yousaw
Senior Member
- Apr 21, 2014
- 160
- 129
Wakuu hamna asiyejua hal ya soko la ajira ilivyo hapa Tz kwa sasa, kutokana na hlo kijana mwenzenu nkaamua kujiajiri kwa kufungua biashara ya kuuza chps cha ajab napga mzgo had unaisha ila hakuna faida ni hela ya msing tu ndo ninayoipata, sasa wakuu kwa yeyote mwenye uzoefu na biashara hii anishaur jins ya ku'rise income!
AHSANTE.
AHSANTE.