Singasinga
JF-Expert Member
- Aug 27, 2011
- 2,649
- 3,162
Kuna watu humu wanachukulia poa poa sana hili jambo.Unaliona jepesi hilo!? Yani ubaya ukishatajiwa utakimbilia kumchamba alietoa namba kama vile sijui amefanya dhambi gani!
Sio kila mtu unaweza pata namba yake kwa kumuomba direct ndio cycle ya maisha ilivo
Kama utaniona osama nakuletea jau poa tu anzisha ila sio kutoa siri za kambi