Daah! Aisee, nimetengeneza mtindi safi kabisa kwa njia hii

Nimechukua maziwa fresh from the bush(broken)maziwa hayajachakachuliwa kabisa.

Kisha nikayaweka kwenye friji yakapata baridii kiasi yale maziwa.

Alafu nikizima friji langu na maziwa yapo mule mulee unayaacha kama masaa 12 mpaka 15,ukishazima friji alafu likapoa kule ndani kunakuwa na joto joto ambalo linasaidia kugandisha mtindi wako.

Baada ya hayo masaa ukienda kutizama utakuwa ile chupa ina maji maji,alafu utaona ule mtindi tayari unaelea katika yale maji maji ya ndani ya chups ya maziwa.

Baada ya hapo kama unachujio la juisi chukua alafu chujia ule mtindi maji yote yatatoka na utabaki huu mtindi mzito ambao utautia katika chombo kinginee na kusnza kukoroga ikiwa nataka mtindi uwe laini bila mabongeee.

Hapo mtindi unaukoroga na mwiko alafu unatokea ule mtindi lainiiii tayari kula hapo,waweza tia sukari n.k

Hii njia inaweza kuwa na madhara wakuu?,na wewe kama una njia yako iweke tujifunze zaidi.

Mtanisamehe hii thred mwanzo nimeanza kama nafanya mimi alafu hapo kati nimechanganya kama nawafundisha nyinyi,mnivumiliee tu hivyo ndo nilivyofanya mpaka mtindi ukawa mtindiii

Sent using Jamii Forums mobile app
Chukua maziwa fresh then kanunue mtinsi wa jero changanya mle acha kesho yake njoo uchukue mtindi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fu
Nimechukua maziwa fresh from the bush(broken)maziwa hayajachakachuliwa kabisa.

Kisha nikayaweka kwenye friji yakapata baridii kiasi yale maziwa.

Alafu nikizima friji langu na maziwa yapo mule mulee unayaacha kama masaa 12 mpaka 15,ukishazima friji alafu likapoa kule ndani kunakuwa na joto joto ambalo linasaidia kugandisha mtindi wako.

Baada ya hayo masaa ukienda kutizama utakuwa ile chupa ina maji maji,alafu utaona ule mtindi tayari unaelea katika yale maji maji ya ndani ya chups ya maziwa.

Baada ya hapo kama unachujio la juisi chukua alafu chujia ule mtindi maji yote yatatoka na utabaki huu mtindi mzito ambao utautia katika chombo kinginee na kusnza kukoroga ikiwa nataka mtindi uwe laini bila mabongeee.

Hapo mtindi unaukoroga na mwiko alafu unatokea ule mtindi lainiiii tayari kula hapo,waweza tia sukari n.k

Hii njia inaweza kuwa na madhara wakuu?,na wewe kama una njia yako iweke tujifunze zaidi.

Mtanisamehe hii thred mwanzo nimeanza kama nafanya mimi alafu hapo kati nimechanganya kama nawafundisha nyinyi,mnivumiliee tu hivyo ndo nilivyofanya mpaka mtindi ukawa mtindiii

Sent using Jamii Forums mobile app
Full mabakteria humo
 
Kwanza hujachemsha,
pili maziwa kuganda bila kuweka kigandishio,uwezekano mkubwa yameharibika,
lakini sio ishu,vijijini huko watu hugandisha bila kuchemsha na yanaganda,
japo sidhani kama hawaweki kigandishio
 
N
Nunua mziwa yako chukua kipande Cha limao kamulia mtibdi tayar Tena mzuri kweliii
Nakamulia baada ya kuuchemsha au kabla mkuu?

Na nikishakamulia nauweka kwenye friji au mje ya friji?

Nautia kwenye chups au kwenye sufuria?

Nauacha mda gani mkuu?

Naomba unijibu natanguliza shukran
 
Nakamulia baada ya kuuchemsha au kabla mkuu?

Na nikishakamulia nauweka kwenye friji au mje ya friji?

Nautia kwenye chups au kwenye sufuria?

Nauacha mda gani mkuu?

Naomba unijibu natanguliza shukran
WAWEZA chemsha ukipenda ili Kuua vijidudu mkuu.
La Kama hupendi kuchemsha waweka limao hivyohivyo
Ukipenda uwe wa baridi weka ktk friji lakini SI lazima Kama hupendi uwe baridi
Ukisha weka limao tu huganda palepale yaani Ni kitendo Cha dakika 1-2 tu
WEKA kwenye chombo chochot ukipendacho
 
Aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa mkuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu kwenye kuishi kwingi kuona mengi aiseee???

Inamaana nimekuwa najipa shida(najila)kuuweka mtindi chini ya kitanda masaa 24 kumbe kuna njia ya hivi mkuu?

Unaganda ile unakuwa kama unamega tonge ya ugali au unaganda kimagumashi tu?
WAWEZA chemsha ukipenda ili Kuua vijidudu mkuu.
La Kama hupendi kuchemsha waweka limao hivyohivyo
Ukipenda uwe wa baridi weka ktk friji lakini SI lazima Kama hupendi uwe baridi
Ukisha weka limao tu huganda palepale yaani Ni kitendo Cha dakika 1-2 tu
 
Nimechukua maziwa fresh from the bush(broken)maziwa hayajachakachuliwa kabisa.

Kisha nikayaweka kwenye friji yakapata baridii kiasi yale maziwa.

Alafu nikizima friji langu na maziwa yapo mule mulee unayaacha kama masaa 12 mpaka 15,ukishazima friji alafu likapoa kule ndani kunakuwa na joto joto ambalo linasaidia kugandisha mtindi wako.

Baada ya hayo masaa ukienda kutizama utakuwa ile chupa ina maji maji,alafu utaona ule mtindi tayari unaelea katika yale maji maji ya ndani ya chups ya maziwa.

Baada ya hapo kama unachujio la juisi chukua alafu chujia ule mtindi maji yote yatatoka na utabaki huu mtindi mzito ambao utautia katika chombo kinginee na kusnza kukoroga ikiwa nataka mtindi uwe laini bila mabongeee.

Hapo mtindi unaukoroga na mwiko alafu unatokea ule mtindi lainiiii tayari kula hapo,waweza tia sukari n.k

Hii njia inaweza kuwa na madhara wakuu?,na wewe kama una njia yako iweke tujifunze zaidi.

Mtanisamehe hii thred mwanzo nimeanza kama nafanya mimi alafu hapo kati nimechanganya kama nawafundisha nyinyi,mnivumiliee tu hivyo ndo nilivyofanya mpaka mtindi ukawa mtindiii

Sent using Jamii Forums mobile app
Ninyi watoto wa darisalama mnashida kweli sasa friji la nini kugandisha maziwa rudi kijijini omba kibuyu kinakua kinakaa kwenye kona ukitia fresh leo kesho unamimini mtindi safi kabisa
 
Aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa mkuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu kwenye kuishi kwingi kuona mengi aiseee???

Inamaana nimekuwa najipa shida(najila)kuuweka mtindi chini ya kitanda masaa 24 kumbe kuna njia ya hivi mkuu?

Unaganda ile unakuwa kama unamega tonge ya ugali au unaganda kimagumashi tu?
Pole Mkuu unaganda freeesh kabisa mabonge makubwa makubwa halafu ladha NZUURII.kimsingi una punguza kigandishwa na bakteria
 
Back
Top Bottom