Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyanaume umeanza lini komedia?Pata picha Fatma Karume anamwambia Musiba lipa deni langu, kwa jicho legevu jamaa anajibu "nifanye utakacho wewe, mi ni wako"
Mttandao gani unapokea Bilion 7?Leo ni siku ya giza katika ulimwengu wa uhuru wa habari. Musiba hilo deni ni dogo sana katika watu wanaoamini katika uhuru wa habari na kujieleza.
Wape namba marafiki zako wakubwa waanzishe kampeni mitandaoni ya kuchangia faini.
Ebu imagine vigogo hawa waanzishe kampeni mitandaoni ya kumchangia mwandishi Musiba aliyepigwa faini sababu ya kufanya kazi yake ya uandishi.
Lissu, Fatma Karume, Maria Sarungi, Zitto, Jenerali Ulimwengu,Msigwa, Lema, Mnyika,Mange Kimambi, Kigogo, Kubenea,Mbowe atume mwakilishi, Maxence Melo, Membe mwenywe, bwana mdogo Nondo.
Hakika hata msaa 10 HAYATAPITA HELA ITAKUWA IMEPATIKANA NA DEMKRASIA ITAKUWA IMELINDWA NCHINI
Mdai ndio anagharamia chakula cha mdaiwa?! Kwahiyo unanunua haki yako?Kama hana uwezo wa kulipa kiasi hicho adhabu yake ni kwenda Jela na Mdai anapaswa kugharamia gharama za chakula kwa kipindi chote atakachokuwa gerezani
Kama hana uwezo wa kulipa kiasi hicho adhabu yake ni kwenda Jela na Mdai anapaswa kugharamia gharama za chakula kwa kipindi chote atakachokuwa gerezani
Una gharama tu aondoke mtaani.Kama hana uwezo wa kulipa kiasi hicho adhabu yake ni kwenda Jela na Mdai anapaswa kugharamia gharama za chakula kwa kipindi chote atakachokuwa gerezani
Mdai ndio anagharamia chakula cha mdaiwa?! Kwahiyo unanunua haki yako?
Atalipa tu. C ana pesa alizokua anakusanya kwenye ule uchawa wake. Afu makaratasi yote yale alokua anaandika upumbavu wake akiyachukua akayaloweka c anatengeneza ule mkaa wa makaratasi anauza. Atapata tu hela.Cyprian Musiba, kulingana na kiasi kikubwa cha fedha anazodaiwa kuzilipa, kwa kupitia amri za mahakama kuu, ni nini madhara yake iwapo hana uwezo wa kuzilipa na hana mali za kuuzwa ili kupata Tsh 13 bilioni?
Mimi ninaona dalili za Cyprian Musiba kukimbilia ughaibuni .
We jamaa hapa utakuwa umewaza vitendo vya nanii, jicho legevu tena...Pata picha Fatma Karume anamwambia Musiba lipa deni langu, kwa jicho legevu jamaa anajibu "nifanye utakacho wewe, mi ni wako"
Kwenye hizi Kesi za madai inaweza kuwa hivi Kama mdaiwa hajalipa:-
1. Unaomba Mahakamani kukazia hukumu huku ukiambatisha Mali unazozijua za mdaiwa ili mahakama iziuze ili ulipwe fedha unazodai.
Mahakama itazikamata Mali hizo kwa kutumia mabroker wake na kuziuza ili ulipwe.
2. Kama Hana Mali zozote unaweza kuitaka mahakama iamue mtu huyo unayemdai akae jela kwa gharama zako hadi atakapokulipa fedha unazomdai
Ndy maana yake hata hvyo mahakama kweny kesi za madai mdaiwa akifungwa utalipwa vipi deni lako so ni mamb y wakati tu hayaMmhh!! Mdai amlipie tena chakula!!
Sasa umfunge kwa gharama zako na akulipe vp wakati hana mali na atalipaje deni ilihali yuko jail?Adhabu ya kifo je?
Anasema analima pumbavu huyu.ati wakiona umuhimu wake watamwitaKwenye hizi Kesi za madai inaweza kuwa hivi Kama mdaiwa hajalipa:-
1. Unaomba Mahakamani kukazia hukumu huku ukiambatisha Mali unazozijua za mdaiwa ili mahakama iziuze ili ulipwe fedha unazodai.
Mahakama itazikamata Mali hizo kwa kutumia mabroker wake na kuziuza ili ulipwe.
2. Kama Hana Mali zozote unaweza kuitaka mahakama iamue mtu huyo unayemdai akae jela kwa gharama zako hadi atakapokulipa fedha unazomdai
Hapo namba 2 atakulipa vipi kama tayari yupo gerezaniKwenye hizi Kesi za madai inaweza kuwa hivi Kama mdaiwa hajalipa:-
1. Unaomba Mahakamani kukazia hukumu huku ukiambatisha Mali unazozijua za mdaiwa ili mahakama iziuze ili ulipwe fedha unazodai.
Mahakama itazikamata Mali hizo kwa kutumia mabroker wake na kuziuza ili ulipwe.
2. Kama Hana Mali zozote unaweza kuitaka mahakama iamue mtu huyo unayemdai akae jela kwa gharama zako hadi atakapokulipa fedha unazomdai