Dada una miaka 28+ unatoa wapi ujasiri wa kuuliza namba yangu umepata wapi?

Nothing kills a conversation real quick than a dishonest person...

and u still expect her to be honest wth u?..FU!

Dishonest?? Did I lie about how I get her number ?? I didn’t. You just came here with yo lazy ass attacking and bragging that I was dishonest. FU too jerkass
 
Nimekuja mzee mwanzangu, hawa vijana wa siku hizi ni wazembe sana sasa kuomba no tu mtihani kweli umeamkaje lkn
Mzee mwenzangu nimeamka poa, hofu kwako ww ulie mbali na upeo wa macho yangu,...
On a sereous note kuna haja ya kubadili mitaala yetu,inawafanya vijana wanakosa kujiamini madarasani, ofcn, mtaani and now ht kwenye kutafta wenza...nimetoka kuwafanyia vijana interview wanatetemeka ht kujieleza...unabaki kuwaza sasa hawa tunawasaidiaje?
 
Habari gani wadau na wanajamvi wenzangu wa jamvi pendwa la MMU?

Eti mtu nimekuwa napiga naye stori kila mara kwenye ki glosari kimoja hivi. Sasa nikawa nimemuelewa, huyu dada ni mzuri kusema ukweli halafu anakamwili fulani portable sana yaani .

Nikawa namvutia muda tu, basi akawa ananipigisha stori za hapa na pale. Sikumuomba namba, juzi nikaomba namba yake kwa rafiki yake. Daah yule dada bila hiyana hakuninyima maana nikimwambia nimempenda rafiki yako kusema ukweli.

Sasa nimemtafuta huyu dada, nakwambia kakomalia eti nimwambie nani kanipa namba yake. Swali ni kwamba, una miaka 28+ hujaolewa, uko single unapata wapi jeuri ya kumkomalia mwanaume akuambie amepewa na nani namba yake?

Seriously

Kuweni serious basi dada zetu.

Sio wewe ndo hauko serious?
Ungeomba namba muda huo huo mnaopiga stori
 
Ilikuwa ni suala la kumjibu ulipoitoa namba yake,ni jeuri kuuliza hilo swali? Kwanza we jamaa ni mzembe kama umeshindwa kumface mwanamke ukaomba namba

Wavulana kwanini mna ujinga mwingi namna hii?
😂😂 Naomba namba yako ya simu Joanah
 
Kwani anashindwa kujiongeza? Mpaka anatafutwa na mwanaume, bado hajui tu?
Naunga mkono hoja. Kwan hata angemtajia jina la aliyempatia namba si angetoa maamuz yale yale tu(kuendelea kuwasiliana nae au la?)

Halaf kingine huyo dada alifikiria aliyetoa namba yake alikuwa ni mtu asiyemfaham? Lakini hata alipoongea naye si alishamfahamu?(hayo mambo huwa yanakuja baadae)

Dada zang eeee!!!??? Acheni ushamba bana mtu unamfaham( ameshajitambulisha) still unamuulza namba ameipata wap? that's f*cking bulshit+Average mind.
 
Mimi sa hivi niko 35 +huko sema nimeona kama miaka imekuwa shida binafsi niliolewa nikiwa na 30

Ahaaa.! Nimekuelewa, Japo sijataja umri huo kuonyesha kwamba watu ambao wako desperate, No. nilimwnisha kuwa, kwa umri huo mdada anakuwa anajua mengi kuhusu Mwanaume. Sorry kama umejisikia kuwa offended
 
Naunga mkono hoja. Kwan hata angemtajia jina la aliyempatia namba si angetoa maamuz yale yale tu(kuendelea kuwasiliana nae au la?)

Halaf kingine huyo dada alifikiria aliyetoa namba yake alikuwa ni mtu asiyemfaham? Lakini hata alipoongea naye si alishamfahamu?(hayo mambo huwa yanakuja baadae)

Dada zang eeee!!!??? Acheni ushamba bana mtu unamfaham( ameshajitambulisha) still unamuulza namba ameipata wap? that's f*cking bulshit+Average mind.

Sure that’s Bullshit Bro..! Wanatakiwa wajingeze bhana
 
Habari gani wadau na wanajamvi wenzangu wa jamvi pendwa la MMU?

Eti mtu nimekuwa napiga naye stori kila mara kwenye ki glosari kimoja hivi. Sasa nikawa nimemuelewa, huyu dada ni mzuri kusema ukweli halafu anakamwili fulani portable sana yaani .

Nikawa namvutia muda tu, basi akawa ananipigisha stori za hapa na pale. Sikumuomba namba, juzi nikaomba namba yake kwa rafiki yake. Daah yule dada bila hiyana hakuninyima maana nikimwambia nimempenda rafiki yako kusema ukweli.

Sasa nimemtafuta huyu dada, nakwambia kakomalia eti nimwambie nani kanipa namba yake. Swali ni kwamba, una miaka 28+ hujaolewa, uko single unapata wapi jeuri ya kumkomalia mwanaume akuambie amepewa na nani namba yake?

Seriously

Kuweni serious basi dada zetu.

Nawe unamakosa sana. Umeshindwaje kumfuata mwenyewe ukamuombe namba.
Inaonekana wewe ni muoga sana. Haya mueleze ulipoitoa namba.
 
Habari gani wadau na wanajamvi wenzangu wa jamvi pendwa la MMU?

Eti mtu nimekuwa napiga naye stori kila mara kwenye ki glosari kimoja hivi. Sasa nikawa nimemuelewa, huyu dada ni mzuri kusema ukweli halafu anakamwili fulani portable sana yaani .

Nikawa namvutia muda tu, basi akawa ananipigisha stori za hapa na pale. Sikumuomba namba, juzi nikaomba namba yake kwa rafiki yake. Daah yule dada bila hiyana hakuninyima maana nikimwambia nimempenda rafiki yako kusema ukweli.

Sasa nimemtafuta huyu dada, nakwambia kakomalia eti nimwambie nani kanipa namba yake. Swali ni kwamba, una miaka 28+ hujaolewa, uko single unapata wapi jeuri ya kumkomalia mwanaume akuambie amepewa na nani namba yake?

Seriously

Kuweni serious basi dada zetu.

Acha uoga kijana,kama unaoiga nae stori unashindwaje kumuomba mwenyewe namba?
 
Nawe unamakosa sana. Umeshindwaje kumfuata mwenyewe ukamuombe namba.
Inaonekana wewe ni muoga sana. Haya mueleze ulipoitoa namba.

Nitamwambia siku usoni ila sasa sitaki kumgombanisha na rafiki yake
 
Back
Top Bottom