Dada kama huwezi kutengeneza kipato hata cha sh. 500 kwa siku hufai kuwa mshauri, mpenzi, mchumba au mke wa mwanaume yoyote

lup

JF-Expert Member
Apr 23, 2015
2,514
2,732
Happy new December month, (kwa heshima ya aliyeanzisha uzi ule) niende kwenye mada moja kwa moja,
Kwanza naanza kwa kutoa wito kwa wanaume wenzangu, kuwa usikubalia kudate au kuwa kwenye mahusiano na mwanamke asiyeweza kuwa na mawazo hata ya kujiingizia sh 500 yake japo ya vocha kwa siku au kwa wiki.

Unaweza kukuta mdada anasema mimi siwezi date na mwanaume anayefanya kazi fulani, wakati yeye hata uwezo wa kujiingizia sh.500 hana kwa siku. sasa mimi huwa najiuliza yaani wewe pale kukuomba namba tu,tayari ujumbe unaofata nitumie salio maana kifurushi kimeisha sasa inamaana wewe huwezi kujinunulia hata salio la 500,.hiyo inamaana kuwa huwezi kuwa na mawazo hata ya kunishauri nini nifanye ili kipato kiongezeke ili maisha yaende, kwa sababu tafsiri yake ni kwamba kama huwezi kuwa na mawazo hata ya kutengeneza sh.100 kwa siku hivyo utakuwa na mawazo ya kuomba na kutumia tu na sio kuzalisha, kwa hiyo wewe nakuchukulia kama mfirisi tu.

Unakuta mdada umeanza kuwasiliana kwenye mitandao siku mnapanga kuonana anaomba nauli halafu sehemu yenyewe nauli yake haizidi 2000, kwenda na kurudi... sasa wewe tunaonana ili iweje... ukweli mimi ukiniambia nikutumie nauli hapo hapo huwa nakublock....

Kwa mfano kwa hapa Mwanza labda mdada anakwambia yuko Igoma na unamwambia basi tukutane mjini kati ujumbe unaofata eti nitumie nauli, yaani sehemu ya kutumia sh. 1000 nayo pia nikutumie nauli wakati ukifika nitatumia zaidi za sh.30,000 to 50000, kulingana na eneo tutakalokutania... ukiniomba nauli au vocha haraka sana unakula block, UKUBALI NDIO HIVYO HIVYO, UKATAE NDIO HIVYO HIVYO
 
Dah kizazi cha wanaume halisi wanaoyaelewa majukumu yao kinapotea kwa kasi sana Mungu aturehemu

Mkuu wewe unachopaswa kuomba sana ni kuwa na mwanamke anayeweza kukupa support unayohitaji ili uweze kuosnga mbele na kufanya vitu vikubwa kwa jili ya familia yenu

Ukumbuke jukumu la kutunza familia matearilly hilo ni la mwanaume na si vinginevyo,mke akifanya anasiaida tu na sio kigezo cha lazima kwamba awe pia anatafuta kipato cha familia

Hivi unataka kuniambia mama wote ambao hawakuwa wakiingiza hata mia tao na ndio ambao wametulea na kutufikisha mpaka hapa tulipo,walikuwa hawana maana na msaada kwa baba zetu?

Shida siku hizi tumeshaona pesa ndio kila kitu,

Mkuu mind you pesa doesn't make a home but a house or a bungalow, and what makes someone complete and happy is not a house or a bungalow its a home,ndo maana wanasemaga home is sweet, sweet sweet home and only mwanamke anayeitambua nfasi yake anaweza kuifanya nyumba yako ikawa home na sio yule anayejua kutafuta pesa,

Pesa hailei watoto kuwa watu wema kwenye jamii Zaidi ya kuwapeleka shule na kuwanunulia vitu vya hapa na pale ambavyo ni so minor katika malezi ya mtoto kiujumla

