Dada hata ukinidanganya.... nikiangalia ulivyovaa nakushtukia

Tuko

JF-Expert Member
Jul 29, 2010
11,178
7,319
Indicator number moja...
Kifua.png
 
wewe utadanganyika wewe ..watu wapo kwenye hijabu ...full time wametoa hadi vodacom....mimi the way navovaa simaanishi chochote..
navaa kutokana na event na kupendeza ..si unajua mwanamke mvuto?....ukinikuta church .na ofsini tofauti au ukutane na mimi usiku tofauti kabisa..
kuwa makini itakula kwako mkuu
 
wewe utadanganyika wewe ..watu wapo kwenye hijabu ...full time wametoa hadi vodacom....mimi the way navovaa simaanishi chochote..
navaa kutokana na event na kupendeza ..si unajua mwanamke mvuto?....ukinikuta church .na ofsini tofauti au ukutane na mimi usiku tofauti kabisa..
kuwa makini itakula kwako mkuu

Sometimes kudanganywa nako poa... au umesahau ule mziki wa kwenye daladala... nidanganye x 3 tuuuuuu...
Hata hivyo Smile, ni rahisi sana mimi kutofautisha mwanamke aliyeolewa na asiyeolewa kwa mavazi... sidhani kama nitadanganywa...
 
wewe utadanganyika wewe ..watu wapo kwenye hijabu ...full time wametoa hadi vodacom....mimi the way navovaa simaanishi chochote..
navaa kutokana na event na kupendeza ..si unajua mwanamke mvuto?....ukinikuta church .na ofsini tofauti au ukutane na mimi usiku tofauti kabisa..
kuwa makini itakula kwako mkuu

umemaliza kila kitu, thread closed.....
 
Mh hapa mie iko mashaka,kuna m-mama fulani huwa unavaa kiadabu zote na pete ya ndoa juu,nilipewa story yake sikuamini kaka,yaani magauni yake kama ya huyo wa HAPPILY MARRIED,anongea utafikiri anafugwa getini ila ni balaa,yeye aanondoa wote vijana wasiioa mpaka waume za watu.
 
pretty misleading...it is so difficult to tell the difference these days
 
  • Thanks
Reactions: Taz
wewe utadanganyika wewe ..watu wapo kwenye hijabu ...full time wametoa hadi vodacom....mimi the way navovaa simaanishi chochote..
navaa kutokana na event na kupendeza ..si unajua mwanamke mvuto?....ukinikuta church .na ofsini tofauti au ukutane na mimi usiku tofauti kabisa..
kuwa makini itakula kwako mkuu

Ningependa kuiona hiyo Smile yako siku moja! LOL
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom