Daah! Aisee, nimetengeneza mtindi safi kabisa kwa njia hii

Kijana kijana

JF-Expert Member
Mar 11, 2018
2,546
2,616
Nimechukua maziwa fresh from the bush(broken)maziwa hayajachakachuliwa kabisa.

Kisha nikayaweka kwenye friji yakapata baridii kiasi yale maziwa.

Alafu nikizima friji langu na maziwa yapo mule mulee unayaacha kama masaa 12 mpaka 15,ukishazima friji alafu likapoa kule ndani kunakuwa na joto joto ambalo linasaidia kugandisha mtindi wako.

Baada ya hayo masaa ukienda kutizama utakuwa ile chupa ina maji maji,alafu utaona ule mtindi tayari unaelea katika yale maji maji ya ndani ya chups ya maziwa.

Baada ya hapo kama unachujio la juisi chukua alafu chujia ule mtindi maji yote yatatoka na utabaki huu mtindi mzito ambao utautia katika chombo kinginee na kusnza kukoroga ikiwa nataka mtindi uwe laini bila mabongeee.

Hapo mtindi unaukoroga na mwiko alafu unatokea ule mtindi lainiiii tayari kula hapo,waweza tia sukari n.k

Hii njia inaweza kuwa na madhara wakuu?,na wewe kama una njia yako iweke tujifunze zaidi.

Mtanisamehe hii thred mwanzo nimeanza kama nafanya mimi alafu hapo kati nimechanganya kama nawafundisha nyinyi,mnivumiliee tu hivyo ndo nilivyofanya mpaka mtindi ukawa mtindiii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimechukua maziwa fresh from the bush(broken)maziwa hayajachakachuliwa kabisa.

Kisha nikayaweka kwenye friji yakapata baridii kiasi yale maziwa.

Alafu nikizima friji langu na maziwa yapo mule mulee unayaacha kama masaa 12 mpaka 15,ukishazima friji alafu likapoa kule ndani kunakuwa na joto joto ambalo linasaidia kugandisha mtindi wako.

Baada ya hayo masaa ukienda kutizama utakuwa ile chupa ina maji maji,alafu utaona ule mtindi tayari unaelea katika yale maji maji ya ndani ya chups ya maziwa.

Baada ya hapo kama unachujio la juisi chukua alafu chujia ule mtindi maji yote yatatoka na utabaki huu mtindi mzito ambao utautia katika chombo kinginee na kusnza kukoroga ikiwa nataka mtindi uwe laini bila mabongeee.

Hapo mtindi unaukoroga na mwiko alafu unatokea ule mtindi lainiiii tayari kula hapo,waweza tia sukari n.k

Hii njia inaweza kuwa na madhara wakuu?,na wewe kama una njia yako iweke tujifunze zaidi.

Mtanisamehe hii thred mwanzo nimeanza kama nafanya mimi alafu hapo kati nimechanganya kama nawafundisha nyinyi,mnivumiliee tu hivyo ndo nilivyofanya mpaka mtindi ukawa mtindiii

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee mi mtindi sipendi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimechukua maziwa fresh from the bush(broken)maziwa hayajachakachuliwa kabisa.

Kisha nikayaweka kwenye friji yakapata baridii kiasi yale maziwa.

Alafu nikizima friji langu na maziwa yapo mule mulee unayaacha kama masaa 12 mpaka 15,ukishazima friji alafu likapoa kule ndani kunakuwa na joto joto ambalo linasaidia kugandisha mtindi wako.

Baada ya hayo masaa ukienda kutizama utakuwa ile chupa ina maji maji,alafu utaona ule mtindi tayari unaelea katika yale maji maji ya ndani ya chups ya maziwa.

Baada ya hapo kama unachujio la juisi chukua alafu chujia ule mtindi maji yote yatatoka na utabaki huu mtindi mzito ambao utautia katika chombo kinginee na kusnza kukoroga ikiwa nataka mtindi uwe laini bila mabongeee.

Hapo mtindi unaukoroga na mwiko alafu unatokea ule mtindi lainiiii tayari kula hapo,waweza tia sukari n.k

Hii njia inaweza kuwa na madhara wakuu?,na wewe kama una njia yako iweke tujifunze zaidi.

Mtanisamehe hii thred mwanzo nimeanza kama nafanya mimi alafu hapo kati nimechanganya kama nawafundisha nyinyi,mnivumiliee tu hivyo ndo nilivyofanya mpaka mtindi ukawa mtindiii

Sent using Jamii Forums mobile app
Lazima ina madhara maziwa yameharibika we unasema mtindi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimechukua maziwa fresh from the bush(broken)maziwa hayajachakachuliwa kabisa.

Kisha nikayaweka kwenye friji yakapata baridii kiasi yale maziwa.

Alafu nikizima friji langu na maziwa yapo mule mulee unayaacha kama masaa 12 mpaka 15,ukishazima friji alafu likapoa kule ndani kunakuwa na joto joto ambalo linasaidia kugandisha mtindi wako.

Baada ya hayo masaa ukienda kutizama utakuwa ile chupa ina maji maji,alafu utaona ule mtindi tayari unaelea katika yale maji maji ya ndani ya chups ya maziwa.

Baada ya hapo kama unachujio la juisi chukua alafu chujia ule mtindi maji yote yatatoka na utabaki huu mtindi mzito ambao utautia katika chombo kinginee na kusnza kukoroga ikiwa nataka mtindi uwe laini bila mabongeee.

Hapo mtindi unaukoroga na mwiko alafu unatokea ule mtindi lainiiii tayari kula hapo,waweza tia sukari n.k

Hii njia inaweza kuwa na madhara wakuu?,na wewe kama una njia yako iweke tujifunze zaidi.

Mtanisamehe hii thred mwanzo nimeanza kama nafanya mimi alafu hapo kati nimechanganya kama nawafundisha nyinyi,mnivumiliee tu hivyo ndo nilivyofanya mpaka mtindi ukawa mtindiii

Sent using Jamii Forums mobile app
HTa kuchemsha hujachemsha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom