Standards Person
JF-Expert Member
- Apr 22, 2021
- 673
- 859
Hoja yenye mashiko hasa kwa kipindi hiki cha kuhemea ajira katika nchi yetu.Kheri ya siku ya waajiriwa duniani lakini kwa hali ilivyo ni dada wa kazi tu ambaye akitangaza anaacaha kazi bosi anatetemeka wengine waliobaki wala
Ila Mungu anatupenda watanzania tutavuka