Tarehe 9/12/2010 Musiba alikula chakula katika hoteli ya MERR'Y HOTEL iliyopo Opposite na Zanzibar Hotel karibu na ofisi za channel Ten.
Baada ya chakula alijisikia tumbo linaanza kuuma na siku hiyo hakula chochote mpaka siku iliyofuata ambapo yeye alikuwa anaongoza kikao cha kutathimini mishahara ya wafanyakazi ambapo wanalalamikia mkurugenzi mkenya kupewa 10m na hawara yake Adelin Mushi kupendelewa.
Hoja ya wafanyakazi ni kutaka Mkurungenzi aondoke kwa sababu ananyanyasa wafanyakazi!!
Tarehe 10/12/2010 saa saba Musiba alizidiwa ktk mkutano na kupiga simu kwa mkewe ambapo jioni alizidiwa na kukimbizwa hospitali ya jirani kabla ya kupoteza fahamu na kuwa chini ya uangalizi maalumu.
Dr ally alimupima vipimo na kubaini kulikuwa na sumu kali inapenyenya kwenye mwili na kumupa dawa za matibabu haraka.
Alex Kobia anatajwa kusimikwa na Lowassa na Rostam
Baada ya chakula alijisikia tumbo linaanza kuuma na siku hiyo hakula chochote mpaka siku iliyofuata ambapo yeye alikuwa anaongoza kikao cha kutathimini mishahara ya wafanyakazi ambapo wanalalamikia mkurugenzi mkenya kupewa 10m na hawara yake Adelin Mushi kupendelewa.
Hoja ya wafanyakazi ni kutaka Mkurungenzi aondoke kwa sababu ananyanyasa wafanyakazi!!
Tarehe 10/12/2010 saa saba Musiba alizidiwa ktk mkutano na kupiga simu kwa mkewe ambapo jioni alizidiwa na kukimbizwa hospitali ya jirani kabla ya kupoteza fahamu na kuwa chini ya uangalizi maalumu.
Dr ally alimupima vipimo na kubaini kulikuwa na sumu kali inapenyenya kwenye mwili na kumupa dawa za matibabu haraka.
Alex Kobia anatajwa kusimikwa na Lowassa na Rostam