twende tukaangalie muvi geto..et al...then...
hahaha...
 
Hao ndo wakenya. Tena wao hakuna cha mke wa mtu au mchumba,, akiwa na safari au akikupenda hata kama ameeolewa atakuambia na atahakikisha atakupata. Tena una bahati ameondoka leo, angekaa siku mbili ni lazima hiyo suruali ungevua tu. Kuna dada mmoja mkenya alikuwa ameolewa but akampenda mchunga kondoo mmoja kiasia kwamba kondoo alilainika mwenyewe. Halafu ni wajanza kama wale dada zetu wa makabila fulani ambaye ukimuoa anaweza kukuletea bwana mwenza akakudanganya kuwa ni ndugu yake kumbe mume mwenzio.
 
we najua ushazoea kuuza utumbo nzi hawakupi shida...ial najaribu kuvaa viatu vya huyu jamaa afu demu tu mliyefahamiana na kuzoeana within hours aje tu point blank from no where akuambie!!!mh..mi mwenyewe ningekimbia..
unajua tushazoea chombeza kwanza..sitaki nataka kidogo....twende tukaangalie muvi geto..et al...then...
hahaha...

Ndo tatizo la wanaume sasa demu kajilengesha kabisa wewe ni kumega tu unakimbia au unatoka nduki. Alafu demu huyo huyo labda ulikuwa unampigia hesabu za kumtongoza lakini yeye kakutangulia unamwogopa kwa nini? Huyo mzuri hana hata ghalama.
 
Tuweni wakweli jamani. Hapa tatizo sio kuomba au kombwa bali namna ya kuomba.
Hivi hata wanaume tukiomba tunasema moja kwa moja "Twende nikakunaniliu au naomba unipe naniliu?
Hizi ni siku za mwisho tu! Tutaona na kusikia kila viroja.
MAMMAMIA kind of nakuelewa kabisa! .... kila mtu anaweza kuji express kuhusina ni vipi anajihisi dhidi ya mwenziwe hilo halina tatizo isipokuwa nikwanamnagani hapo ndipo issue ilipo!! Na hii inategemea mtu na mtu! Huyu bwana aliyetokewa kiaskari hapa ... alikuwa na two options to give IN or to reject kama ilivyopia hata kama niyeye angekuwa wa kwanza ku advance mtoto wa Nairobi!!
 
Last edited by a moderator:
Huenda yalikuwepo mambo mawili ambayo mtoa mada hakuyaweka wazi;
1. huyo mwanadada hakuwa na mvuto kabisa (sura kama anapuliza moto au anakamuliwa jipu), shepu kama mnyanyua vyuma au anafanana na mtu aliyetoka wodini baada ya kuugua muda mrefu....vinginevyo kama mpododo ulikuwa unaita asingeuacha.

2. Wanawake wa Kenya wanasifika kwa kuwatandika wanaume zao(ni wababe) hivyo aliogopa kichapo...
 
Kwanza haijawahi kunitokea,huu ni ukweli.Alivyoniambia nilihisi miguu ikilegea! Nilikutana na dada huyu akaniambia ni Mkenya. . . Akaniuliza kama ni mwenyeji hapa Mwanza nikamwambia ndio.

Akaniomba nimsaidie kumpeleka baadhi ya maeneo fulani hivi, nilimpeleka. . . Wakati nakutanana nae jana ilikua saa 8 mchana.

Nilimpa msaada aliouhitaji kwani jana jumapili sikua na kazi nilimaliza mizunguko yangu mapema,na ilipofika saa 11 jioni akawa amekamilisha kazi yake akaniambia anataka akanywe juisi,nikampeleka,wakati tunakunywa ndipo akaniambia "(akinitaja jina kwani nilimwambia). . . .

Nakushukuru kwa msaada ila ningefurahi kama tungeenda ukani. . .(akataja tendo la ndoa bila tafsida) nitafurahi zaidi na nitaona nimekushukuru vizuri"!!!!

Kwanza juisi niliyotaka kuimeza ilinikaba,kisha nikaduwaa!Nilikosa la kusema kisha nikagundua miguu imelegea!Ilibidi nikurupuke. . . Eeeeee. . Mmmmmm thanks,usijali nimekusaidia tu dada!!

