Cyprian Musiba Anadaiwa zaidi ya Tsh13 bilioni kwa amri za Mahakama Kuu, iwapo atashindwa kulipa ni nini hatma yake?

Atajiua huyu, waliojaribu nae wamchunge hata akienda chooni maana anaweza kujitumbukiza humo! Alipe hizo pesa kwanza.,,
 
Mtu mweusi akipata vihela anakuwa na kiburi cha kufa mtu, dunia yote yake.utadhani ataishi milele, butt co wote wako hivyo.
 
Leo ni siku ya giza katika ulimwengu wa uhuru wa habari. Musiba hilo deni ni dogo sana katika watu wanaoamini katika uhuru wa habari na kujieleza.

Wape namba marafiki zako wakubwa waanzishe kampeni mitandaoni ya kuchangia faini.

Ebu imagine vigogo hawa waanzishe kampeni mitandaoni ya kumchangia mwandishi Musiba aliyepigwa faini sababu ya kufanya kazi yake ya uandishi.

Lissu, Fatma Karume, Maria Sarungi, Zitto, Jenerali Ulimwengu,Msigwa, Lema, Mnyika,Mange Kimambi, Kigogo, Kubenea,Mbowe atume mwakilishi, Maxence Melo, Membe mwenywe, bwana mdogo Nondo.

Hakika hata msaa 10 HAYATAPITA HELA ITAKUWA IMEPATIKANA NA DEMKRASIA ITAKUWA IMELINDWA NCHINI
Mttandao gani unapokea Bilion 7?

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Mdai ndio anagharamia chakula cha mdaiwa?! Kwahiyo unanunua haki yako?

Ndio hivyo Kama Njia ya kushinikiza ulipwe haki yako.
Ujue kukaa jela mtu anakosa Uhuru wake na unapoteza mambo Mengi Kama hujajipanga vizuri so inakuwa Kama kushinikiza ulipe deni ili uwe huru.
So utakaa ndani hadi ulipe au mdai ashindwe kugharamia gharama hizo za magereza kumuhifadhi mdaiwa
 
Cyprian Musiba, kulingana na kiasi kikubwa cha fedha anazodaiwa kuzilipa, kwa kupitia amri za mahakama kuu, ni nini madhara yake iwapo hana uwezo wa kuzilipa na hana mali za kuuzwa ili kupata Tsh 13 bilioni?

Mimi ninaona dalili za Cyprian Musiba kukimbilia ughaibuni .

Atalipa tu. C ana pesa alizokua anakusanya kwenye ule uchawa wake. Afu makaratasi yote yale alokua anaandika upumbavu wake akiyachukua akayaloweka c anatengeneza ule mkaa wa makaratasi anauza. Atapata tu hela.

Pia kuna CCM walokua wanamtuma. Wanachama wote wakichanga kama ilivyofanyika kwa wanachama wa CDM jamaa hatoki kweli? Aaa ukorofi huooo
 
Kwenye hizi Kesi za madai inaweza kuwa hivi Kama mdaiwa hajalipa:-

1. Unaomba Mahakamani kukazia hukumu huku ukiambatisha Mali unazozijua za mdaiwa ili mahakama iziuze ili ulipwe fedha unazodai.
Mahakama itazikamata Mali hizo kwa kutumia mabroker wake na kuziuza ili ulipwe.

2. Kama Hana Mali zozote unaweza kuitaka mahakama iamue mtu huyo unayemdai akae jela kwa gharama zako hadi atakapokulipa fedha unazomdai

Adhabu ya kifo je?
 
Kwenye hizi Kesi za madai inaweza kuwa hivi Kama mdaiwa hajalipa:-

1. Unaomba Mahakamani kukazia hukumu huku ukiambatisha Mali unazozijua za mdaiwa ili mahakama iziuze ili ulipwe fedha unazodai.
Mahakama itazikamata Mali hizo kwa kutumia mabroker wake na kuziuza ili ulipwe.

2. Kama Hana Mali zozote unaweza kuitaka mahakama iamue mtu huyo unayemdai akae jela kwa gharama zako hadi atakapokulipa fedha unazomdai
Anasema analima pumbavu huyu.ati wakiona umuhimu wake watamwita
 
Kwenye hizi Kesi za madai inaweza kuwa hivi Kama mdaiwa hajalipa:-

1. Unaomba Mahakamani kukazia hukumu huku ukiambatisha Mali unazozijua za mdaiwa ili mahakama iziuze ili ulipwe fedha unazodai.
Mahakama itazikamata Mali hizo kwa kutumia mabroker wake na kuziuza ili ulipwe.

2. Kama Hana Mali zozote unaweza kuitaka mahakama iamue mtu huyo unayemdai akae jela kwa gharama zako hadi atakapokulipa fedha unazomdai
Hapo namba 2 atakulipa vipi kama tayari yupo gerezani

Sent from my Pixel 3a using JamiiForums mobile app
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom