Kama namuona MariumWe Mariam umemfanya nini Chalii wa watu asee?!
@NgarenaroBoy
We Mariam umemfanya nini Chalii wa watu asee?!
@NgarenaroBoy
Akiachwa atajinyonga huyuUkisikia ujana maji ya moto ndio huu sasa. Mana waeza kuta hapo haoni hasikii kwa huyo Mariam.
Na ndio sababu hajali watu watamuangaliaje.
mweeh!!
Hakuwahi kumpakulia birian nae ananjaa sasaItakuwa Mariam biriani