Alijitahidi kunisihi mwishowe ikabidi nimpe excuse ya ugonjwa akanielewa japokuwa hakuridhika!Nilitamani nimdanganye nimeoa lakini wakati tuko kwenye mizunguko aliniuliza kama nimeoa nilimwambia ukweli kuwa sijaoa!Dah nimejiuliza sana kwa taharuki ile ilisababishwa na nini sipati jibu.

Sijui ni kwa kuwa sipo kwenye mahusiano muda mrefu!Yaani na umri hu wa miaka 3.... kidogo nionekane katoto. . .Lol! Jamani wadada wamebadilika unapokutana nae jiandae kwa lolote!!!!Dada huyu anaondoka leo mchana na Akamba!!
:hungry:looooooooh yaan wewe ungukua karibu ninge,,,,,,,weka kontact zake hapa,,,,,unadondoshea mbwa nyama....wakenya hawarembuitu wao kazi tu,,,,ungepiga ishu kwa tahadhari ila alipie,,,,lol
:majani7:
 
we najua ushazoea kuuza utumbo nzi hawakupi shida...ial najaribu kuvaa viatu vya huyu jamaa afu demu tu mliyefahamiana na kuzoeana within hours aje tu point blank from no where akuambie!!!mh..mi mwenyewe ningekimbia..
unajua tushazoea chombeza kwanza..sitaki nataka kidogo....twende tukaangalie muvi geto..et al...then...
hahaha...
Maneno ya mtu mzoefu haya...
 
amakwelii kwenye mitii hakunaa wajezii...nini nisubirie aniombe,yani ingekuwaa mimi ningekuwaa nishamuombaa na kumega kabla yeye hajaniambia
 
wanaume walalamishi jaman,mkiombwa vocha mnachonga,mkiombwa lift mnasema sasa mnaombwa vikojoleo tena mnachonga jaman khaa.mbona hajakosea mdada wa wa2 kaweka ki2 peupee ni hiyari yako kukubali ama kukataa cio inshu kivilee
jojeeta,,mpz,,,,,hebu,omba radhi vikojoleo,,,au nawe mkenya,,,lol
 
dah'akiingia king' wapiga kelele akikukaushia wanung'unika kisha wasema yeye hakupendi nawe ukipendwa haupendeki' kijana mwenzangu acha ushamba.
 
kwani mdada kukuomba ni tatizo?
mbona nyie wanaume mnatuomba?
sie tukiwa na shida na iyo kitu mnaona isue sio mbona sisi sometimes tunawapa mkituomba... hukumfanyia fair kwa kweli ...
ndo maana mimi huwa simpi mtu...
sipewi na mimi sitoi

:lol: sa yule mdada wa kikenya alikua anataka agawe siku hiyo hiyo...hatukatai wewe kuomba lakini ndio uombe siku ile ile...kweli wewe unaweza gawa same day hata jina hujamjua vizuri??
 
si utamaduni uliozoeleka bongo tz,,,,lakin hapa issue haikuwa uwazi wa mkenyabali lugha hakuwa na neno mbadala,,,,,niliwahi kuwa unguja,,,na kingereza changu finyu,,,kwa hisia nilimuona dada wa kizungu mtalii koko,,anataka kitu yangu,,,,,katika kumuambia siion tofauti yangu na huyo mkenya,,,,nilibwaga tu akashtuka ila alielewa lugha ndio tatizo,,,,nikienda ugogoni,,,unyatun ama umasain namto,,,,,je mama yeyo,,,,,,
 
Hizi 'K' za bure watu wanazitafuta, maana biashara ya kulipia inachosha kweli, wengine wanaringa 'kuzitafunana', mweeeee!
 
wanamke akitaka 'mambo' hupata siku hiyo hiyo tofauti na wanaume!
 
Naon wengi mmemlaumi sana jamaa. Tatizo la jamaa siyo kudo bali ni la kisaikolojia. Huwezi kufanya mapenzi kama akili haijajitune kufanya hivyo. Hivyo tatizo la jamaa ni kujitune tu, lakini siyo kumpa kitu dada roho inapenda.

Tatizo la pili ni jinsi alivyomhukumi huyo dada hisia kama kama malaya fulani hivi wakati siku hizi ni kawaida sana kwa wanawake akikudondokea kukupa live kama Dar live.
 
I hope uyo dada alikuwa hanuki miguu/socks....manake wadada wa pande ile, kama socks zinanuka, sasa mbunye inakuwaje? wasivyojipenda.
 
Back
Top Bottom