Da' Chemi Chemponda afiwa

Poleni sana kwa kuondokewa na Douglas.
Mungu awajalie muweze kuvuka salama kipindi hiki kigumu.
Tuendelee kumuomba Mungu kwa Rehema zake yeye Ampe PUMZIKO LA MILELE.
 
Kuondokewa na Mume, Mke ama mtoto inauma sana, inahitaji uvumilivu wa hali ya juu. Kwa kweli Pole sana Da'Chemi bwana akuongezee nguvu katika kipindi hiki kigumu. Let the Soul of Rev Douglas RIP.
 
R.I.P Reverend Douglas. Poleni Da Chemi na familia nzima, ndugu jamaa na marafiki wa familia hii. Mungu akuongoze vema maisha ya ujane.
 
Pole sana da' chemi kwa msiba huuuu mungu atakupa nguvu katika kipindi hichi kigumu!
 
Mungu akupe nguvu na ujasiri katika jambo hili zito na gumu
tulitoka mavumbini na mavumbini tutarudi
amen
 
Source:http://swahilitime.blogspot.com/


Reverend Douglas G. Whitlow (1951-2010)


Marehemu mume wangu, Reverend Douglas G. Whitlow, atazikwa siku ya Ijumaa , January 22, 2009 katika makaburi ya Cambridge, (Cambridge Cemetery) eneo la wanajeshi.

Viewing/Wake/Funeral itakuwa


Spears Funeral Home,
124 Western Avenue
Cambridge, MA 02139


Viewing/Wake 10:00 -11:00am


Funeral Service 11:00 - 12:30pm


(Tafadhali zingatia muda)



Procession to Cemetery Immediately afterwards. Internment at Cambridge Cemtery, Coolidge Avenue in Cambridge, MA


Luncheon itakuwa


International Gospel Church
85 Crescent Ave.
Chelsea, MA 02150

********

Unaweza kutuma kadi:


Mrs. Chemi Whitlow
10 Laurel St. #4
Cambridge, MA 02139 USA
************************************
"Your monetary condolences will be highly appreciated in this time of great need, and should be directed to:
Chemi C Kadete
Bank of America
Account number : 004630682878

Routing: 011000138
For more Information Call Chemi at 617-497-4353
 
Tunampa pole sana Da Chemi kwa msiba huu!

Mwenyezi Mungu akupe subira uishinde mitihanai hii migumu, Nakumbuka miaka ya '90s tulimpoteza aliyekuwa mumeo wa kwanza ambae pia alikuwa mwalimu wetu electrical engineering, wakati ule FoE - Mola awalaze mahala pema peponi, Amen!
 
Pole sana Dada Chemi kwa msiba mkubwa uliokufika. Namuomba Mwenyezi Mungu akupe nguvu na faraja kipindi hiki kigumu kwako na kwa wahusika wote wa msiba huu. Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi~AMEN
__________________
 
Back
Top Bottom