MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,707
- 71,003
Pole sana, nakuombea kwa Mungu akusaidie upate msaada wa matibabu na uweze kupona haraka
Picha katika habri hii ni muhmu na kila ninapoiona nakutana na picha yake ila hapa haujaioanisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeninukuu vibaya naona mkuu.Ndugu wala si miaka miwili tu ni zaidi ya miaka miwili amekuwa katika hali hiyo, hajapata msaada ndio sababu anaendelea kuomba na hata asipopata ataendelea kuomba tu mpaka hapo atakapopata msaada.
Mm siaminigi story kama hizi, zinakua utapeli mtupu, kuna tofauti gani na zile sms tuma hiyo pesa kwenye namba hii,
Na pia mfano kuna yule jamaa anajiita kijana sijui nani, aliomba msaada hapa wa vitu vya ndani vya kuanzia maisha eti katoka kijijini ndio kaanza kazi, baada ya mda akatoa mada nyingine akaanza kujibu watu nyodo! nakutukana watu!
Haya mambo yanafanya mtu akiwa na hitaji kweli asisaidiwe
Picha katika habri hii ni muhmu na kila ninapoiona nakutana na picha yake ila hapa haujaioanisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo stoty ya muda mrefu sana, mi nimeanza kuiona around 2010
Sawa ,ila ni baada ya....!Picha imeambatanishwa, angalia vizuri utaiona.
Yah around 2011Ndugu acha uongo, tukio lilitokea mwaka 2011 wewe umeanza kuiona 2010.
Serious???
Mkuu soma vizuri na usome na mfano niliotoe, Na hayo yalikua maoni yangu na hakuna sehemu niliyokuvunjia heshima hapo, ukisema naniheshimu means umeanza kupanic, na sijasema huyo dada ni tapeli, nimesema wakati mwingine haya mambo yanakuaga ni utaleli na natoa mfano, pia asante kwa kufahamu shuguli zangu, karibu nikuhudumie.Ndugu yangu Tunzo ninakuheshimu sana, nakuomba upige hiyo namba ya huyo dada, uende mpaka mahali anapoishi, ukithibitisha ni Utapeli basi njoo na ushahidi ila usiishie kusema hupendi story kama hiz. Nafahamu kuwa unaishi Dar Es Salaam na pia nafahamu shughuli zako, miezi kadhaa iliyopita tuliwasiliana ingawa sikutaja username yangu hap JF. Nenda kamtembelee huyo dada ndipo uje useme kuwa ni Utapeli au lah
Seriously kabisa kuanzia paragraph ya kwanza hadi ya mwisho nimekuta zimenifanya nitokwe na machozi ya uchungu. Pole yake sana huyo Dada kwa yaliyompata ila kwakuwa Mwenyezi Mungu hajawahi kuacha kuyajibu maombi yangu thabiti Kwake namuomba kwanza amjaze rehema huyu Dada yetu, amponye. amuwezeshe apate msaada wa haraka na arudi katika hali yake ya kawaida ila kwa hao waliomfanyia hayo matendo mabaya namwomba Mwenyezi Mungu awashushie adhabu stahili Kwao ambayo itawafanya wajutie na wateseke si tu wakiwa hai hivi bali hata wakifa na wakiwa Makaburini / Mavumbini bado mateso makali yazidi kuwaandama.