Pesa haikupi peace of mind mkuu,ukichafukwa unachohitaji ni faraja maneno mazuri kutoka kwa mtu anayejali na uhakikisho wa kwamba unaweza kusonga mbele licha ya changamoto mia unazopitia

Kuna mambo mengi sana ambayo pesa haiwezi kufanya ile mke mzuri mwenye sifa zinazostahili anaweza kufanya na Maisha yakasonga

Acha kuweka kigezo cha mwanamke kuweza kutafuta pesa ndo kiwe kigezo kikuu,tafuta pesa mkuu,tafuta mwanamke anayejielewa na kujua nafasi yake katika familia,utaenjoy pesa zako na Maisha kwa ujumla,

Tofauti na hapo unaweza ukapamta mwanamke anayeweza kuingiza hata milioni kadhaa kwa mwezi ila ukaishia kuisikia Amani na furaha kwa majirani na usiache kuona rangi zote duniani.
 
Hakuna kitu kizuri kama kuona mrembo akiwa kwenye mishe zake za uzalishaji.. hata biashara ndogo ndogo tu kama kuuza juice, bites hata mama lishe.. zinamfanya mwanamke apate respect kubwa sana kwa wanaume.. tofauti na kula kulala, hata kumuonga mtu kama huyo mtu unapata amani maana anaonesha mwanga...

Kazi ni kipimo cha utu, kazi ni heshima kubwa sana..
 
Dah kizazi cha wanaume halisi wanaoyaelewa majukumu yao kinapotea kwa kasi sana Mungu aturehemu

Mkuu wewe unachopaswa kuomba sana ni kuwa na mwanamke anayeweza kukupa support unayohitaji ili uweze kuosnga mbele na kufanya vitu vikubwa kwa jili ya familia yenu

ukumbuke jukumu la kutunza familia matearilly hilo ni la mwanaume na si vinginevyo,mke akifanya anasiaida tu na sio kigezo cha lazima kwamba awe pia anatafuta kipato cha familia

Hivi unataka kuniambia mama wote ambao hawakuwa wakiingiza hata mia tao na ndio ambao wametulea na kutufikisha mpaka hapa tulipo,walikuwa hawana maana na msaada kwa baba zetu?

shida siku hizi tumeshaona pesa ndio kila kitu,

mkuu mind you pesa doesn't make a home but a house or a bungalow, and what makes someone complete and happy is not a house or a bungalow its a home,ndo maana wanasemaga home is sweet, sweet sweet home and only mwanamke anayeitambua nfasi yake anaweza kuifanya nyumba yako ikawa home na sio yule anayejua kutafuta pesa,

pesa hailei watoto kuwa watu wema kwenye jamii Zaidi ya kuwapeleka shule na kuwanunulia vitu vya hapa na pale ambavyo ni so minor katika malezi ya mtoto kiujumla

pesa haikupi peace of mind mkuu,ukichafukwa unachohitaji ni faraja maneno mazuri kutoka kwa mtu anayejali na uhakikisho wa kwamba unaweza kusonga mbele licha ya changamoto mia unazopitia

kuna mambo mengi sana ambayo pesa haiwezi kufanya ile mke mzuri mwenye sifa zinazostahili anaweza kufanya na Maisha yakasonga

acha kuweka kigezo cha mwanamke kuweza kutafuta pesa ndo kiwe kigezo kikuu,tafuta pesa mkuu,tafuta mwanamke anayejielewa na kujua nafasi yake katika familia,utaenjoy pesa zako na Maisha kwa ujumla,

tofauti na hapo unaweza ukapamta mwanamke anayeweza kuingiza hata milioni kadhaa kwa mwezi ila ukaishia kuisikia Amani na furaha kwa majirani na usiache kuona rangi zote duniani.
Kaka post yako nimeisoma mara 3 lakini kuna mahala unachenga
Tofautisha zamani na sasa zama zimebadilika
Ndugu anaongelea swala la mwanamke angalau awe na uwezo wa kutengeneza japo 500 kwa siku ili hata hizo safari fupi ajikimu mwenyewe saa kwel hata wew 1000 ya kuja tu mjini hana anasema umtumie, unamtumia akatoe ngapi ndio mwanzo wa kusema huyu ni baili au nini.
Sema hivi kwa mwanamke anaejielewa lazima awe na balance yake
na true love nauli anakua nayo na kuja anakuja bila shida yoyote
case closed
 
