Redpanther
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 2,813
- 3,764
Habari gani wadau na wanajamvi wenzangu wa jamvi pendwa la MMU?
Eti mtu nimekuwa napiga naye stori kila mara kwenye ki glosari kimoja hivi. Sasa nikawa nimemuelewa, huyu dada ni mzuri kusema ukweli halafu anakamwili fulani portable sana yaani .
Nikawa namvutia muda tu, basi akawa ananipigisha stori za hapa na pale. Sikumuomba namba, juzi nikaomba namba yake kwa rafiki yake. Daah yule dada bila hiyana hakuninyima maana nikimwambia nimempenda rafiki yako kusema ukweli.
Sasa nimemtafuta huyu dada, nakwambia kakomalia eti nimwambie nani kanipa namba yake. Swali ni kwamba, una miaka 28+ hujaolewa, uko single unapata wapi jeuri ya kumkomalia mwanaume akuambie amepewa na nani namba yake?
Seriously
Kuweni serious basi dada zetu.
Eti mtu nimekuwa napiga naye stori kila mara kwenye ki glosari kimoja hivi. Sasa nikawa nimemuelewa, huyu dada ni mzuri kusema ukweli halafu anakamwili fulani portable sana yaani .
Nikawa namvutia muda tu, basi akawa ananipigisha stori za hapa na pale. Sikumuomba namba, juzi nikaomba namba yake kwa rafiki yake. Daah yule dada bila hiyana hakuninyima maana nikimwambia nimempenda rafiki yako kusema ukweli.
Sasa nimemtafuta huyu dada, nakwambia kakomalia eti nimwambie nani kanipa namba yake. Swali ni kwamba, una miaka 28+ hujaolewa, uko single unapata wapi jeuri ya kumkomalia mwanaume akuambie amepewa na nani namba yake?
Seriously
Kuweni serious basi dada zetu.