Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushauri: nenda kamlipoti Polisi haraka sana na kama huyo ndugu yako atakuwa tayari kutoa ushaid itakuwa vyema zaidi. Tabia kama hiz si za kulalamika na kufumbia macho bali sheria ichukue mkondo wake!
huyo si huwa kungwi sijui somo?sasa huwa anafunda nini wakati na yeye ni gay.
huyo si huwa kungwi sijui somo?sasa huwa anafunda nini wakati na yeye ni gay.
wamekwisha achana toka enzi za pontio wa pilato
Ushauri: nenda kamlipoti Polisi haraka sana na kama huyo ndugu yako atakuwa tayari kutoa ushaid itakuwa vyema zaidi. Tabia kama hiz si za kulalamika na kufumbia macho bali sheria ichukue mkondo wake!
Polisi hatuwezi kwenda kwa sababu sheria haituruhusu kufanya hivyo. Ili tuweze kumshitaki ni lazima kwanza huyu binti akiri kuwa mwanamke huwa anamsaga bila ridhaa yake, hapo ndo tunaweza kumpeleka polisi na atashitakiwa kwa kosa la kumdhalilisha kijinsia huyo binti ( Under SECTION 138A of The Penal Code ) na sio kwa kosa la kusagana kwani sheria ya makosa ya Jinai ya Tanzania bara imekaa kimya kuhusu usagaji.. Tatizo linalo kuja hapa ni kwamba huyu binti hatupi ushirikiano coz amekuwa hypnotized na Nyota, so hata tukimpeleka polisi hawezi kkubali, atakataa, sijui amempa kitu gani
huyo si huwa kungwi sijui somo?sasa huwa anafunda nini wakati na yeye ni gay.
Ninafahamu kwamba unajihusisha kimapenzi na wanawake wenzako. Sina tatizo kuhusu hilo kwa sababu hayo ni maisha yako na starehe yako mwenyewe. but hili kuwarubuni dada zetu wadogo ambao bado ni watoto wa shule na kuwaingiza kwenye usagaji sikubaliani nalo hata kidogo....Unatumia vihela vyako kidogo ambavyo vingine unahongwa na yule mwanamke wako wa Ilala kuwarubuni wadogo zetu wa kike! Hapana hii haikubaliki hata kidogo! Inaniuma sana kwa sababu mmoja kati ya mabinti unao waharibu ni mtoto wa dada yangu and she is under 18 years old! Umemfanya amekuwa mtu wa ajabu ajabu! Hivi wewe ungesikiaje kama binti yako ambaye yupo under 18 tena mwanafunzi angefanyiwa hivyo? Hivi nia yako ni nini haswa? Unataka kuwaambukiza magonjwa au? Tume piga huyo mpwa wetu hadi tumechoka, yote kwa sababu yako...Tafadhali,watu wa habari hebu mfuatilieni huyu mwanamke asiendelee kuwaharibu binti zetu..
Serikali inapaswa kuanza kuwachukulia hatua wanawake watu wazima wanao warubuni mabnti wadogo/wanafunzi kuingia kwenye usagaji. Sheria ya SOSPA 1998 inapaswa kufanyiwa marekebisho, haraka iwezekianavyo