Hakuna kitu kizuri kama kuona mrembo akiwa kwenye mishe zake za uzalishaji.. hata biashara ndogo ndogo tu kama kuuza juice, bites hata mama lishe.. zinamfanya mwanamke apate respect kubwa sana kwa wanaume..tofauti na kula kulala,, hata kumuonga mtu kama huyo mtu anapata amani maana anaonesha mwanga...

Kazi ni kipimo cha utu,kazi ni heshima kubwa sana..
Mkuu shida kubwa inatupata wanaume wengi wa sasa ni kutafsiri hili neno kazi,

Tumeshaweka vichwani mwetu kuwa kazi ni kufanya kitu kinachoweza kukuingizia pesa tu,

Hii tafsiri ndio inayobadilisha mfumo mzima wa Maisha na kufanya tusindwe kabisa kuuona mchango wa mwanamke asiye na kazi ya kuingzia kipato

Mkuu hivi unaijua kazi ya kuutunza mji wewe? Unaijua kazi ya kuhakikisha nyumba yako iko safi muda wote, kazi ya kutunza mazingira ya nyumbani kwako yapendeze wakati wote, si masika si kiangazi? Unaijua kazi ya kufikiria leo watu wangu home wale nini? Leo niwapikieje ili wale chakula waenjoy? Unaijua kazi ya kufua kila siku tena kama ndo wanaume tunaofanya kazi tumejilaza kwenye mavumbi na kujifutia magrease tunajifutia kwenye nguo zetu,watoto wanaojifunza kutambaa vile huwa wanabadilidha nguo hata mara tano kila siku?kukaribisha wageni na kuhakikihsa wanakuwa entertained wawapo kwako ili wewe baba mwenye nyumba yako upate sifa kuwa nyumba yako ni mahali salama na penye kufurahisha kuishi?

Sijui mtazamo wako juu ya haya maswala mengine ila nadhani ni wakati sasa tubadilike tusiamini kazi ni zile za kuingiza pesa

Wanawake (wale wanaojitambua na kuyatendea haki majukumu yao kama mama zetu,dada zetu ) wana mchango mkubwa sana katika familia zetu hata kama hawafanyi kazi za kuingiza pesa

Wanafanya kazi nyingi sana kuhakikisha sisi wanaume tunafurahia Maisha na kuenjoy

Pale unapojua ukifika home utapakuta pakiwa safi na utaweza kupumzika kwa raha na Amani

Utapata walau glasi moja ya juisi baridi safi made from wifey au kikombe kimoja makini sana cha uji wa maziwa safi huku ukisubiria msosi mtamu made from baby mama

Ile hisia nzuri ya kuamini watoto wako wako mikono salama pale ujuapo mama yao yupo kwa ajili yao akihakikisha anashuhudia kila hatua ya ukuaji wa mtoto wenu na kukupa ripoti kadha wa kadha juu ya maendeleo ya mtoto wenu na inapolazimu kujadili juu ya nini cha kufanya baada ya mama kugundua mtoto wenu ana shida Fulani na kukuletea ripoti

Mkuu nothing beats a good woman who uses all her power to make a home for her family,a place where everyone can enjoy have fun and feel safe and cared for.
 
