blackstone
Senior Member
- Aug 11, 2015
- 147
- 128
Wakuu ni jinsi gani ya kutambua mtu mnayewasiliana nae kwa email hususani toka nje ya nchi mfano uingereza anataka kukufanyia wizi au utapeli wa mtandao.Mwenye mfano toa!maana kuna jamaa yangu leo kanisimulia amepata rafiki wa kizungu wamekuwa wakiwasiliana zaidi ya siku tatu zimepita sasa ivi anataka amtumie zawadi ya vifaa vyakiteknolojia na zawadi nyingine.hii ipo kweli maana mimi sijamuelewa kabisa!!