Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
D.Trump amemteua Mwanajeshi wa tatu kuwa Kiongozi wa kiraia USA, huyu ni Generali John Kelly ambaye ameteuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani kwenye Serikali ijayo itakayoanza kazi Januari 20 mwakani!
Kweli mawimbi ya Magufuli wetu yanasafiri na kusikika Dunia nzima, muda wa Usanii Duniani umekwisha na sasa ni Kazi Tu!
Kweli mawimbi ya Magufuli wetu yanasafiri na kusikika Dunia nzima, muda wa Usanii Duniani umekwisha na sasa ni Kazi Tu!