Meshacky Allyson
Senior Member
- Oct 29, 2020
- 126
- 250
Habari wana Jf , natumai mu wazima wa afya , natamani kushare hii kitu na dada zetu , Ni hivi dada always kaa ukijua , mwanaume hawezi kutulia mpaka umtulize , mindset ya boys ni kwamba ni watu wa matokeo zaid , yaan haamini mpaka aone jambo flani unalomwaminisha limetokea , Hawaoi kwa sababu ya uzuri , wanaoa kwa sababu una sifa. Jitahid ujifunze na uwe na maarifa ya kutoshaa , juu ya wanaume , kuwa vizuri kitandani tu haitoshii.
Nawasilisha uzi
View attachment 1792657
Nawasilisha uzi
View attachment 1792657