Dah kizazi cha wanaume halisi wanaoyaelewa majukumu yao kinapotea kwa kasi sana Mungu aturehemu

Mkuu wewe unachopaswa kuomba sana ni kuwa na mwanamke anayeweza kukupa support unayohitaji ili uweze kuosnga mbele na kufanya vitu vikubwa kwa jili ya familia yenu

ukumbuke jukumu la kutunza familia matearilly hilo ni la mwanaume na si vinginevyo,mke akifanya anasiaida tu na sio kigezo cha lazima kwamba awe pia anatafuta kipato cha familia

Hivi unataka kuniambia mama wote ambao hawakuwa wakiingiza hata mia tao na ndio ambao wametulea na kutufikisha mpaka hapa tulipo,walikuwa hawana maana na msaada kwa baba zetu?

shida siku hizi tumeshaona pesa ndio kila kitu,

mkuu mind you pesa doesn't make a home but a house or a bungalow, and what makes someone complete and happy is not a house or a bungalow its a home,ndo maana wanasemaga home is sweet, sweet sweet home and only mwanamke anayeitambua nfasi yake anaweza kuifanya nyumba yako ikawa home na sio yule anayejua kutafuta pesa,

pesa hailei watoto kuwa watu wema kwenye jamii Zaidi ya kuwapeleka shule na kuwanunulia vitu vya hapa na pale ambavyo ni so minor katika malezi ya mtoto kiujumla

pesa haikupi peace of mind mkuu,ukichafukwa unachohitaji ni faraja maneno mazuri kutoka kwa mtu anayejali na uhakikisho wa kwamba unaweza kusonga mbele licha ya changamoto mia unazopitia

kuna mambo mengi sana ambayo pesa haiwezi kufanya ile mke mzuri mwenye sifa zinazostahili anaweza kufanya na Maisha yakasonga

acha kuweka kigezo cha mwanamke kuweza kutafuta pesa ndo kiwe kigezo kikuu,tafuta pesa mkuu,tafuta mwanamke anayejielewa na kujua nafasi yake katika familia,utaenjoy pesa zako na Maisha kwa ujumla,

tofauti na hapo unaweza ukapamta mwanamke anayeweza kuingiza hata milioni kadhaa kwa mwezi ila ukaishia kuisikia Amani na furaha kwa majirani na usiache kuona rangi zote duniani.
Uzi na ufungwe.
 
mkuu shida kubwa inatupata wanaume wengi wa sasa ni kutafsiri hili neon kazi,

tumeshaweka vichwani mwetu kuwa kazi ni kufanya kitu kinachoweza kukuingizia pesa tu,

hii tafsiri ndo inayobadilisha mfumo mzima wa Maisha na kufanya tusindwe kabisa kuuona mchango wa mwanamke asiye na kazi ya kuingzia kipato

mkuu hivi unaijua kazi ya kuutunza mji wewe? unaijua kazi ya kuhakikisha nyumba yako iko safi muda wote,kazi ya kutunza mazingira ya nyumbani kwako yapendeze wakati wote,si masika si kiangazi? unaijua kazi ya kufikiria leo watu wangu home wale nini? leo niwapikieje ili wale chakula waenjoy? unaijua kazi ya kufua kila siku tena kama ndo wanaume tunaofanya kazi tumejilaza kwenye mavumbi na kujifutia magrease tunajifutia kwenye nguo zetu,watoto wanaojifunza kutambaa vile huwa wanabadilidha nguo hata mara tano kila siku?kukaribisha wageni na kuhakikihsa wanakuwa entertained wawapo kwako ili wewe baba mwenye nyumba yako upate sifa kuwa nyumba yako ni mahali salama na penye kufurahisha kuishi?

