Dada Nyota Waziri, acha kuwaharibu dada zetu!

Huyo dada Nyota Waziri ndiyo nani mkuu,poleni..

Muimbaji wa kundi la wananjenje, aliye imba wimbo wa TULIZANA MPENZI TUPENDANE.

Picha yake hii hapa
images



Na hii hapa akiwa na huyo mwanamke wake anaye mpa jeuri ya kurubuni dada zetu.

images
 
huyo si huwa kungwi sijui somo?sasa huwa anafunda nini wakati na yeye ni gay.
 
Ushauri: nenda kamlipoti Polisi haraka sana na kama huyo ndugu yako atakuwa tayari kutoa ushaid itakuwa vyema zaidi. Tabia kama hiz si za kulalamika na kufumbia macho bali sheria ichukue mkondo wake!
 
Huenda yule mme wake ambae yuko nae bendi moja hamridhishi kunako 6*6 ndomana ameona bora raha ajipe mwenyewe
 
Ushauri: nenda kamlipoti Polisi haraka sana na kama huyo ndugu yako atakuwa tayari kutoa ushaid itakuwa vyema zaidi. Tabia kama hiz si za kulalamika na kufumbia macho bali sheria ichukue mkondo wake!

Polisi hatuwezi kwenda kwa sababu sheria haituruhusu kufanya hivyo. Ili tuweze kumshitaki ni lazima kwanza huyu binti akiri kuwa mwanamke huwa anamsaga bila ridhaa yake, hapo ndo tunaweza kumpeleka polisi na atashitakiwa kwa kosa la kumdhalilisha kijinsia huyo binti ( Under SECTION 138A of The Penal Code ) na sio kwa kosa la kusagana kwani sheria ya makosa ya Jinai ya Tanzania bara imekaa kimya kuhusu usagaji.. Tatizo linalo kuja hapa ni kwamba huyu binti hatupi ushirikiano coz amekuwa hypnotized na Nyota, so hata tukimpeleka polisi hawezi kkubali, atakataa, sijui amempa kitu gani
 
huyo si huwa kungwi sijui somo?sasa huwa anafunda nini wakati na yeye ni gay.

Lesbian..../a woman who is sexually attracted to other women.
Gay...../somebody, especially a man, who is attracted to other members of the same sex.
 
Hilo jimama ni baya sana haliridhiki na Wanaume maana anaenda kotekote ndio maana Mumewe kamuacha, Nashauri andaeni mtego wa muda mrefu huyo binti yenu mumfuatilie nyendo zake, ipo siku mtamkamata tu.
 
Ushauri: nenda kamlipoti Polisi haraka sana na kama huyo ndugu yako atakuwa tayari kutoa ushaid itakuwa vyema zaidi. Tabia kama hiz si za kulalamika na kufumbia macho bali sheria ichukue mkondo wake!

Polisi hatuwezi kwenda kwa sababu sheria haituruhusu kufanya hivyo. Ili tuweze kumshitaki ni lazima kwanza huyu binti akiri kuwa mwanamke huwa anamsaga bila ridhaa yake, hapo ndo tunaweza kumpeleka polisi na atashitakiwa kwa kosa la kumdhalilisha kijinsia huyo binti ( Under SECTION 138A of The Penal Code ) na sio kwa kosa la kusagana kwani sheria ya makosa ya Jinai ya Tanzania bara imekaa kimya kuhusu usagaji.. Tatizo linalo kuja hapa ni kwamba huyu binti hatupi ushirikiano coz amekuwa hypnotized na Nyota, so hata tukimpeleka polisi hawezi kkubali, atakataa, sijui amempa kitu gani

Achana na ushauri wa hawa manamba ambao hawajui hata kuandika kiswahili sahihi, eti kalipoti (karipoti)! Matatizo ya ki-mzuka hushughulikiwa kwa namna ya mzuka! Akili kichwani, sitamwaga mchele.....
 
Anaonekana innocent kweli. Au mnamsingizia? Natania. Ila nasikia kwenye kile kikosi cha njenje, hakuna mwema pale. Wasije wakamharibu binamu.
 
Ninafahamu kwamba unajihusisha kimapenzi na wanawake wenzako. Sina tatizo kuhusu hilo kwa sababu hayo ni maisha yako na starehe yako mwenyewe. but hili kuwarubuni dada zetu wadogo ambao bado ni watoto wa shule na kuwaingiza kwenye usagaji sikubaliani nalo hata kidogo....Unatumia vihela vyako kidogo ambavyo vingine unahongwa na yule mwanamke wako wa Ilala kuwarubuni wadogo zetu wa kike! Hapana hii haikubaliki hata kidogo! Inaniuma sana kwa sababu mmoja kati ya mabinti unao waharibu ni mtoto wa dada yangu and she is under 18 years old! Umemfanya amekuwa mtu wa ajabu ajabu! Hivi wewe ungesikiaje kama binti yako ambaye yupo under 18 tena mwanafunzi angefanyiwa hivyo? Hivi nia yako ni nini haswa? Unataka kuwaambukiza magonjwa au? Tume piga huyo mpwa wetu hadi tumechoka, yote kwa sababu yako...Tafadhali,watu wa habari hebu mfuatilieni huyu mwanamke asiendelee kuwaharibu binti zetu..

Serikali inapaswa kuanza kuwachukulia hatua wanawake watu wazima wanao warubuni mabnti wadogo/wanafunzi kuingia kwenye usagaji. Sheria ya SOSPA 1998 inapaswa kufanyiwa marekebisho, haraka iwezekianavyo

Mfungulieni kesi mshtakini mahakamani. Habari za kulalamika JF hazitoshi.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom