wewe utadanganyika wewe ..watu wapo kwenye hijabu ...full time wametoa hadi vodacom....mimi the way navovaa simaanishi chochote..
navaa kutokana na event na kupendeza ..si unajua mwanamke mvuto?....ukinikuta church .na ofsini tofauti au ukutane na mimi usiku tofauti kabisa..
kuwa makini itakula kwako mkuu
wewe utadanganyika wewe ..watu wapo kwenye hijabu ...full time wametoa hadi vodacom....mimi the way navovaa simaanishi chochote..
navaa kutokana na event na kupendeza ..si unajua mwanamke mvuto?....ukinikuta church .na ofsini tofauti au ukutane na mimi usiku tofauti kabisa..
kuwa makini itakula kwako mkuu
dah!! Preta umeua bendi,ilikuwa Eiyer aoe wiki ijayo,sasa akiona hii itakuwaje?View attachment 57225 ............!!!!
wewe utadanganyika wewe ..watu wapo kwenye hijabu ...full time wametoa hadi vodacom....mimi the way navovaa simaanishi chochote..
navaa kutokana na event na kupendeza ..si unajua mwanamke mvuto?....ukinikuta church .na ofsini tofauti au ukutane na mimi usiku tofauti kabisa..
kuwa makini itakula kwako mkuu
Where do you even start?pretty misleading...it is so difficult to tell the difference these days
Where do you even start?
Hio ni it's complicated pia:Moja imemisi:
The other woman/man (kwa wale wanaotoka na wenzi wa wenzao, manake its more than complicated,lol)