sijui mtazamo wako juu ya haya maswala mengine ila nadhani ni wakati sasa tubadilike tusiamini kazi ni zile za kuingiza pesa

wanawake (wale wanaojitambua na kuyatendea haki majukumu yao kama mama zetu,dada zetu ) wana mchango mkubwa sana katika familia zetu hata kama hawafanyi kazi za kuingiza pesa

wanafanya kazi nyingi sana kuhakikisha sisi wanaume tunafurahia Maisha na kuenjoy

pale unapojua ukifika home utapakuta pakiwa safi na utaweza kupumzika kwa raha na Amani

utapata walau glasi moja ya juisi baridi safi made from wifey au kikombe kimoja makini sana cha uji wa maziwa safi huku ukisubiria msosi mtamu made from baby mama

ile hisia nzuri ya kuamini watoto wako wako mikono salama pale ujuapo mama yao yupo kwa ajili yao akihakikisha anashuhudia kila hatua ya ukuaji wa mtoto wenu na kukupa ripoti kadha wa kadha juu ya maendeleo ya mtoto wenu na inapolazimu kujadili juu ya nini cha kufanya baada ya mama kugundua mtoto wenu ana shida Fulani na kukuletea ripoti

Mkuu nothing beats a good woman who uses all her power to make a home for her family,a place where everyone can enjoy have fun and feel safe and cared for.
Mkuu elewa maana yangu vizuri sana mdada niliyemzungumzia hapa ni yule ambaye bado yuko single na hajui kuchanga mawazo yake kujipatia kipato, maana huyo unayemsema wewe ni mama wa nyumbae ambae huenda baada ya kuwa nae ndio mkaamua awe mama wa nyumbani huku akili ya utafutaji anayo hata ukileta hoja mezani mtazamo wake ni tofauti kabisa na ni chanya kwa sababu anajua nini maana ya utafutaji... soma andiko langu vizuri
 
kaka post ako nimeisoma mara 3 lakin kuna mahara unachenga
tofautisha zamani na sasa zama zimebadilika
Ndugu anaongelea swala la mwanamke angalau awe na uwezo wa kutengeneza japo 500 kwa siku ili hata hizo safar fupi ajikim mwenyew saa kwel hata wew 1000 ya kuja tu mjini hana ansema umtumie unamtumia akatoe ngp ndo mwanzo wa kusem huyu n baili au nn
sema hivi kwa mwanamke anae jielew lzma awe na balance ake
na true love nauli ankua nayo n kuja ankuja bila shid yyt
case closed
Mkuu tukiendekeza swala la zama tutazidi kuharibikiwa kabisa mkuu

Maanake zama hizi ni karibia kila kitu hakiendi sawa na ndio maana maadili yanazidi kuzorota kila siku kwa sababu tunataka kubadilisha nature inavyotaka

Mkuu nature imemcreat mwanaume kuwa provider and that's it haibadiliki hiyo mkuu

Na mwanamke nature imemcreate kuwa mtunza family pale home aangalie watoto zenu akutunzie mji wenu n.k

Hata Mungu aliyewaumba ndivyo alivyoyagawa majuku pale mwanzoni

Sasa leo mambo yanaizid kuwa hovyo kwa sabu tunataka kuyakataa majukumu yetu

Na ndio maana wanawake wengi walio economically independent huwa wana wanajiamini kupita kiasi kwa sababu haoni nafasi yako wewe kama mwanaume katika Maisha yake,kama anaweza kufanya kila kitu peke yake anakuhitaji wewe wa nini?ili akupeleke wapi? ndio maana sio ajabu leo kusikia wanwake wakisema mi najizalia watoto wangu tu basi nawalae mwenyewe,siolewi,

Kwa nini?

Kwa sababu anaona uwezo wa kuwa mwanaume na mwanamke at the same time,azae watoto kuwalea na kuwatunza kuanzia chakula malazi na mavazi na mambo mengine ya ziada kwa pesa aliyonayo,hivyo haoni umuhimu wa uwepo wako
 
mkuu elewa maana yangu vizuri sana mdada niliyemzungumzia hapa ni yule ambaye bado yuko single na hajui kuchanga mawazo yake kujipatia kipato, maana huyo unayemsema wewe ni mama wa nyumbae ambae huenda baada ya kuwa nae ndio mkaamua awe mama wa nyumbani huku akili ya utafutaji anayo hata ukileta hoja mezani mtazamo wake ni tofauti kabisa na ni chanya kwa sababu anajua nini maana ya utafutaji... soma andiko langu vizuri
Nimelisoma andiko lako vizuri sana na nimeliewela sana mkuu

Na ndio maana nikakuambia acha kufanya uwezo wa kuingiza kipato uwe kigezo kikuu cha kufanya uchaguzi wa mke wako, mama wa watoto wako.

Unajuaje ikiwa huyo single anakuweka kwenye test kukuona wewe ni mwanaume wa aina gani?

Unajuaje ikiwa malezi yake yamemfanya akawa mtu asiyefikira sana na labda anaweza kubadilika kutokana na kuzidi kukua au kuona uhalisia wa Maisha? Au wewe kumsaidia awe mtu mwenye michango chanya kwako?

Unajuaje ikiwa Maisha anayoishi licha ya kujishughulisha sana bado hapati hiyo 500 kwa ajili yake? Labda ni yeye ndiye ambaye wanamtegemea?

Kuweka kigezo hicho kuwa kikuu kutakufanya uwapoteze hata wanwake ambao wangekuja kuwa na value kubwa sana kwako huko baade maishani,kwa sababu akishakuomba tu hiyo pesa ya nauli we unafuta na kufuta namba zake?unajuaje kama anaweza asiwe na uwezo wa kutengeneza pesa ila akawa na mawazo mazuri sana? coz ujue kuna watu ni maidea creators ila performance zero,yaani zero kabisa,yaani hata umpe ten millons afanye kitu zitateketea tu

My point is usikijudge kitabu kwa cover lake,ukiwa kama mwanaume jiwekee akilini kabisa kuwa ni daraka lako kutafuta pesa za familia yenu ijayo,ukipata dada wa kumingle naye akakuletea stori za nitumie nauli usifikie mkataa mara moja tu hafai na kumblock,give in chukua muda wako msome uone kama ana dira au ndo wale wale wa wewe subiria baba yako aje utaona

Ukiona haeleweki si unapiga chini tu, kwani umezaliwa naye au kuna mtu atakuchapa ukimwacha?

Lakini kuwablock warembo kisa tu wamekuomba pesa ya nauli huenda unakosa mengi ambayo huyajui na hiyo haimaanishi mtu hana uwezo wa kutengenza walau 500 kwa siku labda tu anatesti mitambo.
 
Mwanamke akakikukubali/kukupenda hakusagi nauli kamwe!

Ila wapo waliopowteza wanaume wanaowafaa kwa upuuzi wa kuendekeza vibomu visivyo na msingi
 
Mkuu shida kubwa inatupata wanaume wengi wa sasa ni kutafsiri hili neno kazi,

Tumeshaweka vichwani mwetu kuwa kazi ni kufanya kitu kinachoweza kukuingizia pesa tu,

Hii tafsiri ndio inayobadilisha mfumo mzima wa Maisha na kufanya tusindwe kabisa kuuona mchango wa mwanamke asiye na kazi ya kuingzia kipato

Mkuu hivi unaijua kazi ya kuutunza mji wewe? Unaijua kazi ya kuhakikisha nyumba yako iko safi muda wote, kazi ya kutunza mazingira ya nyumbani kwako yapendeze wakati wote, si masika si kiangazi? Unaijua kazi ya kufikiria leo watu wangu home wale nini? Leo niwapikieje ili wale chakula waenjoy? Unaijua kazi ya kufua kila siku tena kama ndo wanaume tunaofanya kazi tumejilaza kwenye mavumbi na kujifutia magrease tunajifutia kwenye nguo zetu,watoto wanaojifunza kutambaa vile huwa wanabadilidha nguo hata mara tano kila siku?kukaribisha wageni na kuhakikihsa wanakuwa entertained wawapo kwako ili wewe baba mwenye nyumba yako upate sifa kuwa nyumba yako ni mahali salama na penye kufurahisha kuishi?

Sijui mtazamo wako juu ya haya maswala mengine ila nadhani ni wakati sasa tubadilike tusiamini kazi ni zile za kuingiza pesa

Wanawake (wale wanaojitambua na kuyatendea haki majukumu yao kama mama zetu,dada zetu ) wana mchango mkubwa sana katika familia zetu hata kama hawafanyi kazi za kuingiza pesa

Wanafanya kazi nyingi sana kuhakikisha sisi wanaume tunafurahia Maisha na kuenjoy

Pale unapojua ukifika home utapakuta pakiwa safi na utaweza kupumzika kwa raha na Amani

Utapata walau glasi moja ya juisi baridi safi made from wifey au kikombe kimoja makini sana cha uji wa maziwa safi huku ukisubiria msosi mtamu made from baby mama

Ile hisia nzuri ya kuamini watoto wako wako mikono salama pale ujuapo mama yao yupo kwa ajili yao akihakikisha anashuhudia kila hatua ya ukuaji wa mtoto wenu na kukupa ripoti kadha wa kadha juu ya maendeleo ya mtoto wenu na inapolazimu kujadili juu ya nini cha kufanya baada ya mama kugundua mtoto wenu ana shida Fulani na kukuletea ripoti

Mkuu nothing beats a good woman who uses all her power to make a home for her family,a place where everyone can enjoy have fun and feel safe and cared for.
AseeEh sina cha kuongeza vyote umemaliza asante sana kwa kutambua uwepo wetu tusiokua na ajira ila tuna kazi.
 
Nimelisoma andiko lako vizuri sana na nimeliewela sana mkuu

Na ndio maana nikakuambia acha kufanya uwezo wa kuingiza kipato uwe kigezo kikuu cha kufanya uchaguzi wa mke wako, mama wa watoto wako.

Unajuaje ikiwa huyo single anakuweka kwenye test kukuona wewe ni mwanaume wa aina gani?

Unajuaje ikiwa malezi yake yamemfanya akawa mtu asiyefikira sana na labda anaweza kubadilika kutokana na kuzidi kukua au kuona uhalisia wa Maisha? Au wewe kumsaidia awe mtu mwenye michango chanya kwako?

Unajuaje ikiwa Maisha anayoishi licha ya kujishughulisha sana bado hapati hiyo 500 kwa ajili yake? Labda ni yeye ndiye ambaye wanamtegemea?

Kuweka kigezo hicho kuwa kikuu kutakufanya uwapoteze hata wanwake ambao wangekuja kuwa na value kubwa sana kwako huko baade maishani,kwa sababu akishakuomba tu hiyo pesa ya nauli we unafuta na kufuta namba zake?unajuaje kama anaweza asiwe na uwezo wa kutengeneza pesa ila akawa na mawazo mazuri sana? coz ujue kuna watu ni maidea creators ila performance zero,yaani zero kabisa,yaani hata umpe ten millons afanye kitu zitateketea tu

My point is usikijudge kitabu kwa cover lake,ukiwa kama mwanaume jiwekee akilini kabisa kuwa ni daraka lako kutafuta pesa za familia yenu ijayo,ukipata dada wa kumingle naye akakuletea stori za nitumie nauli usifikie mkataa mara moja tu hafai na kumblock,give in chukua muda wako msome uone kama ana dira au ndo wale wale wa wewe subiria baba yako aje utaona

Ukiona haeleweki si unapiga chini tu, kwani umezaliwa naye au kuna mtu atakuchapa ukimwacha?

Lakini kuwablock warembo kisa tu wamekuomba pesa ya nauli huenda unakosa mengi ambayo huyajui na hiyo haimaanishi mtu hana uwezo wa kutengenza walau 500 kwa siku labda tu anatesti mitambo.
Uwiiih kunywa upendacho naja kulipa.
 
Back
Top Bottom