FLAVOR
Senior Member
- Jun 13, 2012
- 138
- 49
Kuna binti aliwahi kufanya kazi kwangu, ni mwenyeji wa mbeya ana 26, alirudi baada ya kuuguliwa. Sasa mgonjwa amepona na yuko Dar es salaam anatafuta kazi. Amerudi sasa,tayari mama watoto alishatafuta binti mwingine wa kazi hivyo si rahisi kuwa na wawili. Si unajua maisha ni budget.
Ni mchapa kazi na anakaa vizuri wa watoto, kama utahitaji ama kuna mtu anatafuta msaidizi wa kazi za ndani nicheki 0743753561.
Referee ni familia yangu na serikali za mtaa
Ni mchapa kazi na anakaa vizuri wa watoto, kama utahitaji ama kuna mtu anatafuta msaidizi wa kazi za ndani nicheki 0743753561.
Referee ni familia yangu na serikali za mtaa