Golden felician
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 216
- 36
Naomba kuuliza hivi mtu aliemaliza diploma ya clinical medicine kwa GPA ya 4 na anataka kuomba degree.je anaweza kubaliwa kujiunga ikiwa cheti chake cha form four kina D za masomo ya sayansi.
sababu nasikia mpaka uwe na C.
naomba kusaidiwa
sababu nasikia mpaka uwe na C.
naomba kusaidiwa