pendosaidi
Member
- Feb 6, 2010
- 12
- 0
jjjjjjjjjjjjjjjjjjjjj
Mkuu ungetoa ushauri kwanza huyo dada si atajulikana tu akishatangaza rasmi
Sasa ushauri unaweza kutegemea na dada ni nani, kuna mashauri tofauti kwa watu tofauti.
nimeshakupa profile yake kidogo, dada ni moja wa ma sista du wa town, anajulikana mijini. ila ni mke wa mtu na ni msomi vile vile ana miaka 33